Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

Makonda amelaaniwa na Taifa zima kwa kutoa siri na taarifa za mgonjwa. Tunarudia makosa yaleyale kwa kutaka ati mtu fulani ktk serikali atoe kwa umma taarifa za mgonjwa! Maadam yupo hospial hajajificha nyumbani ni vema mkamshauri huyo mgonjwa ajitangaze kama Mwana FA na wengine walivyofanya.
 
Tayari amepelekwa isolation centre na hali yake sio mbaya kama inavyosemwa
Screenshot_20200329-084919_WhatsApp.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo la Pascal sio KUTANGAZWA KWA HUYO MUHUSIKA! Hapa tatizo ni huyo muhusika kukataa kufuata taratibu za kutoambukiza wenzie. Mbona thread hii inajieleza wazi! Kakataa kuvaa mask, kakataa kwenda sehemu maalum iliyotengwa nk.
Zikifumbiwa macho tabia hizo, tutakwisha! Namshukuru sana mleta thread hii, naamini wahusika watachukua hatua, kwa ajili ya kuwalinda wengine, na maambukizi mapya!

Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri yuko sahihi kugoma kuhanishwa kwani wanaotaka kumhamisha sio waliomteua, mwenendo wote wa waziri unatakiwa uratibiwe na mteuzi wake kwa usalama wa taifa.
Labda tushauri ijengwe hosipitali maalum kwa viongozi wa juu tu.
 
Ubaguzi hadi kwenye maradhi ambayo hayatubagui!!! It's completely insane.

Acheni hizo.
Waziri yuko sahihi kugoma kuhanishwa kwani wanaotaka kumhamisha sio waliomteua, mwenendo wote wa waziri unatakiwa uratibiwe na mteuzi wake kwa usalama wa taifa.
Labda tushauri ijengwe hosipitali maalum kwa viongozi wa juu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal Mayalla nakushauri futa huu uzi. Kama ulipokonyoka ktk line ya akina Kabendera hapa utanasa. Ni ushauri tuu maana umetafutiwa target muda mrefu.

What if kama amemaanisha waziri wa wingereza? Kwani hapo ametaja jina? Ametaja anatokea inchi gani?

Basi tufanye ni Waziri wa Iran
 
Hapa sijui ni mkono umeteleza kama wa ....View attachment 1402366
Enzi za Kikwete ,Msoga alikua hapati muda wa kwenda,breaking news za Safar zake zilikua ni overseas, Caribbean, States, Europe, Asia na Australia ndio zilikua destinations zake na hawa watu wenye YouTube channel ilikua ni Ngumu kukeep up na Mkwere, SASA huyu mara Yuko Dom,Mwanza au Chato, YouTubers wote wanamudu gharama za kumfuatilia.
 
Mkuu. These are very serious allegations and if they are true, they are simply unpardonable. Nobody is bigger than Tanzania and the safety of its people. I hope the truth will come out sooner.

Tunakumbushwa na story ya padre wa Kenya. Alipita hapo. Italy. Akaja huko Afrika ya kusini then akaenda Kenya. Akijua kabisa kuwa alikuwa exposed kwa COVID-19. Akawa very Social bila hata Chembe ya huruma.

I just hope it’s not true.

Hii nji Ina upuuzi mwingi Sana unaofanywa na Serikali ya majambazi wa CCM...!!
 
Kwani akiugua korona wewe inakuhusu nini
Swali la kijinga kabisa hili! Hebu msome Tena P. Waziri yupo hospitali na amekataa kuwekwa karantini na isitoshe, hospitali hiyo inahudumia magonjwa yote!
Madaktari na manesi pamoja na wagonjwa na ndugu zao Maisha yao yapo hatarini kwani waziri hataki kujambishwa! Sijui Kama unauona huo mkufu wa maambukizi?
 
Back
Top Bottom