Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,221
- 2,359
Waziri yuko sahihi kugoma kuhanishwa kwani wanaotaka kumhamisha sio waliomteua, mwenendo wote wa waziri unatakiwa uratibiwe na mteuzi wake kwa usalama wa taifa.Lengo la Pascal sio KUTANGAZWA KWA HUYO MUHUSIKA! Hapa tatizo ni huyo muhusika kukataa kufuata taratibu za kutoambukiza wenzie. Mbona thread hii inajieleza wazi! Kakataa kuvaa mask, kakataa kwenda sehemu maalum iliyotengwa nk.
Zikifumbiwa macho tabia hizo, tutakwisha! Namshukuru sana mleta thread hii, naamini wahusika watachukua hatua, kwa ajili ya kuwalinda wengine, na maambukizi mapya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri yuko sahihi kugoma kuhanishwa kwani wanaotaka kumhamisha sio waliomteua, mwenendo wote wa waziri unatakiwa uratibiwe na mteuzi wake kwa usalama wa taifa.
Labda tushauri ijengwe hosipitali maalum kwa viongozi wa juu tu.
Pascal Mayalla nakushauri futa huu uzi. Kama ulipokonyoka ktk line ya akina Kabendera hapa utanasa. Ni ushauri tuu maana umetafutiwa target muda mrefu.
Tayari amepelekwa isolation centre na hali yake sio mbaya kama inavyosemwaView attachment 1402642
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamkawii kuwateka au kuwapa sumu, ameshtuka.Ubaguzi hadi kwenye maradhi ambayo hayatubagui!!! It's completely insane.
Acheni hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Post ipo ukurasa wa Siasa nchini, vinginevyo ingekuwa Kimataifa.What if kama amemaanisha waziri wa wingereza? Kwani hapo ametaja jina? Ametaja anatokea inchi gani?
Basi tufanye ni Waziri wa Iran
Bashiru yuko wapi?
Isije ikawa na yeye anasumbuliwa na corona
Enzi za Kikwete ,Msoga alikua hapati muda wa kwenda,breaking news za Safar zake zilikua ni overseas, Caribbean, States, Europe, Asia na Australia ndio zilikua destinations zake na hawa watu wenye YouTube channel ilikua ni Ngumu kukeep up na Mkwere, SASA huyu mara Yuko Dom,Mwanza au Chato, YouTubers wote wanamudu gharama za kumfuatilia.Hapa sijui ni mkono umeteleza kama wa ....View attachment 1402366
Mkuu. These are very serious allegations and if they are true, they are simply unpardonable. Nobody is bigger than Tanzania and the safety of its people. I hope the truth will come out sooner.
Tunakumbushwa na story ya padre wa Kenya. Alipita hapo. Italy. Akaja huko Afrika ya kusini then akaenda Kenya. Akijua kabisa kuwa alikuwa exposed kwa COVID-19. Akawa very Social bila hata Chembe ya huruma.
I just hope it’s not true.
Yeye kajitangaza na yupo isolated na jana katuma ujumbe kuhusu korona kutokea alikowekwa. Huyu anayesemwa ni nani asijulikane?Yaani ni hatari kwa kuwa Waziri ameugua? Kuna Waziri Mkuu wa Uingereza naye ameugua!
Hatufanani mkuu si mbaya mwenye kichwa chepesi kuelewa ukanirahisishia kilichoelezwa kwa ufupi.Kichwa chako kigumu sana kuelewa.Soma bila pupa
Swali la kijinga kabisa hili! Hebu msome Tena P. Waziri yupo hospitali na amekataa kuwekwa karantini na isitoshe, hospitali hiyo inahudumia magonjwa yote!Kwani akiugua korona wewe inakuhusu nini
Mkuu mkubwa kashatimba?Wakati mwingine uwe serious na issue zenye public interest. Bahati yako niko Chato ningekuibukia hapo ulipo ili unieleze vizuri upupu wako huu!
Kwani Lissu ndio nani hasa hadi kwamba iwe wanaomkejeli kuwa wanastahili kufa?Kama ni hilo lenye mimacho, na lifilie kwa mbali maana lilimkejeli Lisu alipopigwa risasi
Ni waziri wa SMZ au JMT?