Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
limetumbuka,
Mfano nipo juu ya gari then nikaruka juu basi gari litaniacha na mimi nitadondoka chini, iweje ndege imeruka ipo juu uniambie ipo duniani bado?
halafu na satelite (man made sio sayari) si zipo juu ya dunia why hatuzigongi?
![]()
Mtu akiwa juu ya gari then akaruka ni dhahiri kwamba gari litamuacha,ila je ushafikiria mtu ambaye yuko ndani ya bus ambalo liko wazi juu (let say mtoto) then akaruka kwa kutumia nguvu kidogo,je bus litamuacha au ataangakia ndan ya hilohilo bus??.
Basi hata kwa dunia ipo hivyo,ili kitu chochote ili kitoke nje ya dunia lazima kiwe projected kwa velocity kubwa (called escape velocity=11.2km/s ).
Pia mkuu ndege na helicopter haziwezi kuachwa na dunia kwasababu zinakuwa bado zipo ndani ya mipaka ya dunia,zinakuwa bado zipo chini ya gravitation force ya dunia inayozifanya ziendelee kuwepo
tumesoma kwenye jografia kua dunia inazunguka jua hivyo tunapata majira ya mwaka kama kiangazi na masika je ni kweli? galileo alikuwa sahihi?
Fikra ya kawaida
chukulia umepanda ndege au hellcopter halafu unaenda marekani then ile hellcopter ikasimama juu angani kwa muda mrefu lets say mwezi mmoja, je dunia itakuacha? kama haikuachi hio dunia inazungukaje kwenye orbit? na zile satelite ambazo zipo angani kama dunia inazunguka kwenye orbit mbona hatuzigongi? tunaambiwa dunia inazunguka kwa speed kubwa sana ina maana satelite zinamatch speed ya dunia?
Theory ya taycho brahe
Jamaa huyu mdanish (denmark) alitoa theory yake ambayo inamashiko tu
-sayari nyengine kama mercury na venus zinazunguka jua
-then jua na mwezi vinazunguka dunia
![]()
Kama theory ya juu ipo sahihi inamaana hata dunia haizunguki bali jua ndio linatuzunguka.
Mnaonaje hii ipoje? kuna mtu ana point za kuprove kuwa galileo yupo sahihi?
Mkuu nimekusoma maswali yako na pia nimekuelewa vzr.Inaonekana ulisoma physics ila nahisi hukubahatika kuendelea nayo hasa ktk higher levels.Ila una haki ya kuuliza ili walau upate majibu
Last edited by a moderator: