Je, ni kweli Freeman Mbowe yupo Kazini?

Je, ni kweli Freeman Mbowe yupo Kazini?

Kwa uhakika kabisa huwezi kutenganisha siasa za upinzani na kitengo tena naomba wawe wengi zaidi upinzani ili usonge kwa uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo bowe ni jasusi, jasusi gani linapata suluba namna hii wakati majasusi yanafanya kazi zao smoothlly? Kama mbowe ni kachero basi kuna makachero mengi sana yamejikita kwenye vyama vya upinzani na dini, hata yule jamaa machachari wa uviko naye atakuwa jasusi tu
Mkuu tatzo la hii nchi hata sisi ambao angalau tumeshika shika peni na karatasi kidogo,
Hatutumi akili zetu kufkiria,tumewaacha watu wengne wafikirie kwa niaba yetu,
Tumekua tunaendeshwa na ushabiki na hili ndo litafanya ccm watawale milele,
Ukiangalia nchi hii vizuri huoni chama cha upinzani hata kimoja.
Wote ni wanamkakati wa serikali,
Haihitaji akili nyingi sana kujua bwana mbowe,zitto na mbatia wanafanya kazi za serikali nje ya serikali
 
Wajinga wengi humu hasa machadema hawatakuelewa tena watakutukana mleta mada ila huo ndio ukweli sahihi. Mange alishasema Mbowe Lissu na wengine wanalipwa na ni vipenyo kupumbaza wajinga. Wenye akili tumetulia hatufuatilii hizo saga. Machadema mengi hayana kazi za kufanya.
 
MBOWE NA SHAKA WANAONGEA SAME LANGUAGE... SIASA NI MCHEZO MCHAFU ILA UNACHEZWA NA WATU WASAFI
 
Mkuu tatzo la hii nchi hata sisi ambao angalau tumeshika shika peni na karatasi kidogo,
Hatutumi akili zetu kufkiria,tumewaacha watu wengne wafikirie kwa niaba yetu,
Tumekua tunaendeshwa na ushabiki na hili ndo litafanya ccm watawale milele,
Ukiangalia nchi hii vizuri huoni chama cha upinzani hata kimoja.
Wote ni wanamkakati wa serikali,
Haihitaji akili nyingi sana kujua bwana mbowe,zitto na mbatia wanafanya kazi za serikali nje ya serikali
Ndio maana Chama Tawala Kitatawala milele kutokana na wapinzani wa aina hii.
Akina Mbowe, Mbatia, Zitto, Mrema, Marando nk.
Nchii hii ingekuwa na wapinzani wa kweli chama tawala kingeisha anguka kitambo tu.
Ona wakati ule wa upinzani wa chama cha TLP chini ya Mrema, hamasa ya wananchi ilikuaa kubwa sana.
Akina Mrema Marando walivyoona jinsi wananchi wanavyo hamasika na chama chao wakaamua kuvurugana makusudi kabisa, na kuisambaratisha TLP.
CUF Zanzibar ndio hao kila kukicha wako ikulu kwa mgongo wa kuteuliwa.
Ni kwamba Wapinzani wote ni Agents wa chama tawala.

Wananchi msikubali kufanya siasa hadi mkaumia, mwisho wa siku kiongozi wenu anateuliwa Ikulu au anaendelea kupokea Mshahara wa Ikulu.
Ni Makombo matupu mi sipotezi mda kuwapigania.
 
Kiliwahi kuwa na mbunge?
Sikumbuki
Na hii inatokana na kupigwa vita na chama tawala kwakuwa hakikujihusisha na chama tawala.

Hao wapinzani wa sasa wanazawadiwa tu uwakilishi wa Bunge na chama tawala.

Huoni uchaguzi uliopita chama tawala kiliamua kuwanyima wapinzani wabunge wa kuchaguliwa.

Wakaamua wawateue akina Mdee.
Wapinzani wa sasa huwa wanapewa tu uwakilishi wa Wabunge kwa mkakati maalum wa kuyaonesha mataifa ya nje kuwa kuna demeokrasia kwa vyama vya upinzani.
 
Kwa sasa hakuna mpinzani wa kweli nchi hii.
Wananchi fanyeni siasa kwa staha kama mnapenda harakati za Vyama.
Msisubutu kufanya siasa za vurugu mkaishia kujeruhiwa, kupoteza mali, au kuuliwa kabisa.

Kesho yake huyo uliyemtolea jasho na kukutia hasara kubwa na pengine kifo, anateuliwa na ikulu kula keki ya taifa
Mfano ni, Balozi Slaa, Chadema siasa za CUF, TLP, ACT, Mama Mgwila, nitajie chama.
Ni wote tu au wanalipwa kisirisiri au hadharani kama nilivyotoa mfano

Na wana kaa meza moja wanatabasamu na kuwadhihaki.

Fanyeni siasa kama hobi tu na sio za kujiumiza. Viongozi wenu wakuu wote ni Vibaraka wa chama tawala.
 
Ndio maana Chama Tawala Kitatawala milele kutokana na wapinzani wa aina hii.
Akina Mbowe, Mbatia, Zitto, Mrema, Marando nk.
Nchii hii ingekuwa na wapinzani wa kweli chama tawala kingeisha anguka kitambo tu.
Ona wakati ule wa upinzani wa chama cha TLP chini ya Mrema, hamasa ya wananchi ilikuaa kubwa sana.
Akina Mrema Marando walivyoona jinsi wananchi wanavyo hamasika na chama chao wakaamua kuvurugana makusudi kabisa, na kuisambaratisha TLP.
CUF Zanzibar ndio hao kila kukicha wako ikulu kwa mgongo wa kuteuliwa.
Ni kwamba Wapinzani wote ni Agents wa chama tawala.

Wananchi msikubali kufanya siasa hadi mkaumia, mwisho wa siku kiongozi wenu anateuliwa Ikulu au anaendelea kupokea Mshahara wa Ikulu.
Ni Makombo matupu mi sipotezi mda kuwapigania.
Mkuu haya mambo sijui kama watu hawayaoni,
tumekua brainwashed hatuon hatuskii,miaka yote sie mbowe,maalim mara lipumba huku jamaa wanasonga t madarakani miaka inaenda..
Tunasafiri ndefu sana..
 
Nadhani raia tukijua uhalisia hatutokuwa mfuasi wa mtu au chama bali mfuasi wa hoja zenye manufaa kwatu na familia zetu.
 
Tangu Mbowe kawekwa ndani harakati za kudai katiba mpya zimezimika, programs zote za CDM zipo kimya (Kidigitali pamoja na Kadi mpya), kwa nini hali iwe hivyo wakati CDM wana viongozi wengine?? Kuna kitu mahali hakipo sawa...
 
Mkuu haya mambo sijui kama watu hawayaoni,
tumekua brainwashed hatuon hatuskii,miaka yote sie mbowe,maalim mara lipumba huku jamaa wanasonga t madarakani miaka inaenda..
Tunasafiri ndefu sana..
Lowassa ni jasusi lililobobea, kwa connections alizonazo Mbowe lazima analitambua hilo!! Lakini hilo halikumzuia Mbowe kumpa ugombea urais na kumkaribisha sebuleni kabisa mwa chama (kamati Kuu, tena alikuwa anakaa kwenye high table)!! Mambo mengine yapo wazi kabisa, ila wafuasi wake hawasikii wala hawaoni...
 
Lowassa ni jasusi lililobobea, kwa connections alizonazo Mbowe lazima analitambua hilo!! Lakini hilo halikumzuia Mbowe kumpa ugombea urais na kumkaribisha sebuleni kabisa mwa chama (kamati Kuu, tena alikuwa anakaa kwenye high table)!! Mambo mengine yapo wazi kabisa, ila wafuasi wake hawasikii wala hawaoni...
Hao ni Workmate na wanajuana na mbowe anajua alichokua anafanya fullstop.
 
Mtikila ndio alikuwa Mpinzani wa kweli.
Alifungua kesi mahakamani ya mgombea binafsi na akashinda.

Hakuwahi kwenda ikulu kunywa chai.
Hakuwahi kuhudhuria sherehe za Chama Tawala
Hakuwahi kuomba maridhiano na Chama Tawala

Huyo mwingine ni muigizaji tu, siku zote ambazo yuko rumande analipwa Per Day yake.
Tena nzuri tu.
Ila. Alihongwa nyumba na ROSTAM[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Ila. Alihongwa nyumba na ROSTAM[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Sio nyumba, alimkoppesha pesa kama mfanyabisahara na walikubaliana kulipana.
Na hakukopa pesa ya chama tawala.

Na nadhani huyo aliyemkopesha alidhani atamnyamazisha kuupigania upinzani kwa fimbo yake ya mkopo.

Alivyoona Mtikila anaendelee kukaza akaanza kupiga kelele

"ohoo.. mimi nilimkopesha Mtikila"

Sasa kwani ulimkopesha kwa makubaliano ya kuhamia chama tawala ?

Inamaa wewe ukimkopa Ndugai ndio inamaanisha uhamie chama chake ?

Kile kilio cha mkopeshaji kilitokana na Mtikila kukaza kila uchao.
RIP Christopher
 
Back
Top Bottom