Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Bunge halikuhusishwa kwenye ununuzi wa ndege za ATCL?

Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Bunge halikuhusishwa kwenye ununuzi wa ndege za ATCL?

Issue Bunge liliijadili hiyo bajeti au hapana?
Mkuu, "makamanda" hawataki kusikia hili, wao wanataka wasisikie mtu akimkumbusha chochote mgombea wetu kuhusu chochote kwakuwa nadhani anayo hati miliki ya kutushikia akili na kuongea utumbo kwa niaba yetu. Na sasa goli linahamishwa au wanakanusha kilichoongewa mjengoni. Sitashangaa pia kusikia hiyo video clip imetengenezwa, sio yeye, hakusema hivyo.
 
  • Kicheko
Reactions: UCD
Huko majukwaani tunasikia mengi, lakini mengine nadhani yanafanywa kwa makusudi ya kutafuta kura. Inawezekana ikawa ndio maana halisi ya kampeni kwa tafsiri yetu ya Kibongo tu.


Ukimsikiliza Lissu anasema hakuna mbunge hata mmoja anayejua hata fedha zilizotengwa kununua hizo ndege. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yake kwenye clip hiyo kama umeisikiliza. Halafu baadaye anaonekana Mheshimiwa Halima Mdee akiijadili hoja hiyo akiwa Bungeni. Msinishambulie mimi kwakuwa mimi sio niliyesema hivyo na bahati nzuri nimeweka video yake. Mimi sigombei hata udiwani.
MSipotoshe huo mjadala ni ndege zinazotarajiwa kununuliwa mwaka wa fedha 2020/2021 hoja ni ununuzi wa ndege za awali. Wabunge waliletewa tu taarifa hawakushirikishwa.
 
Ngoja niwatafutie clip nyingine ya mgombea, ambayo pia ni very controversial.
Makamanda andaeni tu povu la kutosha.
 
Back
Top Bottom