Hili la kuwa na hisa ally's star nahis ni kweli mkuu ila huko kwenye forex ananishagaza sanaHakuna alifanikiwa kweny soko ila wapo wanaopiga pesa sana kutokana na branding na kufundisha watu huyo elikan ni mwanafunzi wa sirjeff na walishamsalit sirjeff mda sana
Baada ya kujua kwamba forex ni kufundisha ndo unapiga pesa na sio sokoni hapa sirjeff ndoa aliuza ramani kwa machalii wakamkimbia sasa wanamburuza kuna huyo elikana, demu sijui shayo kuna tembo clintztraveller
Kuhusu kumiliki hisa inawezekana kabisa ila sio kwa jmaa jinsi anavyosema mitandaoni kwamba kamiliki yeye binafsi anasema kwamba kamiliki inawezekan ikawa kweli ukiachana na yeye kujinasibu hakuna mtu au kampuni imesema kwamba anamiliki hisi ila watu wanajua hawa jamaa kufanya hii michezo huyu jamaa ata akienda yard za magari akipiga picha anaziba plate number[emoji1787][emoji1787]
AsntWanaopiga pesa zinazoeleweka katika forex au financial markets in general hautawasikia humu wako busy wanapiga kwa siri ili kukeep their competitive advantage.
Sadly katika sector hiyo wanaofanikiwa wanachukua pesa za wanaofeli hivyo ukisikia mtu anajitolea kukufundisha watu openly kufanikiwa katika financial markets ultimately japo unaweza kunufaika kiasi (au ukafeli haijalishi), faida kubwa iko kwa huyo anaekufundisha.
Hapa nazungumza kama mtu niliyomo katika financial markets (crypto).
Mkuu hayo mambo ni imagery siwezi kukataa yupo dogo kamtafute insta anaitwa richlitfx ana gari land cruiser kama ya million 200 ivi ila hajawai kuonyesha plate number ya ile gari ila anajinasibu ni yake na ni mtu wa forexHili la kuwa na hisa ally's star nahis ni kweli mkuu ila huko kwenye forex ananishagaza sana
Muulize huyu mwamba!Habari wakuu, nisizunguke sana nirudi kwenye mada.. naomba kufahamu hivi kuna mtu aliyefanikiwa kupitia forex unaemfahamu?
Kuna kijana mmoja anaitwa elikana, navosikia ni miongoni mwa wana hisa wa kampuni ya ma BUS ya usafirisha "ally star Bus" kpindi cha nyuma nilikua naona akihamasisha sana watu kuhusu biashara hiyo kwenye instagram yake.. ni kijana mdogo tu naskia ana Bus zake pale ally's [emoji93]
Je ni kweli hii biashara inalipa? Kuna mtu unaemfahamu alifanikiwa ktk biashara hii?
Elikana kama upo hum naomba ufafanuz je ulifanikiwa kupitia forex mpka kumilika ma BUS
Kwahyo mpka diamond unaamini ile rolls Royce sio yake?Mkuu hayo mambo ni imagery siwezi kukataa yupo dogo kamtafute insta anaitwa richlitfx ana gari land cruiser kama ya million 200 ivi ila hajawai kuonyesha plate number ya ile gari ila anajinasibu ni yake na ni mtu wa forex
Huyo elikana anadai ila uliona wapi mtu akaweka financial status hadharani kama ivyo uliona wapi mtu ana gari anaficha plate namba gari ndogo ya mil 16 ikushinde ukawekeze hisa kweny mabus makubwa je hao weny mabus walikuwa tangu lin na yeye si wajuzi hapa 2018 tunamuona alienda piga picha kwenye mabus na mwarabu mmoja pale ndo akapost kuna ana hisa
Huyo jeff alishawai kupost nyumba kwamba kuwajengea wazazi wake weny nyumba wakaona picha wakamjia juu afute akafut ile post
Mambo yanafikirisha sana mkuu diamond anavyopenda sifa ile gari yake anaonyesha plate number(rolls Royce) japo ni muongo muongo
Diamond ni yake si unaona plate number hafichi 🤣🤣hapo ndo tunaaminiKwahyo mpka diamond unaamini ile rolls Royce sio yake?
Huyu ni bilioneaMuulize huyu mwamba!View attachment 2110285
Wanaofanikiwa huku ni wanaofanya inside trading,wafundishaji,mabrokers na sio hawa vichaa wa bongo
Ndogo sana ni mpaka 99% wanapoteza only 1% ndo wanasurviveNimetoka kupoteza pound kadhaa juzi daah
Zaidi ya 80% ya retailers traders loss money in forex
Kwenye kuficha plate number ni maamuz ya mtu mkuu, hauwezi jua sababu ya yeye kuficha!!Mkuu hayo mambo ni imagery siwezi kukataa yupo dogo kamtafute insta anaitwa richlitfx ana gari land cruiser kama ya million 200 ivi ila hajawai kuonyesha plate number ya ile gari ila anajinasibu ni yake na ni mtu wa forex
Huyo elikana anadai ila uliona wapi mtu akaweka financial status hadharani kama ivyo uliona wapi mtu ana gari anaficha plate namba gari ndogo ya mil 16 ikushinde ukawekeze hisa kweny mabus makubwa je hao weny mabus walikuwa tangu lin na yeye si wajuzi hapa 2018 tunamuona alienda piga picha kwenye mabus na mwarabu mmoja pale ndo akapost kuna ana hisa
Huyo jeff alishawai kupost nyumba kwamba kuwajengea wazazi wake weny nyumba wakaona picha wakamjia juu afute akafut ile post
Mambo yanafikirisha sana mkuu diamond anavyopenda sifa ile gari yake anaonyesha plate number(rolls Royce) japo ni muongo muongo
🤣🤣🤣Naona kufake sawa na kujiumiza mwenyewe tu sioni sababu wao kujipa maproud sanaKwenye kuficha plate number ni maamuz ya mtu mkuu, hauwezi jua sababu ya yeye kuficha!!
Diamond hata akimiliki ndege me sina shida nae maana mihangaiko yake inaonekana ila huyu dogo elikanafx kuna picha kapost 2017 choka mbaya leo et ana hisa allys star et ana bus zake kama 5 pale ally's, ila umefafanua vizur nimegundua fx ni utapeli tu