Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,084
- Thread starter
- #101
JINSI YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
Tafadhali lipia tangazo lako.
We so utakua payed by YouTube? Basi na wewe lipia tangazo lako hapa JF...
Au na wewe umetumwa Nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JINSI YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JINSI YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
Uwe mwelewa, kuna utofauti kati ya akili ya kuzaliwa yani talanta na ya darasaniWajinga wengi humu hasa machadema hawatakuelewa tena watakutukana mleta mada ila huo ndio ukweli sahihi. Mange alishasema Mbowe Lissu na wengine wanalipwa na ni vipenyo kupumbaza wajinga. Wenye akili tumetulia hatufuatilii hizo saga. Machadema mengi hayana kazi za kufanya.
Watz ndivyo mlivyo hadi aseme mzungu ndiyo mtaaminiUtopolo
Wapinzani akili zenu ni fupi sana hivi kuna tofauti gani kati ya mbowe,lowasa,sumaye,silaha,n.k.Kwakuwa ujinga huu uliuchukuwa kwenye kijiwe cha kahawa basi tumekusamehe, ila usirudie siku nyingine kutuletea mambo ya kitoto.
Mbowe ni Gaidi wa Democrasia.Usijidanganye wala usijipe moyo.
Usiukatae ukweli.
Mbowe ni mtuhumiwa wa ugaidi, Na huenda akikutwa Na hatia Na akafungwa jela au akaachiwa, yote hayo yanategemea ushahidi.
Mkuu jiongeze kidogo,Sasa huko magereza kuna kazi gani anayoifanya?
Mzungu ndio nani?Watz ndivyo mlivyo hadi aseme mzungu ndiyo mtaamini
KKBSasa huko magereza kuna kazi gani anayoifanya?
Kwenye Avatar yako Kuna watu wanavunja AMRI... Nani hao!?Mzungu ndio nani?
Jiangalie aisee!
Hebu fafanua Mkuu.Huyo mzee yupo sahihi 100%..
Mmhhh!!!!!Unaweza onekana hayawani kwa ulioyasema hapa yaliosemwa na huyo mzee pia, lakini huo ndio ukweli wenyewe. Yule jamaa yupo kazini haswaa.
Home boy wangu yule alikuwa ni usalamaMpinzani wa kweli alikuwa Marahemu.
Christopher Mtikila.
Hakuwahi kujipendekeza kwa Chama tawala, wala kulilia chai ya Ikulu.
RIP
NadhanNijuacho mimi ni kuwa !Mbowe kawekwa ndani kumsafishia mama njia ya kushinda uchaguzi ujao!!!!Dai la katiba lipo lakini amewahi sana kudai hivyo amewekwa kimkakati ili kuandaa mazingira ya katiba mpya baadae na sio sasa!!!
Mkuu kuna hii kauli ya Ulipo tupo! Iko Simple tu.Ukifuatilia stori nyingi nyingi ,unaweza kuta Hiyo idara nyeti imeajiri karibia robo ya Watu TZ?[emoji38][emoji38]
Na ukifuatilia vizuri hizi fununu za fulani yupo idara nyeti ,zinasambazwa na haohao wa idara nyeti Ili tuwaone wengi,mwisho wa siku tunabaki kua dull na complacent kwA lolote wafanyalo kwa kuhofia wingi wao au tuone "hakuna bora ya mwenzie /tuendelee na hawa hawa tu ,tutafanyeje sasa".
Hii ni Psy-Op 101.