Je, ni kweli kuna watu wamefanikiwa kupitia Forex hapa Bongo?

Je, ni kweli kuna watu wamefanikiwa kupitia Forex hapa Bongo?

Alafu hata zile live cent account zinasoma real account.
Ofcourse kwenye forex umafia ni mwingi sababu broker hadi mentor wanakutamani wakukule.
Yes Kuna broker cent account anazipa live account
 
Forex Ukituliza Akili Unapiga Hela Vzuri. Kunaa muda hua nikipata Kahela Ambacho naona hata ikipotea Fresh. Hua naingia Forex, ikinipiga hua naumia. Lakini ukipiga Hela Yake ni Tamu Sana. Unapambana Una Double Account. Alafu unaanza Kula Hela Pole Pole. Tamaa, Discipline na mitaji midogo hua vinawatoa Watu kwenye Reli. Pia Mitaji Midogo Forex Inahitaji utulivu na Akili Mingi. Nimejifunza Miaka Mitatu. Nilichogundua kupigwa hakukwepeki lakin unapunguza Tuu makali ya Kupigwa. Alafu unawapiga Zaidi. Kama umefika hatua ya Kua profitable Trader Forex. Hyo ni Kama kusoma Degree Kabisa. Mimi Sifundishi Forex, Wala Kufanya Management ya Fedha za Mtu Yoyote. Kama unataka Kujifunza Forex sio lazima Seminars Internet is Full of Everything Jifunze Pole Pole. Nawatakia Week Njema.
Elezea kidogo mkuu, hatua za kuijifundisha
 
Kujifunza unaweza anza kusoma soma mwenyewe vitu vyepesi YouTube ujue japo theory eg: what is pip , leverage, margin lot size ili upate mwanga kisha unaweza kujiendeleza kwa kusoma strategy ambazo zitakua nzur kwa Risk management
Wabongo walivyo wavivu wa kusoma na kupractice ni ngumu sana kutoboa fx. Ndio maana wanakimbilia kwa wauza kozi za forex za wiki moja na mamentor uchwara wapigaji. Hapo lazima huyo mwanafunzi wa fx arudi hapa jf kuuliza kama kuna watu wanapiga hela kweli kwenye fx baada ya kuwa amechezea kichapo kitakatifu wakati mwalimu wa fx alimwambia fx fedha kibao unadownload tu. ELIMU ELIMU ELIMU iwe fx hata kilimo. Elimu siyo lzaima ukae darasani ufundishwe na mwalimu.
 
Sasa mtu anataka apate pesa kwenye forex yupo ana hali hii kichwan kuhusu hiyo forex ,wakishatoka huku wanasema forex utapeli lazima tu utaona utapeli maana forex yenyewe unacheza hutrade [emoji16][emoji16]
Screenshot_20220207-211718.jpg
 
4 years..... ni kweli forex wapo wanatengeza pesa. Ili forex uone utamu wake uwe na kitega uchumi nje ya forex maana utafanya vitu bila pressure, every candle ina count loss na profit kwa watu depend huko upandegani. Ili faida ya forex ionekane unaitajika uwe consistent profitable. Loss haiepukiki,

Mambo ya ku double account yasiwe kichwani
 
500$ mtaji then 20$ daily *250 days = 5000$ kwa miezi 11, stick ktk hapo lots size isizidi 0.10 kwa siku ,drawdown zikifululiza kwa siku mbili pumzika siku kadhaa bila kutrade, ongeza account ingine ya pembeni kwa ajili ya mambo mengine, Nidhamu,subira,plan, account ikifika 5000$ na jinsi ulivyojijengea consistency hakika unafika mbali,

Kila trader succesfull story yake inamachozi ndani yake ,hao wakina elikana clinton walianza kugrow taratibu then ndo wakajilipua ila akiwa anajua anachokifanya, ila wengine ambao wamestuck ni wale ambao mtaji mdogo na bado wanajilipua wanataka kuskip process ya kugrow
 
Forex ni jambo la kweli na wala sio mchongo.

Wapo watu kibao nawafahamu wamepanga kwenye yale maghorofa posta/Samora/ohio tena floor za juu tu ,wakiwa wanafanya hizo hizo issue za forex.

Mtu anaamka asubuhi kutoka nyumbani anaingia town anaenda ofisini kwake kutwa anafanya hiyo hiyo forex.

Ila sijawahi ona kokote wakijitangaza.. they got money from forex.

Sema wapo wajanja wengi mno wanawaibia watu kupitia hiyo forex ila ni real business,nimeshuhudia kwa macho yangu.
 
Porojo ni nyingi mno umu ndani kuusu fx. Sasa mwenye kusikia asikie najua jinsi inauma mtu kirahisi anatandika 500K kwa siku uku wewe umehustle zaidi ya mwezi lazima makasiriko yawepo. Forex is real, all the financial markets are real. Sasa pupa za kutaka ukubwa ndani ya miezi au profit za chap ndo zinawaumiza wengi uku wakicompare na wenzao kiulaini wanawin basi longolongo debe. Hii maisha kila mtu afanye kile anakiweza kama kitu fulani hakijafanya kazi kwako then si guarantee hakitafanya kwa mwingine. Forex is not for everybody😂😂, mdomo lazma uwe mwingi. Focus broo Forex ina pesa nyingi ila si kirahisi.
 
Forex ni jambo la kweli na wala sio mchongo.

Wapo watu kibao nawafahamu wamepanga kwenye yale maghorofa posta/Samora/ohio tena floor za juu tu ,wakiwa wanafanya hizo hizo issue za forex.

Mtu anaamka asubuhi kutoka nyumbani anaingia town anaenda ofisini kwake kutwa anafanya hiyo hiyo forex.

Ila sijawahi ona kokote wakijitangaza.. they got money from forex.

Sema wapo wajanja wengi mno wanawaibia watu kupitia hiyo forex ila ni real business,nimeshuhudia kwa macho yangu.
Niunganishe nao hao watu mzee
 
Wakati nasoma Economics Masters hasa somo linaitwa Econometrics tulisoma deep Sana hasa In MATHEMATICS kufanya prediction ya haya Mambo .. Graph Ni kitu Cha mwisho kabisa kinakuja after mathematics computation,theory and statistics ....lakin Sasa huku watu wako busy kuangalia graph tu pasipo kuangalia in numbers behaviour mbali mbali za kihesabu..sishangai Sana watu kupoteza coz wanaangalia juu juu Sanaaaa..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
500$ mtaji then 20$ daily *250 days = 5000$ kwa miezi 11, stick ktk hapo lots size isizidi 0.10 kwa siku ,drawdown zikifululiza kwa siku mbili pumzika siku kadhaa bila kutrade, ongeza account ingine ya pembeni kwa ajili ya mambo mengine, Nidhamu,subira,plan, account ikifika 5000$ na jinsi ulivyojijengea consistency hakika unafika mbali,

Kila trader succesfull story yake inamachozi ndani yake ,hao wakina elikana clinton walianza kugrow taratibu then ndo wakajilipua ila akiwa anajua anachokifanya, ila wengine ambao wamestuck ni wale ambao mtaji mdogo na bado wanajilipua wanataka kuskip process ya kugrow
Hiyo kitu haina tofauti na betting unapewa vi-odds 1.10,1.20.....unaliwa tu
 
Wakati nasoma Economics Masters hasa somo linaitwa Econometrics tulisoma deep Sana hasa In MATHEMATICS kufanya prediction ya haya Mambo .. Graph Ni kitu Cha mwisho kabisa kinakuja after mathematics computation,theory and statistics ....lakin Sasa huku watu wako busy kuangalia graph tu pasipo kuangalia in numbers behaviour mbali mbali za kihesabu..sishangai Sana watu kupoteza coz wanaangalia juu juu Sanaaaa..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu adhma yangu nikupe like 100 sasa naona inakubali moja tu,.... nidai 99.
 
Wakati nasoma Economics Masters hasa somo linaitwa Econometrics tulisoma deep Sana hasa In MATHEMATICS kufanya prediction ya haya Mambo .. Graph Ni kitu Cha mwisho kabisa kinakuja after mathematics computation,theory and statistics ....lakin Sasa huku watu wako busy kuangalia graph tu pasipo kuangalia in numbers behaviour mbali mbali za kihesabu..sishangai Sana watu kupoteza coz wanaangalia juu juu Sanaaaa..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimesoma comments nyingi na mawazo meng ya watu kuhusu FX sehem mbali wengi wameshindwa kufafanua ila ww naona umeandika kitu kidogo sana ambacho ni cha msingi sana.
 
Back
Top Bottom