Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Kabudi bwashee.Watu washaanza kumshuku Mh.Kabudi,sijui kama ndio lilikuwa lengo la mleta mada ama vp.
Sasa hivi p Haogopi kishapata kazi star tv Lumumba haendi tena
Uzuri kwasasa hawaruhusiwi kuota mbawa na kupaa hadi ughaibunj,ngoja tubanane huku huku!Hivi Kabudi yuko wapi? Angekuwa mstari wa mbele katika mapmbano haya. Na juzi nimemuona Balozi Kairuki akitoa taarifa ambayo kimsingi ilitakiwa itolewe na Wachina wenyewe au na Waziri wetu wa Mambo ya Nje.
Agizo gani bwashee?!SITOKUBALI AGIZO TULILOPEWA
Sio huyo, ni wa kule kwenye karafuuNatabiri: atakuwa yule mwenye kuangalia wenzake kwa kuwakazia macho. Yule alietolewa jalalani.