Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kama ni kweli basi Kabineti nzima kwishney
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni hatari kwa kuwa Waziri ameugua? Kuna Waziri Mkuu wa Uingereza naye ameugua!
Acha ujinga huelewi au?? Waziri wa uingereza wameiweka siri taarifa zake?Yaani ni hatari kwa kuwa Waziri ameugua? Kuna Waziri Mkuu wa Uingereza naye ameugua!
Unajua maana ya Tetesi bwashee?!Pascal Mayalla nakushauri futa huu uzi. Kama ulipokonyoka ktk line ya akina Kabendera hapa utanasa. Ni ushauri tuu maana umetafutiwa target muda mrefu.
Idiot comment ever!Ni yule wa jalalani university?
Usinipotezee muda wangu! Hata kusoma comment hujui!!Acha ujinga huelewi au?? Waziri wa uingereza wameiweka siri taarifa zake?
Je amekaidi kuvaa mask Boris?
Duh.....!Imethibitika ana corona au haijathibitika? Huu uzi sijauelewa kabisa unataka nini?