Je, ni kweli kuna watu wamefanikiwa kupitia Forex hapa Bongo?

Je, ni kweli kuna watu wamefanikiwa kupitia Forex hapa Bongo?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona kufake sawa na kujiumiza mwenyewe tu sioni sababu wao kujipa maproud sana

Ila kipande wa biashara iyo ni promotion kwa sababu inavuta wateja wa training
Yule dogo anaingizaje pesa ? Kuna siku kapost range akasema baby wake mpya anaingia mjini
 
forex inaliPa japo wachache wametoboa ila ni biashara nzuri ukiifanya kwa usiriasi , sirjeff ni bilionea huwezi fananinisha na kina elikana, mara ya mwisho kuona live trading za sirjeff mwaka jana jumla ni 500k$+ apo bado vitu vingine
 
Forex Ukituliza Akili Unapiga Hela Vzuri. Kunaa muda hua nikipata Kahela Ambacho naona hata ikipotea Fresh. Hua naingia Forex, ikinipiga hua naumia. Lakini ukipiga Hela Yake ni Tamu Sana. Unapambana Una Double Account. Alafu unaanza Kula Hela Pole Pole. Tamaa, Discipline na mitaji midogo hua vinawatoa Watu kwenye Reli. Pia Mitaji Midogo Forex Inahitaji utulivu na Akili Mingi. Nimejifunza Miaka Mitatu. Nilichogundua kupigwa hakukwepeki lakin unapunguza Tuu makali ya Kupigwa. Alafu unawapiga Zaidi. Kama umefika hatua ya Kua profitable Trader Forex. Hyo ni Kama kusoma Degree Kabisa. Mimi Sifundishi Forex, Wala Kufanya Management ya Fedha za Mtu Yoyote. Kama unataka Kujifunza Forex sio lazima Seminars Internet is Full of Everything Jifunze Pole Pole. Nawatakia Week Njema.
 
Forex is Real ila wanaopiga pesa ni wachache sana. Wengine wanaishia kupigwa pesa za Training.

Kama mtu upo SERIOUS kupata pesa mtandaoni basi bora kufanya Blogging na Vlogging via Adsense Monetization ukiwa na msuli zaidi nenda hadi kwenye App. Juhudi na kujituma kwako ndio kuna determine kiasi cha pesa ($) utakachopata.
 
Forex is Real ila wanaopiga pesa ni wachache sana. Wengine wanaishia kupigwa pesa za Training.

Kama mtu upo SERIOUS kupata pesa mtandaoni basi bora kufanya Blogging na Vlogging via Adsense Monetization ukiwa na msuli zaidi nenda hadi kwenye App. Juhudi na kujituma kwako ndio kuna determine kiasi cha pesa ($) utakachopata.
Kupata pesa mitandaoni kunategemea we mwenyewe malengo na juhudi zako hakuna pesa lahisi hata huko unaposema umesema kabisa uwe na juhudi sasa kwenye forex ndio unataka upate kilahisi lahisi ? Watu wengi wanachoferi wanadharau forex wakizan ni mchezo wa kudownlod dollar wanashindwa kujua Kama ni taaluma Kama udokta au uwanasheria sio kitu cha kusoma juu juu
 
Forex is Real ila wanaopiga pesa ni wachache sana. Wengine wanaishia kupigwa pesa za Training.

Kama mtu upo SERIOUS kupata pesa mtandaoni basi bora kufanya Blogging na Vlogging via Adsense Monetization ukiwa na msuli zaidi nenda hadi kwenye App. Juhudi na kujituma kwako ndio kuna determine kiasi cha pesa ($) utakachopata.
Forex sio lahisi ina elimu yake maalum na sio hii inayotangazwa humu YouTube ikuwezeshe kuligusa soko la forex huo uongo ,eti unasoma forex kwenye semina ya wiki moja cjui mbili halafu ukaguse soko mtabaki kujiuuliza tu kila kukicha hivi watu wanapata pesa kwel hapa Tanzania Ila watu hapa hapa wanakiwasha na hawana Chanel YouTube za kufundisha
 
Jibu la swali lako hili
Screenshot_20220207-000801.jpg
Screenshot_20220207-000816.jpg
 
Kupata pesa mitandaoni kunategemea we mwenyewe malengo na juhudi zako hakuna pesa lahisi hata huko unaposema umesema kabisa uwe na juhudi sasa kwenye forex ndio unataka upate kilahisi lahisi ? Watu wengi wanachoferi wanadharau forex wakizan ni mchezo wa kudownlod dollar wanashindwa kujua Kama ni taaluma Kama udokta au uwanasheria sio kitu cha kusoma juu juu
Umenielewa vibaya mkuu, hakuna sehemu nimesema pesa za Forex ni "rahisi". Mimi nimetoa mawazo yangu kuhusu alternative ya online earning tu basi.
 
Back
Top Bottom