Je! ni kweli dunia inazunguka jua?

Je! ni kweli dunia inazunguka jua?

kuhusu hilo la kuwa juu ya gari then ukaruka hata kama gari linatembea utatua palepale gari lilipofika so halitakuacha otherwise uwe uliruka kiupande (hiyo ipo proved kwenye physics). kuhusu satellite ni kwamba zipo juu sana ndio maana hutuzigongi.

kila satellite ina speed yake katika kuzunguka dunia na kumbuka kuwa kuna nguvu ya uvutano kati ya dunia(ni kwa sayari zote) na jua sasa satellite huwa zinawekwa pale katikati ambapo nguvu ya uvutano ya dunia na ya jua zinapokutania hivyo haziwezi kuvutwa na jua wala dunia, position pia huwa inategemea na spidi ya satellite husika.

na ndege mara zote husafiri ngani ya anga ambamo inakuwa ni kama inavutwa na dunia vile, sasa kwa mfano helicopter isimame angani kwa siku nyingi haiwezi kuachwa na dunia licha ya kwamba dunia inazunguka jua, dunia huwa anahama na kila kitu kilicho ndani ya eneo ambamo nguvu yake ya uvutano imeenea (earth's attraction force) labda ikotee hiyo helicopter imevuka hili eneo ndio itaachwa na tutabaki kusema ndege imepotelea angani.

Spidi ya dunia kuzunguka jua ni kubwa(kilometa 30 kwa sekunde) na mzunguko mmoja wa dunia kwenye obiti kuzunguka jua ni zaidi ya kilometa milioni 940, hivyo licha ya spidi kubwa dunia inachukua zaidi ya siku 365 kuzunguka jua mzunguko mmoja.

Kidogo nimeanza kushiba maelezo yako asante sana nasubiri kujazia nyama kwa wataalam wengine
 
yap nakubali nitatua pale pale ila basi litaniacha litakuwa mbele si sawa?

dunia inajizungusha kwenye orbit kwa kwa kasi ya kilomita 30 kwa saa, ina maana kama nimepanda hellcopter nikasimama juu angani kwa sekunde 10 basi dunia ingeniacha kilomita 300, je kwanini hainiachi?

na hawa nasa wanapotuma vifaa nje ya dunia vikirudi haviji sehemu ile ile vilipotokea? maana dunia inakuwa imeshamove pale ipo eneo jengine. au ni changa la macho tu tunapigwa

Basi halitakuacha na wala halitakua mbele hata kwa centimeter moja,

Now back to your claim that the Sun is going around the Earth, If that actually were to happen, Let's take an example, assume you hold a 5 year old kid's arm (I am assuming you are older than him and have more body mass than him), If you both decided to start rotating(moving around while holding hands) who wold be going around who?, Obviously the kid would seem to be going around you because of your large mass, you will be the one pulling him towards you.

Now, that kid is the Earth and you are the Sun, remember that all the planets' total body mass is about 1% the total mass of the sun(i think). Its not possible for the Sun to go around the Earth, the Earth doesn't have enough mass to hold the Sun together in an orbit.

If we were to hypothetically introduce another Interstellar object close to our solar system, Assuming that object has body more mass than the whole of the solar systems' objects combined, well then our solar system would start rotating around that object(Unlikely for that to happen though as it would introduce other bad shit) and would be catastrophic.
 
1. Dunia sio duara bali ni bapa isipokuwa ni bapa yenye milima na mabonde.

2. Dunia hsizunguki jua. Tumia akili ya kawaida, chukua mpira au chubgwa kisha igundike zile toothpick kueneza pande zote alafu zungusha. Utaona kuna point fulani ukifika toothpick zinadondoka.

Kama dunia duara why sisi hatudondoki? Nilikubali dunia duara ili nifaulu mitihani lakini moyoni nasema NO.
 
Mkuu huwezi kugongana na satellite cuz zipo mbali sana. Ni kama km3600. Na muda wake kuzunguka dunia ni saa24. Imagine the speed
 
1. Dunia sio duara bali ni bapa isipokuwa ni bapa yenye milima na mabonde.
Unaishi karne ya ngapi? Dunia Duara.
1. God said so
It is he that sitteth upon the circle of the earth, and the inhabitants thereof are as grasshoppers; that stretcheth out the heavens as a curtain, and spreadeth them out as a tent to dwell in: (Isaiah 40:22)

2. People proved it to be so!

2. Dunia hsizunguki jua. Tumia akili ya kawaida, chukua mpira au chubgwa kisha igundike zile toothpick kueneza pande zote alafu zungusha. Utaona kuna point fulani ukifika toothpick zinadondoka. Kama dunia duara why sisi hatudondoki? Nilikubali dunia duara ili nifaulu mitihani lakini moyoni nasema NO.
Dunia haikuumbwa kuwa chungwa, iliumbwa iwe dunia. So Mfano wako ni mfu.
Hatuanguki kwa sababu:

1. God says He holds things by the Word of His Power

And he [Jesus] is before all things, and by him all things consist.....Who being the brightness of his [God's] glory, and the express image of his person, and upholding all things by the word of his power (Colossians 1:17, Hebrew 11:3)

2. Science have proved it to be so (Some call it gravitational force, but that doesn't change a thing)

These things are really Magnificient Display of Creator. Its Mathematical Precision and Immutable Laws really points to Greatest Mathematician whose Immutability is Sure and Eternal. Thats why I love God and Explore Science!
 
1. Dunia sio duara bali ni bapa isipokuwa ni bapa yenye milima na mabonde.

2. Dunia hsizunguki jua. Tumia akili ya kawaida, chukua mpira au chubgwa kisha igundike zile toothpick kueneza pande zote alafu zungusha. Utaona kuna point fulani ukifika toothpick zinadondoka.

Kama dunia duara why sisi hatudondoki? Nilikubali dunia duara ili nifaulu mitihani lakini moyoni nasema NO.

Je, kama huo mpira inaozungumzia ni chuma chenye sumaku (magnet ball) ,na tuchukulie badala ya toothpicks unaweka misumari. Je itadondoka?
 
Basi halitakuacha na wala halitakua mbele hata kwa centimeter moja,

Now back to your claim that the Sun is going around the Earth, If that actually were to happen, Let's take an example, assume you hold a 5 year old kid's arm (I am assuming you are older than him and have more body mass than him), If you both decided to start rotating(moving around while holding hands) who wold be going around who?, Obviously the kid would seem to be going around you because of your large mass, you will be the one pulling him towards you.

Now, that kid is the Earth and you are the Sun, remember that all the planets' total body mass is about 1% the total mass of the sun(i think). Its not possible for the Sun to go around the Earth, the Earth doesn't have enough mass to hold the Sun together in an orbit.

If we were to hypothetically introduce another Interstellar object close to our solar system, Assuming that object has body more mass than the whole of the solar systems' objects combined, well then our solar system would start rotating around that object(Unlikely for that to happen though as it would introduce other bad shit) and would be catastrophic.

mfano mzuri umetoa unazunguka huku umeshika mkono wa mtoto. hivyo wewe ndio dunia na mtoto ndio vitu vidogo ambavyo dunia imevibind swali jengine.

dunia ina gravity force ambayo husaidia kuvieka vitu kama vilivyo, je kama inamove kwanini gravity force inalingana dunia nzima? why uzito usiwe mwepesi equator kwetu huku na kuwe kuzito sana maybe north pole?
 
yap nakubali nitatua pale pale ila basi litaniacha litakuwa mbele si sawa?

dunia inajizungusha kwenye orbit kwa kwa kasi ya kilomita 30 kwa saa, ina maana kama nimepanda hellcopter nikasimama juu angani kwa sekunde 10 basi dunia ingeniacha kilomita 300, je kwanini hainiachi?

na hawa nasa wanapotuma vifaa nje ya dunia vikirudi haviji sehemu ile ile vilipotokea? maana dunia inakuwa imeshamove pale ipo eneo jengine. au ni changa la macho tu tunapigwa

Stefano Mtangoo hujui chochote toa unachofahamu kuhusu maswali ya Chief-Mkwawa, naina unaongelea biashara yako na huyo ndg yako sijui ndo wewe mwenyewe una id's mbili unajiuliza na kujijibu mwenyewe?
 
Last edited by a moderator:
kuhusu hilo la kuwa juu ya gari then ukaruka hata kama gari linatembea utatua palepale gari lilipofika so halitakuacha otherwise uwe uliruka kiupande (hiyo ipo proved kwenye physics). kuhusu satellite ni kwamba zipo juu sana ndio maana hutuzigongi.

kila satellite ina speed yake katika kuzunguka dunia na kumbuka kuwa kuna nguvu ya uvutano kati ya dunia(ni kwa sayari zote) na jua sasa satellite huwa zinawekwa pale katikati ambapo nguvu ya uvutano ya dunia na ya jua zinapokutania hivyo haziwezi kuvutwa na jua wala dunia, position pia huwa inategemea na spidi ya satellite husika.

na ndege mara zote husafiri ngani ya anga ambamo inakuwa ni kama inavutwa na dunia vile, sasa kwa mfano helicopter isimame angani kwa siku nyingi haiwezi kuachwa na dunia licha ya kwamba dunia inazunguka jua, dunia huwa anahama na kila kitu kilicho ndani ya eneo ambamo nguvu yake ya uvutano imeenea (earth's attraction force) labda ikotee hiyo helicopter imevuka hili eneo ndio itaachwa na tutabaki kusema ndege imepotelea angani.

Spidi ya dunia kuzunguka jua ni kubwa(kilometa 30 kwa sekunde) na mzunguko mmoja wa dunia kwenye obiti kuzunguka jua ni zaidi ya kilometa milioni 940, hivyo licha ya spidi kubwa dunia inachukua zaidi ya siku 365 kuzunguka jua mzunguko mmoja.

Kwa uelewa wangu katika haya ya mwisho dunua unaweza kuingia katika ukubwa wa jua mara ngapi?
 
mfano mzuri umetoa unazunguka huku umeshika mkono wa mtoto. hivyo wewe ndio dunia na mtoto ndio vitu vidogo ambavyo dunia imevibind swali jengine.

dunia ina gravity force ambayo husaidia kuvieka vitu kama vilivyo, je kama inamove kwanini gravity force inalingana dunia nzima? why uzito usiwe mwepesi equator kwetu huku na kuwe kuzito sana maybe north pole?

Correction: Wewe ni jua na mtoto ni vitu vingine vyote ni sayari, what keeps them moving in a circular motion is called centripetal force. Bila hiyo force planets would move on a straight line because of inertia (Newton's first law of motion).

Now, gravity haipo sawa sehemu zote, it is much stronger in the poles and weaker in equator because there's less rotation in the poles than in the equator because the earth's diameter there(at the equator) is bigger,remember the further you are from the center of the earth the less the gravity, areas around the equator are much further away from the center of the earth compared to those in the poles (sorry I am typing on a phone).
 
Je, kama huo mpira inaozungumzia ni chuma chenye sumaku (magnet ball) ,na tuchukulie badala ya toothpicks unaweka misumari. Je itadondoka?

Mbona hakuna wakati tunakuwa kichwa chini miguu juu kama tunavyoona toothpick zilizosimamishwa mfano wa binadamu? Mbona hatuoni magorofa yakigeuka juu/chini? Galileo's theory was too imagination. Ikumbukwe wakati Galileo anatoa hizi imagination zake hakukua na chombo chakumwezesha kutembea dunia yote kuprove. Galileo alituaminisha uongo. Fikirini sawasawa.
 
Unaishi karne ya ngapi? Dunia Duara.
1. God said so


2. People proved it to be so!


Dunia haikuumbwa kuwa chungwa, iliumbwa iwe dunia. So Mfano wako ni mfu.
Hatuanguki kwa sababu:

1. God says He holds things by the Word of His Power



2. Science have proved it to be so (Some call it gravitational force, but that doesn't change a thing)

These things are really Magnificient Display of Creator. Its Mathematical Precision and Immutable Laws really points to Greatest Mathematician whose Immutability is Sure and Eternal. Thats why I love God and Explore Science!

Vipi Bible na Qur'an vinasemaje kuhusu shape ya dunia? Kwa waliosoma dini please.
 
NAMTUMBA,

NADHANI NI FORM ONE NDIO TULIJIFUNZA EVIDENCE ZA KU'PROVE KUWA DUNIA NI DUARA SASA SIJUI HUKUZIELEWA AU VIPI Kuhusu kutokudondoka Sir Issac Newton kwenye mambo ya gravitation ameelezea attraction force ya dunia ndio inayotuvuta

( alianzia kwa kutafiti kwa nini tunda likitoka kwenye mti linadondoka ardhini na lisipae juu) kumbuka kuwa natural heavly bodies zote zilizo angani zina nguvu ya uvutano( this is according to Kepler)
 
Last edited by a moderator:
Kwa uelewa wangu katika haya ya mwisho dunua unaweza kuingia katika ukubwa wa jua mara ngapi?

Ninachofahamu ni kwamba kipenyo(diameter) cha jua ni kilometa 1,392,684 ambacho ni mara 109 ya kipenyo cha dunia..

Sasa hapo tumia tu hesabu kujua dunia inaingia kwenye jua mara ngapi ila kumbuka kuwa jua limetengenezwa na gesi mbalimbali hivyo sizani kama ukubwa wake unaweza ukawa canstant mda wote.
 
Ukisoma kitabu cha physics cha zamani acha hivi vya nyambari nyangwine kitabu hicho katika topic ya astronomy kuna theories mbili ambazo zinazungumzia kati ya jua na sayari kipi kinazunguka mwenzake;

Sasa kuna hiyo theory ya inasema kwamba juo lipo stationary/tulivu na sayari zipo kwenye mwendo kulizungua jua kwenye orbit zake
 
Chief-Mkwawa,

Mkuu hata kama ukipanda kwenye chombo let say helcopter na ikasimama angani bado hutaona dunia ikizunguka na pia dunia haitakuacha.

Kwa sababu hicho chombo bado kitakuwa kwenye atmosphere ambapo bado ni eneo la sayari ya dunia na pia bado gravitation force ya dunia ina affect chombo hicho.

Ila kama utapanda na chombo hicho juu zaidi hadi nje ya earth's atmosphere basi hapo utaona dunia ikizunguka na dunia itakuacha kwa sababu nje ya atmosphere ya dunia gravitation force ya dunia haipo bali una experience either no gravitation or gravitation from other bodies on the universe.
 
Last edited by a moderator:
Ninachofahamu ni kwamba kipenyo(diameter) cha jua ni kilometa 1,392,684 ambacho ni mara 109 ya kipenyo cha dunia.. sasa hapo tumia tu hesabu kujua dunia inaingia kwenye jua mara ngapi ila kumbuka kuwa jua limetengenezwa na gesi mbalimbali hivyo sizani kama ukubwa wake unaweza ukawa canstant mda wote.

Ungekuwa mwl wangu wewe, somo la physics ningelisoma, unajua.
 
mkuu hata kama ukipanda kwenye chombo let say helcopter na ikasimama angani bado hutaona dunia ikizunguka na pia dunia haitakuacha. kwa sababu hicho chombo bado kitakuwa kwenye atmosphere ambapo bado ni eneo la sayari ya dunia na pia bado gravitation force ya dunia ina affect chombo hicho.

ila kama utapanda na chombo hicho juu zaidi hadi nje ya earth's atmosphere basi hapo utaona dunia ikizunguka na dunia itakuacha kwa sababu nje ya atmosphere ya dunia gravitation force ya dunia haipo bali una experience either no gravitation or gravitation from other bodies on the universe.

Hivi ndivyo jf inatakiwa itumike hata sisi wanafunzi tunafaidika kwa ufahamu wenu mlioupata kabla yetu na tukienda darasani tunatoa changamoto hizi
 
mkuu hata kama ukipanda kwenye chombo let say helcopter na ikasimama angani bado hutaona dunia ikizunguka na pia dunia haitakuacha. kwa sababu hicho chombo bado kitakuwa kwenye atmosphere ambapo bado ni eneo la sayari ya dunia na pia bado gravitation force ya dunia ina affect chombo hicho.

ila kama utapanda na chombo hicho juu zaidi hadi nje ya earth's atmosphere basi hapo utaona dunia ikizunguka na dunia itakuacha kwa sababu nje ya atmosphere ya dunia gravitation force ya dunia haipo bali una experience either no gravitation or gravitation from other bodies on the universe.

Mkuu nimekupata vizuri lakini kuna kitu bado kinanichanganya. Eneo la uvutano la dunia linaishia EXOSPHERE ambayo ni Km 400 kutoka uso wa dunia. Sasa inakuwaje mwezi ambao uko yapata Km laki nne (nje ya nguvu za uvutano) hatuuachi dunia inapozunguka jua?
 
Back
Top Bottom