Kaandika pumbaNimesoma comments nyingi na mawazo meng ya watu kuhusu FX sehem mbali wengi wameshindwa kufafanua ila ww naona umeandika kitu kidogo sana ambacho ni cha msingi sana.
Unashabikia pumba!Mkuu adhma yangu nikupe like 100 sasa naona inakubali moja tu,.... nidai 99.
Hiyo kitu haina tofauti na betting unapewa vi-odds 1.10,1.20.....unaliwa tu
Fact kabisaWakati nasoma Economics Masters hasa somo linaitwa Econometrics tulisoma deep Sana hasa In MATHEMATICS kufanya prediction ya haya Mambo .. Graph Ni kitu Cha mwisho kabisa kinakuja after mathematics computation,theory and statistics ....lakin Sasa huku watu wako busy kuangalia graph tu pasipo kuangalia in numbers behaviour mbali mbali za kihesabu..sishangai Sana watu kupoteza coz wanaangalia juu juu Sanaaaa..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe umeshakuja na majibu yako tayari, sioni mantiki ya kutaka kujiridhisha kupitia majibu ya wadau.Hili la kuwa na hisa ally's star nahis ni kweli mkuu ila huko kwenye forex ananishagaza sana
Haina tofauti mkuu ni kama mtu anaecheza casino games kama roulette au spin wheel...anacheki trend then anaweka pesa ashinde au achomebroo odds na pips ni vitu viwil tofauti, ilo zoezi ktk fx ni rahis mno,fx akil yako na nidhamu ndo vinakupa pesa, bett mpaka utabiri
Kwaiyo betting unaangalia trend gani na uko spin zaid ya kuotea tu, limit ya loss ipo,Haina tofauti mkuu ni kama mtu anaecheza casino games kama roulette au spin wheel...anacheki trend then anaweka pesa ashinde au achome
Kwaiyo betting unaangalia trend gani na uko spin zaid ya kuotea tu, limit ya loss ipo,
kuotea njoo uotee kuotea fx n ngumu kuliko maana inaenda pande zote unaoteaje,Sasa hiyo forex nayo si kuotea tu... Ni kama black jack games au crash games...unacheki patterns zinavyokwenda then unaweka mzigo. Ni mifumo inayoweza kukupa pesa nyingi within a second na inaweza kukufanya masikini within a second
Hongera kwq kusoma.master in economics.Wakati nasoma Economics Masters hasa somo linaitwa Econometrics tulisoma deep Sana hasa In MATHEMATICS kufanya prediction ya haya Mambo .. Graph Ni kitu Cha mwisho kabisa kinakuja after mathematics computation,theory and statistics ....lakin Sasa huku watu wako busy kuangalia graph tu pasipo kuangalia in numbers behaviour mbali mbali za kihesabu..sishangai Sana watu kupoteza coz wanaangalia juu juu Sanaaaa..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sijui lkn ally's star ni kampuni ya waarabu wa shinyanga na wana kistend chao pale shy town huwa lazima wasimame. Nadhan chimbuko lake ni mabasi ya Ally's ya miaka ya 2008 hv. Huyo elikana anaonekana wa juzi sana.Habari wakuu, nisizunguke sana nirudi kwenye mada.. naomba kufahamu hivi kuna mtu aliyefanikiwa kupitia forex unaemfahamu?
Kuna kijana mmoja anaitwa elikana, navosikia ni miongoni mwa wana hisa wa kampuni ya ma BUS ya usafirisha "ally star Bus" kpindi cha nyuma nilikua naona akihamasisha sana watu kuhusu biashara hiyo kwenye instagram yake.. ni kijana mdogo tu naskia ana Bus zake pale ally's [emoji93]
Je ni kweli hii biashara inalipa? Kuna mtu unaemfahamu alifanikiwa ktk biashara hii?
Elikana kama upo hum naomba ufafanuz je ulifanikiwa kupitia forex mpka kumilika ma BUS
Kinachowacost traders wengi ni kutokua na knowledge ya finance na economics. Uelekeo wa soko unaamuliwa na fundamentals zinasuggest vipi? Technical inakuonyesha tabia ya price hivo inakusaidia kukupa entry price lakini wakati huo unajua uelekeo halisi. Major Fundamentals halisi utazipata kwenye websites za central banks za nchi husika wakati baadhi unazipata statistics institutions za nchi hisika mfano mfano Australia ni Australian bureau of statistics, vivyo hivyo kwa US, UK n.k.
Kwa hiyo ili uwe trader mzuri unatakiwa uwe analyst mzuri. Most retailers only relay on technicals. Nikupe mfano tu hata mfanyabiashara mzuri wa mazao hawezi akanunua tu zao flan eti tu kwa kua msimu wa mavuno umefika technically price ipo kwenye support (low price) though wengi watafanya hvo lakini kwa mfanya biashara mzuri ataenda mbali kujua ni zao lipi litakua na uhakika mkubwa wa kua adim miezi ijayo kwa kuangalia je mvua zilikuaje ili kujua zao lipi litakua adimu, hali ya mavuno ipoje ni mengi au wengi wamepigwa n.k (hizi ndo fundamentals) ko hapo anakua na uhakika tu bei lazima itapanda kwa kua supply itakua ndogo na demand itakua kubwa. Lakini aliyenunua tu bila kuangalia fundamentals unaweza ukashangaa inafika mwezi wa 12 ambao miaka mingine bei ilikua juu but mwaka huo bei ipo pale pale na zaidi kushuka chini ya bei uliyonunua. Sasa ktk financial assets kwa sababu volatility yake ni kubwa the same situation inakua na impact kubwa. Trading its a career, inahitaji muda wa kutosha (km ilivo kwa law, udaktari n.k) kupata knowledge na kupata uzoefu through a lot of practices. In short its the hardest way to get easy money. Msihangaishwe na kelele za matraders wa IG wanaovutia customers (na ndio kipato chao kufundisha), the real traders wapo low key hawana mda wa kushow off wanapata pesa through trading na co kufundisha. Ukitaka ukosane nao waombe trading history
Sasa kama forex inalipa kwa nini anunue mabus?Habari wakuu, nisizunguke sana nirudi kwenye mada.. naomba kufahamu hivi kuna mtu aliyefanikiwa kupitia forex unaemfahamu?
Kuna kijana mmoja anaitwa elikana, navosikia ni miongoni mwa wana hisa wa kampuni ya ma BUS ya usafirisha "ally star Bus" kpindi cha nyuma nilikua naona akihamasisha sana watu kuhusu biashara hiyo kwenye instagram yake.. ni kijana mdogo tu naskia ana Bus zake pale ally's [emoji93]
Je ni kweli hii biashara inalipa? Kuna mtu unaemfahamu alifanikiwa ktk biashara hii?
Elikana kama upo hum naomba ufafanuz je ulifanikiwa kupitia forex mpka kumilika ma BUS
Je kwa sasa unatrade forexWakati nasoma Economics Masters hasa somo linaitwa Econometrics tulisoma deep Sana hasa In MATHEMATICS kufanya prediction ya haya Mambo .. Graph Ni kitu Cha mwisho kabisa kinakuja after mathematics computation,theory and statistics ....lakin Sasa huku watu wako busy kuangalia graph tu pasipo kuangalia in numbers behaviour mbali mbali za kihesabu..sishangai Sana watu kupoteza coz wanaangalia juu juu Sanaaaa..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16]ndio maana nimemuuliza haraka kwa sasa anatrade hiyo forex aliosoma kupitia mahesabu ,maana watu hatufanyi hata hesabu moja lakin tunakula mapaka FOMIC sasa kwenye forex mpaka upige hesabu c ndan kutakuwa kumechafuka makaratasiUnashabikia pumba!
Forex traders hawana muda wa kufanya hayo mahesabu ya darasani.
Kila kitu kinafanywa na software. Kazi yako trader ni kufanya analysis.
Kisha una decide ununue au uuze.
Only technical is everything, labda Kama unatumia trend line ndio shidaKinachowacost traders wengi ni kutokua na knowledge ya finance na economics. Uelekeo wa soko unaamuliwa na fundamentals zinasuggest vipi? Technical inakuonyesha tabia ya price hivo inakusaidia kukupa entry price lakini wakati huo unajua uelekeo halisi. Major Fundamentals halisi utazipata kwenye websites za central banks za nchi husika wakati baadhi unazipata statistics institutions za nchi hisika mfano mfano Australia ni Australian bureau of statistics, vivyo hivyo kwa US, UK n.k.
Kwa hiyo ili uwe trader mzuri unatakiwa uwe analyst mzuri. Most retailers only relay on technicals. Nikupe mfano tu hata mfanyabiashara mzuri wa mazao hawezi akanunua tu zao flan eti tu kwa kua msimu wa mavuno umefika technically price ipo kwenye support (low price) though wengi watafanya hvo lakini kwa mfanya biashara mzuri ataenda mbali kujua ni zao lipi litakua na uhakika mkubwa wa kua adim miezi ijayo kwa kuangalia je mvua zilikuaje ili kujua zao lipi litakua adimu, hali ya mavuno ipoje ni mengi au wengi wamepigwa n.k (hizi ndo fundamentals) ko hapo anakua na uhakika tu bei lazima itapanda kwa kua supply itakua ndogo na demand itakua kubwa. Lakini aliyenunua tu bila kuangalia fundamentals unaweza ukashangaa inafika mwezi wa 12 ambao miaka mingine bei ilikua juu but mwaka huo bei ipo pale pale na zaidi kushuka chini ya bei uliyonunua. Sasa ktk financial assets kwa sababu volatility yake ni kubwa the same situation inakua na impact kubwa. Trading its a career, inahitaji muda wa kutosha (km ilivo kwa law, udaktari n.k) kupata knowledge na kupata uzoefu through a lot of practices. In short its the hardest way to get easy money. Msihangaishwe na kelele za matraders wa IG wanaovutia customers (na ndio kipato chao kufundisha), the real traders wapo low key hawana mda wa kushow off wanapata pesa through trading na co kufundisha. Ukitaka ukosane nao waombe trading history
Ujasoma forex wewe, forex investment na sio bettingSasa hiyo forex nayo si kuotea tu... Ni kama black jack games au crash games...unacheki patterns zinavyokwenda then unaweka mzigo. Ni mifumo inayoweza kukupa pesa nyingi within a second na inaweza kukufanya masikini within a second
Mchaga huyo ni washamba eti amilili hisa za mil 100 nyumba hana hata uko kwenye mashamba ya migomba moshi sijui arushaUmefanya niende kumwangalia huyo jamaa insta, kwanza naomba niulize ni msukuma jamaa? Maana wale ni watani zangu.
Cha pili mbona post zake zinaonekana obvious ni kuwarusha vijana wenzake roho, show off tu na kuwakamata kwenye hiyo fx yake maana sijaona cha maana anachopost au kuandika kinachoweza kukufunza mtu kitu tofauti na kuomba mpiga picha ampigie picha kwa mbele ya stage ya diamond platnum juzi na kuweka comment kwamba VIP 3m, kingine ni kapost mshikaji sijui driver wa IT yule au katumwa gari au kweli gari lake la BMW kwenda nalo Iringa huko kwa maoni yake.
Zaidi zaidi kupiga picha na crown athletes na kuziba namba na kuhitimisha kwa kutafuta duka la Jux na kupiga picha akishika shika viatu..
Chief tafuta hela kama huna nakuombea endelea kuzitafuta hela ukisha zipata haitakuwa ngumu kwako kutambua mtu kwamba huyu ana hela na huyu hana kitu.
Ni hayo tu.