beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
1. Dunia sio duara bali ni bapa isipokuwa ni bapa yenye milima na mabonde.
2. Dunia hsizunguki jua. Tumia akili ya kawaida, chukua mpira au chubgwa kisha igundike zile toothpick kueneza pande zote alafu zungusha. Utaona kuna point fulani ukifika toothpick zinadondoka.
Kama dunia duara why sisi hatudondoki? Nilikubali dunia duara ili nifaulu mitihani lakini moyoni nasema NO.
Duh! Mmasai kaingia Disco na sime.