MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Unatoa milioni 100 kama msaada au sadaka, inaenda kwenye account ya kanisa pasta anatoa milioni 90 anakurudishia anabaki na milioni 10 ya kiona macho. Wajinga wanabaki wakishangilia yesu anafanya miujiza. Inasikitisha sanaMtu anatoa sadaka ku wa hadharani hadi unashangaa ?! Kumbe mlango wa nyuma inarudi