Je, ni kweli kuishi Dar es Salaam bila gari ni kujipunja na kuihujumu familia kimaisha?

Je, ni kweli kuishi Dar es Salaam bila gari ni kujipunja na kuihujumu familia kimaisha?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Nimekutana na huu mjadala mahala.
Watoa hoja wanatoa sababu za msingi. Dar ni jiji pana kulinganisha na majiji yote nchini.

Mtu kutoka Bunju kwenda chanika Ukiwa Mwanza unakuwa umeshafika karibu na Mwigumbi mpakani na Shinyanga.

Kama unakaa chanika, na unataka kuenjoy na familia weekend qngalau beach. Utateseka hadi ujute kuzaliwa.
Kuna jamaa alitoka Gomzi ndanindani kuelekea Mcity na familia kuwatoa ushamba kidogo, kurudi hakuna usafiri, na anapesa iliyokamiri. Alifika nyumbani saa sita usiku utadhani alikuwa anatokea Singida kumbe yumo humohumo DSM.

Jamaa hawa walikuwa na pointi kwa kiasi flani. Vinginevyo uamue kuichagua kakona kamoja ka jiji na maosha yako yaishie hapohapo huku sehemu za mbali usubiri kuzisikia redioni.

Ukiwa mikoani hata kwa baiskeli unazunguka kila kona na unafika kila sehemu muhimu kwa masaa.
 
Wanaofaidika na jiji la DSM ni wachache sana.

Wengine wanaambulia kung'atwa na MBU tu, plus Kuishi kwa mlo mmoja kwa siku 🥴🥴
Mqmbo yakiwa magumu unafanya kilichokuleta mengine unawaachia wadaslam.
 
Umetugusa sana wakazi wa chanika😅 kwenda beach na familia ni sawa na safari ya kwenda mkoa
Chanika mkuu nilikuwa sijawahi kufika, siku naenda nilialala na kuamka mara tatu safarini kwenye daladala.

Serikali inapopangamba kuweka rami na shortcut za kufikia maeneo ya maana na sisi lazima tupambanr na kuweka malengo ya kufika huko bila kukwamishwa na vitu kama usafiri. Mfano Likizo mtoto unataka aende Maktaba akajisomee au apata connection na wenzake (exposure). Hapo inakuwa kama haiwezekani kwa daladala.
 
Back
Top Bottom