Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Au Halland!Sijui rodri na kimmich watauzwaje kwa Sasa, kama rice ana hiyo thamani.
Uingereza wachezaji wazawa wanathamani kubwa sana hata kama kiwango chao ni cha kawaida.
Man city wamejitoa katika kinyang’anyiro cha kumuwania kiungo wa kiingereza anayekipiga West Ham Declan Rice.
Sababu kuu ya kujitoa ni baada ya West Ham kutaka paundi milioni 100 ili iweze kumuachia kiungo huyo wa ulinzi. Kujitoa kwa Man City kunawaacha Arsenal peke yao katika kuwania sahihi ya kiungo huyo.
Je Decline Rice ana thamani kwelu ya paundi milioni 100 au utaifa unambeba? Ana nini cha maana?
Bora Chelsea nae alijitoa 🤣🤣🤣
Man city wamejitoa katika kinyang’anyiro cha kumuwania kiungo wa kiingereza anayekipiga West Ham Declan Rice.
Sababu kuu ya kujitoa ni baada ya West Ham kutaka paundi milioni 100 ili iweze kumuachia kiungo huyo wa ulinzi. Kujitoa kwa Man City kunawaacha Arsenal peke yao katika kuwania sahihi ya kiungo huyo.
Je Decline Rice ana thamani kwelu ya paundi milioni 100 au utaifa unambeba? Ana nini cha maana?
Sijui rodri na kimmich watauzwaje kwa Sasa, kama rice ana hiyo thamani.
2nd season ameuwasha moto walauPremier League via Bbc and Sky Sports , wanapenda kukuza mambo . Jack Grealish alipambwa sana wakati wa dirisha la usajili lkn alivyofika City hakuwa na maajabu
Media za Uingereza zimefika mbali zaidi kwa kudai ni Rice ni bora kuliko Busquets aliyekuwa katika ubora wake🤔Naona Arsenal tumejaa
Huyo Rice ni mchezaji wa kawaida mno bora hata xhaka angebaki tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda football huwa wanaangalia kwa masaburi yaoMedia za Uingereza zimefika mbali zaidi kwa kudai ni Rice ni bora kuliko Busquets aliyekuwa katika ubora wake[emoji848]