Je, ni kweli Freeman Mbowe yupo Kazini?

hahahahaha sema umeandika kinyonge sana ...
 
Hata wewe nahisi upo kazini
 
Duh!!,mie yangu macho japo akili ya kuambiwa hapo changanya na yako
 
Vile vijiwe vya kahawa vingi vina uongo na umbea. Niliwah kwenda kupata kahawa, nikamsikia jamaa mmoja anawasimulia watu eti, yeye ana aleji ya hewa, so eti siku moja alikuwa anasafiri na ndege, akiwa juu, akamwambia rubani afungue madirisha apate hewa ya juu. Uongo mtupu
 
Hahahahah

Huyo jamaa fundi wa kutunga uongo shetani haoni ndani.
 
Ramli chonganishi hii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…