Je ni kweli "distance" si kikwazo kwa wawili wapendanao?

Nimependa hayo maneno ya mwishoni [emoji117] kindness, patience, commitment & communication ..... congrats
 
Sijui kama distance ni kikwazo sema ina changamoto zake nyingi sana na kubwa ni upweke kati ya wapenzi hao.

Kwa watu wenye mapenzi ya dhati na wanaojitambua sizani kama distance ni kikwazo hususan kwa nyakati hizi za teknolojia.

Ni kweli kuna changamoto lakini if you know what you want inakuwa sio shida. Mimi nina long distance relationship but niko comfortable kuliko Niliyokuwa nayo ya karibu. Technology ina-facilitate communication.
 
It is true, long distance relationship kama imejengwa kwa mapenzi ya dhati it works. Huwa nahisi kama yuko karibu na mimi all the time ingawa yuko majuu. Ingawa tulikuwa best friend for 10 years bila kuwa na uhusiano wa kimapenzi. Na siku zote hizo tulikuwa tutaongea kutwa mara mbili.

So far it is the best relationship for me.
 
Hata mkibanana kama ndizi.mchepuko ni nature yetu vidume.Hapo muumba aliona mbali sana
 
Sio kweli. Distance ni kikwazo kikubwa sana ktk mapenzi.
 
Inategemea na uwezo wa mtu!
Mtu mwenye wivu sana au anapenda sana attention au ambae anapenda malavidavi long distance relationship itamshinda. Unatakiwa uwe nunda wa hali ya juu kuongea na mpenzi kwenye simu miezi na miezi, ukipata hamu ya tendo uvumilie mpaka mtakapokutana!!! Inahitaji moyo na upendo wa kweli, pia uwe bize sana huko ulipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…