Je, ni kweli Freeman Mbowe yupo Kazini?

Je, ni kweli Freeman Mbowe yupo Kazini?

Ninachokiona hapa mimi ni kimoja tu, hakuna upinzani ndan ya hili taifa, wapinzani haswa ndani ya hili taifa wanahesabika na mmoja wapo ni TUNDU LISSU.

Kitu kinachonifanya nione Mbowe hayupo sawa ni kimoja tu, kimoja tu, Lowassa kugombea 2015.

Hapa ndipo CDM tulipoanguka, mpaka sasa hatujaweza kusimama vizuri baada ya anguko hili.
 
Atukuzwe Mungu wetu Aliye Mkuu na Mtakatifu Sana.

Usiku wa jana nilikua ndani ya viunga vya Kariakoo, sehemu muhimu kibiashara ndani ya jiji la Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla.. Nitaleta Mrejesho wa kile kilicho nipeleka pale

Kwa Sasa nataka kufahamishwa/kujuzwa Jambo hili ambalo nililinyaka/kulipata nikiwa pale Kariakoo.

Yalikua majira ya saa 0220 usiku nikiwa katika ile kazi iliyonipeleka pale mara baada ya kuusoma Uzi wa Mkuu Mshana Jr nikiwa mahali pale kulikuwa na kikundi fulani cha wazee na vijana wakipata kinywaji cha kahawa.. kundi lile lilikuwa limechangamka kwa stori za hapa na pale, wakati Mimi nasogea pale nilikuta mada inayomuhusu Mh. Mbowe.

Wanasema ukienda rumi fanya kama wafanyavyo warumi, basi kwa wepesi wa kanuni hii na Mimi nikaagiza kahawa (Japo si mtumiaji wa kinywaji hiki) na kisha nikatega sikio langu kwa umakini mkubwa.

Mzee mmoja ambaye bila shaka anaheshimika na kuogopeka miongoni wa wale wengine alikuwa akielezea sakata la Mh. Mbowe kuwa hii kesi yake na kufungwa kwake ni Danganya toto ili kuficha na kupoteza mambo mengine, akaulizwa kivipi kadiri ya maelezo ya yule Mzee ni kuwa Mh.Mbowe ni mmoja wa watu wa ile idara nyeti yenye jukumu la kuzingatis usalama wa nchi unakuwa katika ubora wake.

"Yule, yupo kazini pale na analipwa kama maafisa wengine wanavyolipwa posho zao za siku wakiwa katika misheni".. Haya yalikuwa maneno ya yule Mzee, kiukweli niliduwaa na kubaki na maulizo mengi, na ndio maana nikaleta bandiko hili ili wale wataalamu watusaidie kulichambua na kulinyumbua kinyumbufu.

Umakini wangu mahali pale ulipotezwa ghafla mara baada ya kundi lile kuhamia kwenye stori za timu za Kariakoo, nikaamua kuachana na lile kundi ili nitimize majukumu yangu ya msingi.

Katika yote, wananchi wenye mapenzi mema na nchi yetu kwa usalama na taswira nzuri ya nchi Tumuombe Mungu sakata hili limalizike kwa amani.

Ee Mungu Uturehemu.
story za kwenye kahawa.
 
Nijuacho mimi ni kuwa !Mbowe kawekwa ndani kumsafishia mama njia ya kushinda uchaguzi ujao!!!!Dai la katiba lipo lakini amewahi sana kudai hivyo amewekwa kimkakati ili kuandaa mazingira ya katiba mpya baadae na sio sasa!!!
Basi huu utakuwa mkakati wa kinyama na kishenzi sana
 
Kwakuwa ujinga huu uliuchukuwa kwenye kijiwe cha kahawa basi tumekusamehe, ila usirudie siku nyingine kutuletea mambo ya kitoto.
Ajabu ni kwamba unaweza ukawa ni mjinga wa mwisho,mtu mwenye akiki anaona mchezo wa Mbowe kukwamisha mambo kadhaa na hekima ambayo hua anaitumia ktk baadhi ya maeneo na hasa bungeni,operation kibao tu alizikwamisha,na hata kabla ya huyu ndugu kukuta hii story bado wengine tulishaga stuka kitambo,Tanzania ni nchi janja sana inaweka waTanzania salama kwa akili bila wao waTanzania kuelewa lolote,maana mzungu asipoona msuguano ndani yetu yamkini akatuletea shida
 
Atukuzwe Mungu wetu Aliye Mkuu na Mtakatifu Sana.

Usiku wa jana nilikua ndani ya viunga vya Kariakoo, sehemu muhimu kibiashara ndani ya jiji la Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla.. Nitaleta Mrejesho wa kile kilicho nipeleka pale

Kwa Sasa nataka kufahamishwa/kujuzwa Jambo hili ambalo nililinyaka/kulipata nikiwa pale Kariakoo.

Yalikua majira ya saa 0220 usiku nikiwa katika ile kazi iliyonipeleka pale mara baada ya kuusoma Uzi wa Mkuu Mshana Jr nikiwa mahali pale kulikuwa na kikundi fulani cha wazee na vijana wakipata kinywaji cha kahawa.. kundi lile lilikuwa limechangamka kwa stori za hapa na pale, wakati Mimi nasogea pale nilikuta mada inayomuhusu Mh. Mbowe.

Wanasema ukienda rumi fanya kama wafanyavyo warumi, basi kwa wepesi wa kanuni hii na Mimi nikaagiza kahawa (Japo si mtumiaji wa kinywaji hiki) na kisha nikatega sikio langu kwa umakini mkubwa.

Mzee mmoja ambaye bila shaka anaheshimika na kuogopeka miongoni wa wale wengine alikuwa akielezea sakata la Mh. Mbowe kuwa hii kesi yake na kufungwa kwake ni Danganya toto ili kuficha na kupoteza mambo mengine, akaulizwa kivipi kadiri ya maelezo ya yule Mzee ni kuwa Mh.Mbowe ni mmoja wa watu wa ile idara nyeti yenye jukumu la kuzingatis usalama wa nchi unakuwa katika ubora wake.

"Yule, yupo kazini pale na analipwa kama maafisa wengine wanavyolipwa posho zao za siku wakiwa katika misheni".. Haya yalikuwa maneno ya yule Mzee, kiukweli niliduwaa na kubaki na maulizo mengi, na ndio maana nikaleta bandiko hili ili wale wataalamu watusaidie kulichambua na kulinyumbua kinyumbufu.

Umakini wangu mahali pale ulipotezwa ghafla mara baada ya kundi lile kuhamia kwenye stori za timu za Kariakoo, nikaamua kuachana na lile kundi ili nitimize majukumu yangu ya msingi.

Katika yote, wananchi wenye mapenzi mema na nchi yetu kwa usalama na taswira nzuri ya nchi Tumuombe Mungu sakata hili limalizike kwa amani.

Ee Mungu Uturehemu.
Mbowe hawezi kulamba maviatu ya mafisi
 
Nilivyosoma "kijiwe Cha kahawa "nikaishia hapohapo" vijiwe hivyo kila mtu ni PhD holder
 
Ukitaka kumuangalia huyu mwamba anzia mbali, ukimuangalia kidwanzi dwanzi unaweza sema mko pamoja, lakini jamaa ana mission ngumu kuliko ugumu wenyewe..huyu kaishikiliaa chadema ili isishindane na FiiSiiEem, huyu mtibua mambo tu anayekula mshahara ki ugumu kweli kweli.

Binafsi simuoni mbowe kama mpinzani labda mwana mazingaombwe,

Kuna Mbowe, alafu kuna Simba na Yanga, hivi vitu vinafanya watu wawe kama wanasesere!
 
Atukuzwe Mungu wetu Aliye Mkuu na Mtakatifu Sana.

Usiku wa jana nilikua ndani ya viunga vya Kariakoo, sehemu muhimu kibiashara ndani ya jiji la Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla.. Nitaleta Mrejesho wa kile kilicho nipeleka pale

Kwa Sasa nataka kufahamishwa/kujuzwa Jambo hili ambalo nililinyaka/kulipata nikiwa pale Kariakoo.

Yalikua majira ya saa 0220 usiku nikiwa katika ile kazi iliyonipeleka pale mara baada ya kuusoma Uzi wa Mkuu Mshana Jr nikiwa mahali pale kulikuwa na kikundi fulani cha wazee na vijana wakipata kinywaji cha kahawa.. kundi lile lilikuwa limechangamka kwa stori za hapa na pale, wakati Mimi nasogea pale nilikuta mada inayomuhusu Mh. Mbowe.

Wanasema ukienda rumi fanya kama wafanyavyo warumi, basi kwa wepesi wa kanuni hii na Mimi nikaagiza kahawa (Japo si mtumiaji wa kinywaji hiki) na kisha nikatega sikio langu kwa umakini mkubwa.

Mzee mmoja ambaye bila shaka anaheshimika na kuogopeka miongoni wa wale wengine alikuwa akielezea sakata la Mh. Mbowe kuwa hii kesi yake na kufungwa kwake ni Danganya toto ili kuficha na kupoteza mambo mengine, akaulizwa kivipi kadiri ya maelezo ya yule Mzee ni kuwa Mh.Mbowe ni mmoja wa watu wa ile idara nyeti yenye jukumu la kuzingatis usalama wa nchi unakuwa katika ubora wake.

"Yule, yupo kazini pale na analipwa kama maafisa wengine wanavyolipwa posho zao za siku wakiwa katika misheni".. Haya yalikuwa maneno ya yule Mzee, kiukweli niliduwaa na kubaki na maulizo mengi, na ndio maana nikaleta bandiko hili ili wale wataalamu watusaidie kulichambua na kulinyumbua kinyumbufu.

Umakini wangu mahali pale ulipotezwa ghafla mara baada ya kundi lile kuhamia kwenye stori za timu za Kariakoo, nikaamua kuachana na lile kundi ili nitimize majukumu yangu ya msingi.

Katika yote, wananchi wenye mapenzi mema na nchi yetu kwa usalama na taswira nzuri ya nchi Tumuombe Mungu sakata hili limalizike kwa amani.

Ee Mungu Uturehemu.
Ameenda kushushushu Nini huko jela? Maana habarzajela waulizewafungwa yte yatakuwa hadharani.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
NI VIGUMU SANA KUELEWESHA UMMA KUHUSU HILI SUALA LA MBOWE KUWA MZUGAJI TU NDANI YA CHADEMA ........

NB. miaka sitini ya uhuru bado chama kimoja tu kinatawala hadi leo ??
...
...
...BONGO HII NCHI INAFIKIRISHA SANA .
 
Eti wazee wa kale johnthebaptist & mrangi mnasemaje juu ya hili suala?

Niliwahi kuona mkidadavua mambo mengi sana majukwaani humu ambayo sisi watoto wajuzi tulibaki vinywa wazi

Nitafurahi kuona hekima yenu hata sasa tena.

Na je Mtumaini Mungu Ulituahidi kutupatia mrejesho gani na unatuletea mrejesho upi?
 
Eti wazee wa kale johnthebaptist & mrangi mnasemaje juu ya hili suala?

Niliwahi kuona mkidadavua mambo mengi sana majukwaani humu ambayo sisi watoto wajuzi tulibaki vinywa wazi

Nitafurahi kuona hekima yenu hata sasa tena.

Na je Mtumaini Mungu Ulituahidi kutupatia mrejesho gani na unatuletea mrejesho upi?
Mkuu MREJESHO wa kazi Mama niliyoenda kuifanya kule UTAPANDA HEWANI muda mfupi toka Sasa.
 
Ndo walewale
Mtikila ndio alikuwa Mpinzani wa kweli.
Alifungua kesi mahakamani ya mgombea binafsi na akashinda.

Hakuwahi kwenda ikulu kunywa chai.
Hakuwahi kuhudhuria sherehe za Chama Tawala
Hakuwahi kuomba maridhiano na Chama Tawala

Huyo mwingine ni muigizaji tu, siku zote ambazo yuko rumande analipwa Per Day yake.
Tena nzuri tu.
 
Kwa hiyo bowe ni jasusi, jasusi gani linapata suluba namna hii wakati majasusi yanafanya kazi zao smoothlly? Kama mbowe ni kachero basi kuna makachero mengi sana yamejikita kwenye vyama vya upinzani na dini, hata yule jamaa machachari wa uviko naye atakuwa jasusi tu
 
Back
Top Bottom