Je! ni kweli dunia inazunguka jua?

Je! ni kweli dunia inazunguka jua?

Mars rover iliisafiri na kuingia mars kwa speed ya 13,200 mph. Hili linaonyesha kwamba kwenye space hakuna friction kubwa kati ya objects na gas kama ilivyo katika atmosphere ya dunia

na ndiyo maana meteorites zinasafari in space kwa speed kubwa bila tatizo la msuguano baina yake na gas lakini zilijaribu kuingia tu duniani msuguano ndipo hutokea na kuungua.

Kwa hiyoo kwa mifano hiyo utaona kuwa dunia haiwezi kukumbana na upepo because its among the objects in space

kutokana na evidence nilizopewa na wengine ni kwamba atmosphere inatuprotect tukimove kwa hio speed kali, kwanini hizo meteors sasa inaweza kuja duniani na kuungua? na kama meteors zinaingia kitu gani kinafanya vitu vyengine kama upepo mkali usiingie?
 
rule yangu ya kwanza ya kureasoan na mtu ni kwamba sipendi personal attack, elimu yangu hapa haihusiki au mimi kuwa kilaza/sio kilaza pia hakuhusiki. unaruhusiwa kunichallenge data yoyote nitakayotaja nitakupa source.

tuanze na density yenyewe inapatikana kiurahisi wikipedia
https://en.wikipedia.org/wiki/Structure_of_the_Earth
shuka chini hadi paragraph ambayo heading yake imeandikwa core. na kama unazitilia mashaka wikipedia wanaeka source zao utaingia deep zaidi.

vitu vyako almsot vyote ulivyotaja sijavisoma, vinaweza ku contribute hapa? unakaribishwa na wewe kutoa data zako kama unaona mimi ni amateur basi its ok nipotezee tu kaka.

then hii mada nimeanzisha huku navisoma hivi vitu duniani, nilichogundua hii issue ya dunia kuwa inazunguka kumbe still ni theory ambayo haina proof, nimesoma shule sijawahi kuambiwa hiki kitu nikiona kupatwa kwa mwezi au jua, majira ya mwaka na usiku na mchana nikawa najua ni fact watu wameprove.

tuendelee kwenye mada


tufanye upo sahihi atmosphere inatulinda huo upepo hauji duniani sababu ya atmosphere then i means kuna upepo mkali sana pale atmosphere inapoishia? sababu kunakuwa na upepo mkali nje ya kioo right? na vyombo vya china, urusi na india vikitoka nje ya dunia kwenda anga za juu vinapitaje huo upepo? nipe ujuzi kidogo

First thing first.

Elimu yako haihusiki vipi wakati unazungumzia jambo la elimu?
 
newton kamaliza form 6? why unamsoma

Mazee unafahamu tofauti ya elimu ya madarasa?

Tatizo unachanganya elimu na madarasa, nikikuuliza elimu yako imeishia wapi kwenye mada hii naweza kumaanisha kuna kitabu gani kizuri umesoma, wewe unaona nakuuliza una degree ngapi.

Mpaka hapo ushajionyesha si critical thinker, na siwezi kushangaa unavyopinga kwamba dunia inazunguka jua, kwa sababu unafikiri very shallow.
 
First thing first.

Elimu yako haihusiki vipi wakati unazungumzia jambo la elimu?

unajua kuwa bill gate aliquit college right? elimu ya mtu especially hii ya makaratasi haina maana yoyote hadi uwe na degree trilioni moja au uwe na badge nyingi mpaka unakodi fuso kuzibeba kama huwezi kuyakabili mazingira ya kwenye elimu yako unakuwa useless.

kwa logic yako maprofessor/madokta wengi ni zaidi ya bill gates, ila kwa logic yangu akili haihusiani na elimu ya makaratasi au umesoma vitabu vingapi unaweza kuwa mtu wa kawaida na ukafanya jambo kubwa zaidi.
 
Saudi cleric claims Earth is stationary, does not revolve around Sun

A Saudi cleric in a recent video rejected the theory that the Earth revolves around the Sun and claimed that the opposite is true, Al Arabia News reported.

His statements sparked a wave of social media remarks across the globe.

When a student questioned him about whether the Earth was stationary or moving, Sheikh Bandar al-Khaibari responded with "stationary and does not move."

To support his theory, Khaibari quoted some clerics and chose to present some religious statements. He then used some visuals to further strengthen his argument.

Holding up a sealed water cup, he questioned "First of all, where are we now? We go to Sharjah airport to travel to China by plane, clear? Focus with me, this is Earth," he said pointing at the sealed cup.

He then argued that if a plane stops still in the air, "China would be coming towards it in case the Earth rotates in one direction. If the Earth rotates in the opposite direction, the plane would never reach China, because China is also rotating," he explained.

A wave of controversial remarks flooded social media, following the clerics video, so much so that a new hashtag began trending on Twitter: #cleric_rejects_rotation_of_Ea rth

Several Twitter users ridiculed the cleric for this notion.
 
Mazee unafahamu tofauti ya elimu ya madarasa?

Tatizo unachanganya elimu na madarasa, nikikuuliza elimu yako imeishia wapi kwenye mada hii naweza kumaanisha kuna kitabu gani kizuri umesoma, wewe unaona nakuuliza una degree ngapi.

Mpaka hapo ushajionyesha si critical thinker, na siwezi kushangaa unavyopinga kwamba dunia inazunguka jua, kwa sababu unafikiri very shallow.

una si unit ya kupima elimu yangu au knowledge? kama una kifaa kinachotoa exactly answer nipe nitajipima nikujibu maana naona una complicate vitu unashindwa kureason na kutoka nje ya mada
 
unajua kuwa bill gate aliquit college right? elimu ya mtu especially hii ya makaratasi haina maana yoyote hadi uwe na degree trilioni moja au uwe na badge nyingi mpaka unakodi fuso kuzibeba kama huwezi kuyakabili mazingira ya kwenye elimu yako unakuwa useless.

kwa logic yako maprofessor/madokta wengi ni zaidi ya bill gates, ila kwa logic yangu akili haihusiani na elimu ya makaratasi au umesoma vitabu vingapi unaweza kuwa mtu wa kawaida na ukafanya jambo kubwa zaidi.

Unaelewa tofauti ya elimu na madarasa?

Mimi nilikuuliza elimu yako ya makaratasi au nilikuuliza elimu yako kwenye hii mada?

Hiyo logic yangu unayoisema umeiona wapi? Au ni inferiority complex yako tu?
 
una si unit ya kupima elimu yangu au knowledge? kama una kifaa kinachotoa exactly answer nipe nitajipima nikujibu maana naona una complicate vitu unashindwa kureason na kutoka nje ya mada

Unapinga conventions halafu unaniuliza kama nina SI unit, unaelewa unaposimama wewe?
 
lukindo,

Sio waisilamu tu hata bible inaungana na quran kuwa dunia haizunguki, nimeepuka kueka mambo ya dini hapa sababu kuna watu wataanza kukashifu wenzao.
 
Last edited by a moderator:
sio waisilamu tu hata bible inaungana na quran kuwa dunia haizunguki, nimeepuka kueka mambo ya dini hapa sababu kuna watu wataanza kukashifu wenzao
Mkuu, nami sijaiweka sababu ya imani bali ni kuonyesha muendelezo wa watetezi wa hili wazo bila kujali wanatoka kabila, rangi, taifa, jinsia, kada gani. Ni kupanua mjadala tu.
 
Mkuu, nami sijaiweka sababu ya imani bali ni kuonyesha muendelezo wa watetezi wa hili wazo bila kujali wanatoka kabila, rangi, taifa, jinsia, kada gani. Ni kupanua mjadala tu.

Kuna watu wako anti west na anti science kama Boko Haram, ndio wanaopigia chapuo ujinga huu.

Mtu ukisoma kidogo tu sayansi utaona kwamba dunia kuzunguka jua watu walishamaliza mjadala kwa kiasi kikubwa tangu enzi za Galileo, Copernicus,na Brahe.

Huyu jamaa anataka kuturudisha nyuma kama miaka 500 hivi.
 
Kuna watu wako anti west na anti science kama Boko Haram, ndio wanaopigia chapuo ujinga huu.

Mtu ukisoma kidogo tu sayansi utaona kwamba dunia kuzunguka jua watu walishamaliza mjadala kwa kiasi kikubwa tangu enzi za Galileo, Copernicus,na Brahe.

Huyu jamaa anataka kuturudisha nyuma kama miaka 500 hivi.

usidanganye uma still ni theory na sio fact

heliocentric theory na geocentric theory

kuhusu kuwa anti west hili unalileta wewe sababu asilimia 33 ya wamarekani wanaamini jua ndio linazunguka dunia na sio dunia ndio inazunguka jua.

je hawa wamarekani nao unawaitaje? ant west?

scientific-literacy.jpg
 
usidanganye uma still ni theory na sio fact

heliocentric theory na geocentric theory

kuhusu kuwa anti west hili unalileta wewe sababu asilimia 33 ya wamarekani wanaamini jua ndio linazunguka dunia na sio dunia ndio inazunguka jua.

je hawa wamarekani nao unawaitaje? ant west?

Unfahamu theory ni nini na fact ni nini?

Ukitaka ku discredit kitu kwa sababu kinaitwa "theory", unafahamu kwamba hizo namba unazohesabia kila kitu, mpaka jedwali ulilotupa lilizotumia, nazo bado ni theory na si fact strictly speaking?

Unaposikia "anti-west" unaelewa nini? A geographical location?

Akili yako finyu inarudi mulemule, kufikiri elimu ni madarasa na "anti-west" ni some geographical location.
 
Chief-Mkwawa If you are in a car heading east and another car is on your side heading in the same direction as your car at the same speed, the things you will notice are :-


  1. If you look at the other car it will not seem like it is moving, people in the other car will feel the same about your car, you will both seem like you are still. This also happens when the earth is rotating and revolving, since the earth moves with the atmosphere at the same speed it is traveling, we don't get to feel the air blowing in our eyes.
  2. You will not feel the the air generated by the other moving car blowing you, you only feel the wind if the car is moving in the opposite direction, remember the whole atmosphere is moving with the earth from east to west.

Another thing. Space is vacuum, so there's no air molecules in space, which means the movement of the earth doesn't generate blowing winds in space because? vacuum.

The reason the earth keeps on moving without stopping is also because of the fact that there's vacuum in space so no friction, newtons first law of motion.(an object will keep on moving if there's no force applied on it, i tried to simplify it)

When asteroids are falling, they start burning once they enter the earth's atmosphere because once they get to our atmosphere there's no longer that space vacuum, there's air, so its that friction with air that sets them on fire(I hope you still remember the effects of friction, if you don't just start rubbing your hand on your carpet)

When NASA is launching their stuff space ships into space, they launch in the direction of the Earth's rotation not the opposite direction this has proven to work all the time(proves that the earth is moving), launching in the same direction helps to propel the ships,

assume you are in bus moving at high speed and you decide to jump, which direction is is better to jump into? same direction as the bus or opposite direction? ( i'll leave that out for you to figure, hint: smart people will jump in the same direction as the bus)

When Astronauts are in space, they can actually see the earth moving and no astronaut has ever come out and say differently (again proves that the rotation theory is true)

Let's close this topic because people are just being stubbornly dumb here and refuse to understand logic, Until an astronaut/someone comes out and says 'no this shit is not spinning' it should remain that way,

the earth is rotating and whoever says otherwise should just launch into space take a video and come with his new evidence, and by the way that Sheikh is stupid like some people here.
 
zech,

Kaka nahitaji hio evidence kwenye rangi nyekundu. nikipata hio itabidi fikra zangu kwa kiasi kikubwa sana. ikiwa kwenye video itakuwa ni vizuri zaidi.
 
Last edited by a moderator:
kaka nahitaji hio evidence kwenye rangi nyekundu. nikipata hio itabidi fikra zangu kwa kiasi kikubwa sana. ikiwa kwenye video itakuwa ni vizuri zaidi

Hii habari ya kuona dunia iki-move ukiwa katika space sifikiri kuwa ni sahihi. Hata hivyo maswali mengi uliyouliza yamejibiwa na wachangiaji kadhaa.

Kama kuna swali ama jambo lolote ambalo bado linakutatiza uliza kwa kuwa sehemu kubwa ya mashaka yako ni kukosa kweli fulani fulani na mantiki. Pia haya madai ya ooh Biblia ooh Korani imesema hivi ni janga kweli..

vitabu hivi ni vya falsafa si sayansi hivyo baadhi ya vitu vinaelezwa humo ili binadamu apate picha fulani juu ya jambo fulani kwa sababu fulani NA SI KUTOA TAARIFA SAHIHI juu ya jambo la kisayansi.

Mimi ni Mkristo.

KAMA BADO KUNA SHAKA YOYOTE KARIBU UULIZE SWALI.
 
kutokana na evidence nilizopewa na wengine ni kwamba atmosphere inatuprotect tukimove kwa hio speed kali, kwanini hizo meteors sasa inaweza kuja duniani na kuungua? na kama meteors zinaingia kitu gani kinafanya vitu vyengine kama upepo mkali usiingie?

Chief sio kweli kwamba atmosphere inatulinda dhidi ya upepo, infact huo upepo haupo. Ebu soma tena nimekueleza kuwa in space kuna minor friction between objects and gas ndio maana in space vitu vinaweza kukimbia kwa speed kubwa sana.

Na ndiyo maana kitu kikiwa kwenye motion bila lizuizi chochote in space kinaweza kuendelea na motion hiyo kwa muda mrefu.
Kwa hiyo rotation ya earth haisababishi upepo kama unavyosema chief.
 
Magembe R. Malima,

Kusema ukweli wiki iliopita tu sikuwa nikifahamu hii theory ya geocentric. nilikuwa tu najua jua lipo katikati na sayari kama dunia zinazunguka jua. siku kama mbili nyuma ndio nimefahamu hili hivyo nikawa najiuliza maswali mengi tu, ikiwemo kwa nini mashuleni hatuambiwi hiki kitu na kudebate badala yake tunalishwa tu data za heliocentric.

jamaa wa geocentric wana reason nyingi kupinga heliocentric hizi nii baadhi,

ushahidi wa macho
wakati wa summer northern hemisphere jua tunaliona likienda west-west-south mpaka mchana then west-west north hadi usiku kama picha inavyoonesha.
observable-summer-solstice-300x148.gif


kwenye theory ya heliocentric tunaambiwa dunia inajizungusha kwenye mhimili wake huku inazunguka jua, na kinachosababisha majira ya mwaka ni kwamba dunia inajitilt nyuzi 23.44. upande unaokuwa karibu na jua kunakuwa ndio summer na upande ambao upo mbali na jua inakuwa ndio winter kama picha inavyoonyesha tena.
earthtilt-300x181.gif


kama dunia inajitilt kuelekea kwenye jua inamaana ile northern hemisphere yetu pia nayo itaathirika na jua litacover eneo kubwa
summersolstice-300x207.jpg


tujikumbushe kitu hapa dunia inaenda ant-clockwise sio? inatoka west kwenda east hivyo ndio maana tunaona jua linatoka east kwenda west (bado tupo heliocentric)

kutokana na mchoro hapo juu unatonesha kuwa dunia ikijitilt basi direction ya jua itabadilika na kuwa west-west-north mpaka mchana then west-west-south mpaka usiku kama picha inavyoonesha
northern-arc-300x148.gif


tunatoka sasa heliocentric tunakuja kimacho sasa
hakujawahi kuthibitika jua likienda upande wa kaskazini hata mara moja kwenye northern hemisphere, hivyo inamaana dunia haijitilt na kama haijitilt heliocentric imefeli kuelezea majira ya mwaka na kama majira ya mwaka yameshindwa kuelezeka ina maana theory haipo sahihi.

hio ilikuwa ni observation ya kwanza jamaa wana njia nyengine kama hio ya upepo niliolezea juu pamoja na hizi.

1.hovering and falling
2.stellar parallax
3.scientific experiments

wasome zaidi hapa
Heliocentric theory is wrong (pt1) - The Wild Heretic
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom