Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Acha hizo brother, kuna dhambi gani waingereza kubrand cha kwao, sio vizuri kuwaza mambo ukiwa emotional unajikuta una criticise badala ya ku analyseWaingereza wapuuzi kama wapuuzi wengine, hiyo siyo bei halisi sema wanajibrand tu
Mason Mount nayeye eti, 50£ wanakataa, kuna vielement flani walibakiza hadi kwenye makoloni yao
Sent using Jamii Forums mobile app