prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,373
Mkuu..Kwahiyo makonda kosa lake ni kwamba si mwanahabari hivyo Pascal kama ndio angeeleza taarifa za mgonjwa(mtoto wa mbowe) ndio ingekuwa sawa?
Taarifa na Hatua zilizochukuliwa zinatolewa na Serikali ,hasa Waziri mwenye dhamana..
Habari zinatolewa na Wanahabari..
Kama ni tetesi Pascal anaweza kutoa habari za Mbowe, Ila si Mtoto wa Mbowe..na atawasilisha kwa kutumia Kiongozi wa chama cha Upinzani si kutaja Jina Mbowe.
Huyo Makonda ni Mkurupukaji asiyejua Majukumu yake.
Pia Pascal amesema hili ni swali tena ni tetesi..