HII IMEKAA VIBAYA KUTHIBITISHA! ILI TUAMINI KUWA DUNIA INAZUNGUKA KWENYE ORBIT TUNAHITAJI MAENDELEO MAKUBWA YA TECHNOLOGY.SWALI INASEMEKANA KUWA KUNA VITUO VYA UTAFITI VYA NASA KWENYE SPACE!JE WAMEWAHI KUIPIGA DUNIA PICHA YA VIDEO TUIONE INAVYOZUNGUKA JUA KWA KASI KAMA SIVYO KWANINI TUAMINI BASI KUWA DUNIA INAZUNGUKA JUA?Dunia haizunguki, na kama inazunguka usafiri wa anga usingewezekana
Ndiyo sayari zote zina rotation na hutofautiana, sayari ya Venus Ina rotation ndefu kuliko sayari zingine huchukua zaidi ya Siku za dunia yetu 220 kumaliza rotatation moja hivyo siku kuwa ni kubwa maana Venus rotation ni kubwa kuliko revolution, kuhusu sababu kubwa ya hizi rotation ni angular momentum ambayo kanuni yake ni L=m*w*r^2, m ni mass,w ni angular velocity radian per second kwa hiyo hata ukirusha jiwe projectile motion litajirotate tu na ili uweze kujua rotation unaweza tumia hiyo kanuni kutegemea na spidi ya hiyo object.WAKUU MIMI NINA SWALI JE SAYARI NYINGINE NAZO ZINA ROTATION (yaani kujizungusha zenyewe kwenye mihimili) WADAU HAPA WANAELEZA KUWA SPACE HAIRUHUSU OBJECT YOYOTE KUWA STATIONARY YAANI KUTULIA SEHEMU MOJA. JE NI NGUVU GANI NI CHANZO CHA ROTATION YA DUNIA YETU AU SAYARI NYINGINE KANA ZINA-ROTATE?
Sidhani kama swala la dunia kuzunguka jua linahitaji imani unachohitaji ni proof na evidence tu ili ujue ni kivipi dunia inazunguka jua tunaweza kufanya baadhi ya practical demonstration kurithibitisha hili, kuhusu swala la kupiga kuiona dunia ikizunguka aisee haiwezekani maana hizi sayari kuonekana kwenye sayari nyingine dunia inaweza onaonekana Kama kanyota tu na movement zake huwezi kuinotice Kama hivyo unavyodhani na ikiwezekana huwezi kuionekana kabisa ni Kama vile tunavyoona sayari Kama Venus ama mars pindi zinapopita karibu na dunia. Na hakuna teknolojia yoyote kwa sasa ambayo inaweza kuwezesha vyombo kutoka kwenye solar system yetu kwenda kwenye galaxy zingine.HII IMEKAA VIBAYA KUTHIBITISHA! ILI TUAMINI KUWA DUNIA INAZUNGUKA KWENYE ORBIT TUNAHITAJI MAENDELEO MAKUBWA YA TECHNOLOGY.SWALI INASEMEKANA KUWA KUNA VITUO VYA UTAFITI VYA NASA KWENYE SPACE!JE WAMEWAHI KUIPIGA DUNIA PICHA YA VIDEO TUIONE INAVYOZUNGUKA JUA KWA KASI KAMA SIVYO KWANINI TUAMINI BASI KUWA DUNIA INAZUNGUKA JUA?
EH KWELI SAYANSI NI NGUMU.NIMEONA PICHA KUBWA ZA SOLA SYSTEM KWENYE MTANDAO NIKAFIKIRI WANGELIWEZA PIA KUPIGA ZILE ZA VIDEO!Ndiyo sayari zote zina rotation na hutofautiana, sayari ya Venus Ina rotation ndefu kuliko sayari zingine huchukua zaidi ya Siku za dunia yetu 220 kumaliza rotatation moja hivyo siku kuwa ni kubwa maana Venus rotation ni kubwa kuliko revolution, kuhusu sababu kubwa ya hizi rotation ni angular momentum ambayo kanuni yake ni L=m*w*r^2, m ni mass,w ni angular velocity radian per second kwa hiyo hata ukirusha jiwe projectile motion litajirotate tu na ili uweze kujua rotation unaweza tumia hiyo kanuni kutegemea na spidi ya hiyo object.
Sidhani kama swala la dunia kuzunguka jua linahitaji imani unachohitaji ni proof na evidence tu ili ujue ni kivipi dunia inazunguka jua tunaweza kufanya baadhi ya practical demonstration kurithibitisha hili, kuhusu swala la kupiga kuiona dunia ikizunguka aisee haiwezekani maana hizi sayari kuonekana kwenye sayari nyingine dunia inaweza onaonekana Kama kanyota tu na movement zake huwezi kuinotice Kama hivyo unavyodhani na ikiwezekana huwezi kuionekana kabisa ni Kama vile tunavyoona sayari Kama Venus ama mars pindi zinapopita karibu na dunia. Na hakuna teknolojia yoyote kwa sasa ambayo inaweza kuwezesha vyombo kutoka kwenye solar system yetu kwenda kwenye galaxy zingine.
NINA KAMA 47YRS OLD ZAMANI NIKIWA MDOGO HUKO KIJIJINI NILIPOKULIA NILIONESHWA PICHA ZA VYOMBO APOLO 11 AMBAZO WENZETU WALITUMIA KUTUA MWEZINI. LEO NASOMA KWENYE MTANDAO KUWA ZILE ZILIKUWA ZA KUUNDWA TU WAKATI WA COLD WAR KATI YA MAREKANI NA URUSI. HIVYO DI AJABU SIKU NYINGINE TUKA AMBIWA TUFUTE AKILINI MAMBO MENGINE AMBAYO TULIAMINISHWA. MAANA TECHNOLOGY (application of Science at work!) INAKUA!!!Ndiyo sayari zote zina rotation na hutofautiana, sayari ya Venus Ina rotation ndefu kuliko sayari zingine huchukua zaidi ya Siku za dunia yetu 220 kumaliza rotatation moja hivyo siku kuwa ni kubwa maana Venus rotation ni kubwa kuliko revolution, kuhusu sababu kubwa ya hizi rotation ni angular momentum ambayo kanuni yake ni L=m*w*r^2, m ni mass,w ni angular velocity radian per second kwa hiyo hata ukirusha jiwe projectile motion litajirotate tu na ili uweze kujua rotation unaweza tumia hiyo kanuni kutegemea na spidi ya hiyo object.
Sidhani kama swala la dunia kuzunguka jua linahitaji imani unachohitaji ni proof na evidence tu ili ujue ni kivipi dunia inazunguka jua tunaweza kufanya baadhi ya practical demonstration kurithibitisha hili, kuhusu swala la kupiga kuiona dunia ikizunguka aisee haiwezekani maana hizi sayari kuonekana kwenye sayari nyingine dunia inaweza onaonekana Kama kanyota tu na movement zake huwezi kuinotice Kama hivyo unavyodhani na ikiwezekana huwezi kuionekana kabisa ni Kama vile tunavyoona sayari Kama Venus ama mars pindi zinapopita karibu na dunia. Na hakuna teknolojia yoyote kwa sasa ambayo inaweza kuwezesha vyombo kutoka kwenye solar system yetu kwenda kwenye galaxy zingine.
Nenda kwenye tovuti ya NASA uliza swali hilo, watakuletea link inayokuonesha dunia ikizunguka live, tena utaona na idadi ya watu mnaoitazama kwa muda huo.HII IMEKAA VIBAYA KUTHIBITISHA! ILI TUAMINI KUWA DUNIA INAZUNGUKA KWENYE ORBIT TUNAHITAJI MAENDELEO MAKUBWA YA TECHNOLOGY.SWALI INASEMEKANA KUWA KUNA VITUO VYA UTAFITI VYA NASA KWENYE SPACE!JE WAMEWAHI KUIPIGA DUNIA PICHA YA VIDEO TUIONE INAVYOZUNGUKA JUA KWA KASI KAMA SIVYO KWANINI TUAMINI BASI KUWA DUNIA INAZUNGUKA JUA?
Mimi nauliza hivi kama tuko nnje yadunia nadunia inazunguka mbona hatuanguki? Nakama kunahiyo nguvu in anamana wakati mwingine tunakua kichwa chini miguu juu?Hatundoki kwa vile kuna gravity ina act kutuvuta centre of the earth
Wataalam wanasema mbaka sasa binadam anatumia aslimia arobaini yauwezo katika ubingo wake tutapata majibu kamili akitumia aslimia themanini ndoninavyo amino mimiNenda kwenye tovuti ya NASA uliza swali hilo, watakuletea link inayokuonesha dunia ikizunguka live, tena utaona na idadi ya watu mnaoitazama kwa muda huo.
Limit ni wastani wa swali moja kwa siku kwa mtu mmoja.
Tupo ktk uso wa dunia sio nje na Gravitational pulls inatuvuta inward to the centre of the earthMimi nauliza hivi kama tuko nnje yadunia nadunia inazunguka mbona hatuanguki? Nakama kunahiyo nguvu in anamana wakati mwingine tunakua kichwa chini miguu juu?
Dunia hailizunguki jua bali jua ndio linaizunguka dunia.Huu ndio ule uongo mwingine wa fitna za kisayansi kama walivyo tuongopea ya kuwa kuna mtu alienda mwezini.tumesoma kwenye jografia kua dunia inazunguka jua hivyo tunapata majira ya mwaka kama kiangazi na masika je ni kweli? galileo alikuwa sahihi?
Fikra ya kawaida
chukulia umepanda ndege au hellcopter halafu unaenda marekani then ile hellcopter ikasimama juu angani kwa muda mrefu lets say mwezi mmoja, je dunia itakuacha? kama haikuachi hio dunia inazungukaje kwenye orbit? na zile satelite ambazo zipo angani kama dunia inazunguka kwenye orbit mbona hatuzigongi? tunaambiwa dunia inazunguka kwa speed kubwa sana ina maana satelite zinamatch speed ya dunia?
Theory ya taycho brahe
Jamaa huyu mdanish (denmark) alitoa theory yake ambayo inamashiko tu
-sayari nyengine kama mercury na venus zinazunguka jua
-then jua na mwezi vinazunguka dunia
Kama theory ya juu ipo sahihi inamaana hata dunia haizunguki bali jua ndio linatuzunguka.
Mnaonaje hii ipoje? kuna mtu ana point za kuprove kuwa galileo yupo sahihi?
Kaka unaijua vizuri misingi ya sayansi ?Unajua sisi huwa hatufikirii kimatabaka.Chief-Mkwawa,
Kwanza tambua ya kwamba Sayari yetu ya Dunia inazunguka kwenye muhimili wake, halafu unavyoruka na ndege bado umo Duniani sasa kwanini Dunia ikuache wakati wewe umo ndani yake?
Dunia haiwezi kukuacha wewe ndiyo unaweza kuicha Dunia kama ukifikia mwendo (escape velocity) fulani then utatoka kwenye Sayari ya Dunia na kuingia space!
Satelite kwanza haipo Duniani na kila Sayari ina njia yake, ukikokotoa Kepler's Equations nafikiri kanuni ya pili ya Kepler itakwambia pamoja na Gravitational Law utapata jibu ni kwanini sayari zinabakia kwenye njia zake na hazianguki!
Kaka usijivunie falsafa.Sisi kwetu falsafa si elimu ya kujifunza mtu kwani haimsaidii mtu zaidi ya kumfanya azidi kuwa mjinga.Hebu soma vzr ulichoandika.
Rotational speed = 30km/h
After 10 seconds
Distance covered ???
Pia kuna tofauti ya rotational and translational motions.
Wanna be the philosopher? Welcome to my world.
Kiongozi hizo ni sinema na makanya boya wangapi waliaminishwa kuna mtu alienda mwezini na si kweli ? Hakuna mtu aliyeenda mwezini na hatoenda mwezini.Danny Job,
Sure it make sense kwenye nguvu ya uvutano, je kwa nasa, china na urusi ambao wanatuma vyombo kwenye anga za juu wakirudi hawaikuti dunia pale walipoiacha? inakuwa imesogea kwengine?
na zile picha za toka anga ya juu mbona sjawahi kuona hata moja ikionesha dunia yetu ikizunguka kwa speed?
ni kweli mkuu si vyema kuamini kila unaloambiwa, lakini kama muisilamu pia unatakiwa uitafute elimu, ni vyema kusoma kila kituKiongozi hizo ni sinema na makanya boya wangapi waliaminishwa kuna mtu alienda mwezini na si kweli ? Hakuna mtu aliyeenda mwezini na hatoenda mwezini.
Kaka hivi ni vita vya mataifa makubwa kuonyesha nani ni nani na kutokana na wao kutokuwa na imani wala uoga hawakuona shida kututengenezea filamu iliyopendwa sana ya mtu aliyeenda mwezini lakini jambo hili mbona limefichuka tangu miaka ya sabini ?
Hapa nayazungumzia mataifa ya urusi na marekani.
Na wao wenyewe wakakosoana na hatimae aliyekuwa anafichua siri juu ya ukweli kuhusu mtu kwenda mwezini alikuwa ni halali yao.Sasa ya nini tuendelee kudanfanywa ?
Hili suala la dunia kuizunguka jua si la kweli ndio maana kuna mbwe mbwe nyingi na nadharia lukuki mara kwendo kasi mkali sana.
Kaka huu wakati si wakufata nadharia ni wakati wakufata hakika ya mambo yalivyo.
Mimi leo hii masuala ya sayari na anga siyatilii manani hata chembe sababu walinidanya zamani na sitaki wanidanganye leo.
Lakini mimi kitabu changu cha imani kimeniondolea shaka zote.Wala sidanganywi tena.
Hii sayansi inavimbwanga sana.
Si vyema kusoma kila kitu bali ni vyema kujifunza kile chenye manufaa na kusuchokuwa na manufaa una achana nacho.ni kweli mkuu si vyema kuamini kila unaloambiwa, lakini kama muisilamu pia unatakiwa uitafute elimu, ni vyema kusoma kila kitu
Haya maigizo nayachukia sana kaka.Huwa najiuliza kwanini huwa wanaamua kuwadanganya watu ili iweje na wanapata nini ? Nani aliwaambia wasipojua kitu fulani watachekwa ?video nyengine theory ya tatu ambayo haifanani na hizo mbili hapo juu, hii inasema dunia na jua zote zinazunguka na jua halijasimama. uzungukaji wake ni kama spiral au vortex ndio maana picha za galaxy zikipigwa zinakuwa namna hio
Kaka unaposema sisi tupo ndani ya dunia unamaanisha nini sijakuelewa hapo ?Ngoja nitoe Rough knowledge kama Astronomer na mdau mkubwa space engineering sasa tuanzia hapo kwa ukiwa juu ya ndege dunia inakuacha ,Ndege zote kasoro rocket zipo ndani ya dunia hivo hata upae nayo aje dunia haiwezi kukuacha mana upo ndani ni kweli dunia inazunguka ktk njia yake ya duara orbital kwanini hatugundui kama inazunguka kwa vile tumo ndani yake na ipo ktk constant speed yani mabadiliko ya speed na kujilinganisha na stationary object uwapo ktk chombo kinacho safiri ndo utagundua upo kwenye mwendo , Satellite zote zipo nje ya dunia na sio kuwa zote zina match speed na dunia no hizo zinazofanana speed na dunia ni Geostationary sat zipo umbali wa 36000Km na zinatembea hazipo stationary sasa nitoe darasa na maswali juu umewah jiuliza kwanini tuna elekeza dishi zetu labda azam upande fulani fixed ile hali satellite ipo ktk mwendo? yani angular velocity
Kaka mfano wako nimeulewa sana.Hivi dunia ina umbo gani ? Pia lazima uniambie dunia inazungukaje na kama inazunguka je inazunguka kama jua linavyozunguka au mwezi ?Kuhusu speed ya dunia.ulichokosea ni kufikilia uwezo ulionao wewe ukaulinganisha na dunia. Chukulia tumeweka mashindano ya mbio za mita moja kati yako wewe na sisimizi kumbuka mita moja sijakosea. Hivi wewe si milliseconds kadhaa umemaliza mashindano je sisimizi atachukua mda gani..concept hapa ni kwamba dunia kwa ukubwa wake inaweza kucover kilometer nyingi kwa mda mchache kuliko unavyofikilia. Hivyo hiyo speed usidhani utaiona dunia ikiwa inakwenda kwa kasi sana! Ni ipo mwendo wa kinyonga brother brother