Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaniambia Mimi?Punguza udaku
story za kwenye kahawa.Atukuzwe Mungu wetu Aliye Mkuu na Mtakatifu Sana.
Usiku wa jana nilikua ndani ya viunga vya Kariakoo, sehemu muhimu kibiashara ndani ya jiji la Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla.. Nitaleta Mrejesho wa kile kilicho nipeleka pale
Kwa Sasa nataka kufahamishwa/kujuzwa Jambo hili ambalo nililinyaka/kulipata nikiwa pale Kariakoo.
Yalikua majira ya saa 0220 usiku nikiwa katika ile kazi iliyonipeleka pale mara baada ya kuusoma Uzi wa Mkuu Mshana Jr nikiwa mahali pale kulikuwa na kikundi fulani cha wazee na vijana wakipata kinywaji cha kahawa.. kundi lile lilikuwa limechangamka kwa stori za hapa na pale, wakati Mimi nasogea pale nilikuta mada inayomuhusu Mh. Mbowe.
Wanasema ukienda rumi fanya kama wafanyavyo warumi, basi kwa wepesi wa kanuni hii na Mimi nikaagiza kahawa (Japo si mtumiaji wa kinywaji hiki) na kisha nikatega sikio langu kwa umakini mkubwa.
Mzee mmoja ambaye bila shaka anaheshimika na kuogopeka miongoni wa wale wengine alikuwa akielezea sakata la Mh. Mbowe kuwa hii kesi yake na kufungwa kwake ni Danganya toto ili kuficha na kupoteza mambo mengine, akaulizwa kivipi kadiri ya maelezo ya yule Mzee ni kuwa Mh.Mbowe ni mmoja wa watu wa ile idara nyeti yenye jukumu la kuzingatis usalama wa nchi unakuwa katika ubora wake.
"Yule, yupo kazini pale na analipwa kama maafisa wengine wanavyolipwa posho zao za siku wakiwa katika misheni".. Haya yalikuwa maneno ya yule Mzee, kiukweli niliduwaa na kubaki na maulizo mengi, na ndio maana nikaleta bandiko hili ili wale wataalamu watusaidie kulichambua na kulinyumbua kinyumbufu.
Umakini wangu mahali pale ulipotezwa ghafla mara baada ya kundi lile kuhamia kwenye stori za timu za Kariakoo, nikaamua kuachana na lile kundi ili nitimize majukumu yangu ya msingi.
Katika yote, wananchi wenye mapenzi mema na nchi yetu kwa usalama na taswira nzuri ya nchi Tumuombe Mungu sakata hili limalizike kwa amani.
Ee Mungu Uturehemu.
Basi huu utakuwa mkakati wa kinyama na kishenzi sanaNijuacho mimi ni kuwa !Mbowe kawekwa ndani kumsafishia mama njia ya kushinda uchaguzi ujao!!!!Dai la katiba lipo lakini amewahi sana kudai hivyo amewekwa kimkakati ili kuandaa mazingira ya katiba mpya baadae na sio sasa!!!
It is too lateHapo kinachotafutwa ni chadema... kukidhoofisha na hatimaye kukipoteza kabisa
Hizi ni za wanywa kahawa, wabobezi.story za kwenye kahawa.
Ajabu ni kwamba unaweza ukawa ni mjinga wa mwisho,mtu mwenye akiki anaona mchezo wa Mbowe kukwamisha mambo kadhaa na hekima ambayo hua anaitumia ktk baadhi ya maeneo na hasa bungeni,operation kibao tu alizikwamisha,na hata kabla ya huyu ndugu kukuta hii story bado wengine tulishaga stuka kitambo,Tanzania ni nchi janja sana inaweka waTanzania salama kwa akili bila wao waTanzania kuelewa lolote,maana mzungu asipoona msuguano ndani yetu yamkini akatuletea shidaKwakuwa ujinga huu uliuchukuwa kwenye kijiwe cha kahawa basi tumekusamehe, ila usirudie siku nyingine kutuletea mambo ya kitoto.
Mbowe hawezi kulamba maviatu ya mafisiAtukuzwe Mungu wetu Aliye Mkuu na Mtakatifu Sana.
Usiku wa jana nilikua ndani ya viunga vya Kariakoo, sehemu muhimu kibiashara ndani ya jiji la Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla.. Nitaleta Mrejesho wa kile kilicho nipeleka pale
Kwa Sasa nataka kufahamishwa/kujuzwa Jambo hili ambalo nililinyaka/kulipata nikiwa pale Kariakoo.
Yalikua majira ya saa 0220 usiku nikiwa katika ile kazi iliyonipeleka pale mara baada ya kuusoma Uzi wa Mkuu Mshana Jr nikiwa mahali pale kulikuwa na kikundi fulani cha wazee na vijana wakipata kinywaji cha kahawa.. kundi lile lilikuwa limechangamka kwa stori za hapa na pale, wakati Mimi nasogea pale nilikuta mada inayomuhusu Mh. Mbowe.
Wanasema ukienda rumi fanya kama wafanyavyo warumi, basi kwa wepesi wa kanuni hii na Mimi nikaagiza kahawa (Japo si mtumiaji wa kinywaji hiki) na kisha nikatega sikio langu kwa umakini mkubwa.
Mzee mmoja ambaye bila shaka anaheshimika na kuogopeka miongoni wa wale wengine alikuwa akielezea sakata la Mh. Mbowe kuwa hii kesi yake na kufungwa kwake ni Danganya toto ili kuficha na kupoteza mambo mengine, akaulizwa kivipi kadiri ya maelezo ya yule Mzee ni kuwa Mh.Mbowe ni mmoja wa watu wa ile idara nyeti yenye jukumu la kuzingatis usalama wa nchi unakuwa katika ubora wake.
"Yule, yupo kazini pale na analipwa kama maafisa wengine wanavyolipwa posho zao za siku wakiwa katika misheni".. Haya yalikuwa maneno ya yule Mzee, kiukweli niliduwaa na kubaki na maulizo mengi, na ndio maana nikaleta bandiko hili ili wale wataalamu watusaidie kulichambua na kulinyumbua kinyumbufu.
Umakini wangu mahali pale ulipotezwa ghafla mara baada ya kundi lile kuhamia kwenye stori za timu za Kariakoo, nikaamua kuachana na lile kundi ili nitimize majukumu yangu ya msingi.
Katika yote, wananchi wenye mapenzi mema na nchi yetu kwa usalama na taswira nzuri ya nchi Tumuombe Mungu sakata hili limalizike kwa amani.
Ee Mungu Uturehemu.
Ameenda kushushushu Nini huko jela? Maana habarzajela waulizewafungwa yte yatakuwa hadharani.Atukuzwe Mungu wetu Aliye Mkuu na Mtakatifu Sana.
Usiku wa jana nilikua ndani ya viunga vya Kariakoo, sehemu muhimu kibiashara ndani ya jiji la Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla.. Nitaleta Mrejesho wa kile kilicho nipeleka pale
Kwa Sasa nataka kufahamishwa/kujuzwa Jambo hili ambalo nililinyaka/kulipata nikiwa pale Kariakoo.
Yalikua majira ya saa 0220 usiku nikiwa katika ile kazi iliyonipeleka pale mara baada ya kuusoma Uzi wa Mkuu Mshana Jr nikiwa mahali pale kulikuwa na kikundi fulani cha wazee na vijana wakipata kinywaji cha kahawa.. kundi lile lilikuwa limechangamka kwa stori za hapa na pale, wakati Mimi nasogea pale nilikuta mada inayomuhusu Mh. Mbowe.
Wanasema ukienda rumi fanya kama wafanyavyo warumi, basi kwa wepesi wa kanuni hii na Mimi nikaagiza kahawa (Japo si mtumiaji wa kinywaji hiki) na kisha nikatega sikio langu kwa umakini mkubwa.
Mzee mmoja ambaye bila shaka anaheshimika na kuogopeka miongoni wa wale wengine alikuwa akielezea sakata la Mh. Mbowe kuwa hii kesi yake na kufungwa kwake ni Danganya toto ili kuficha na kupoteza mambo mengine, akaulizwa kivipi kadiri ya maelezo ya yule Mzee ni kuwa Mh.Mbowe ni mmoja wa watu wa ile idara nyeti yenye jukumu la kuzingatis usalama wa nchi unakuwa katika ubora wake.
"Yule, yupo kazini pale na analipwa kama maafisa wengine wanavyolipwa posho zao za siku wakiwa katika misheni".. Haya yalikuwa maneno ya yule Mzee, kiukweli niliduwaa na kubaki na maulizo mengi, na ndio maana nikaleta bandiko hili ili wale wataalamu watusaidie kulichambua na kulinyumbua kinyumbufu.
Umakini wangu mahali pale ulipotezwa ghafla mara baada ya kundi lile kuhamia kwenye stori za timu za Kariakoo, nikaamua kuachana na lile kundi ili nitimize majukumu yangu ya msingi.
Katika yote, wananchi wenye mapenzi mema na nchi yetu kwa usalama na taswira nzuri ya nchi Tumuombe Mungu sakata hili limalizike kwa amani.
Ee Mungu Uturehemu.
Mzee Lubebenamawe Hivi ile issue ya mkorea uli-solve vipi?Wewe ni mjumbe tu umefikisha ujumbe wala huna shida.
Mkuu MREJESHO wa kazi Mama niliyoenda kuifanya kule UTAPANDA HEWANI muda mfupi toka Sasa.Eti wazee wa kale johnthebaptist & mrangi mnasemaje juu ya hili suala?
Niliwahi kuona mkidadavua mambo mengi sana majukwaani humu ambayo sisi watoto wajuzi tulibaki vinywa wazi
Nitafurahi kuona hekima yenu hata sasa tena.
Na je Mtumaini Mungu Ulituahidi kutupatia mrejesho gani na unatuletea mrejesho upi?
Ndo walewaleMpinzani wa kweli alikuwa Marahemu.
Christopher Mtikila.
Hakuwahi kujipendekeza kwa Chama tawala, wala kulilia chai ya Ikulu.
RIP
Mtikila ndio alikuwa Mpinzani wa kweli.Ndo walewale