Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

Wanabodi,

Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
  1. Rais wa JMT
  2. Waziri Mkuu
  3. Waziri wa Afya
  4. Msemaji Mkuu wa Serikali
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya update ya Corona, hili ni swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.

Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.

Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.

Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila majina, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy.

Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.

... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza [emoji636]) ambapo safari yake ilianzia Italy [emoji634] kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.

Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.

Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA [emoji3083]

Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!

Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.

Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.

Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri Anaugua Corona, His/Her Rights To Privacy Be Upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila Asipewe Any Preferential Treamement Kwasababu ni Waziri, Kama Ameugua Corona, Msifiche Waziri Wetu Kuugua Corona, Ugonjwa wa Corona sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, Unaficha Nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, hadi mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.

Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halfu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, Naomba kutoa angalizo la Kisa Cha Mficha Maradhi, nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba tusifike huko!

NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja jina lake Waziri!

I wish you Saturday night njema.

Paskali
Choma sindano ya usingizi akistuka yupo kitengo maalum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hospitali ya binafsi

Wazir mwenye hata kama umemficha mpaka kufikia jumatatu atakuwa amefahamika.

Bunge linalerejea

Rais kaenda geita anazidi kukimbia watu.

Mayalla umelizua lazima ufe nalo, kama hutapata simu kufikia kesho mchana usijali utaipata jion lkn husiwaze kwa kuwa huna familia.

Wengi ni kama kabendera ila wewe marekani ilikusaidia kweli japo siku hizi unaogopa kisa ppr inaidai baadhi ya taasisi za serikali na haupati tenda.

You don' t have family to feed dont worry

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
  1. Rais wa JMT
  2. Waziri Mkuu
  3. Waziri wa Afya
  4. Msemaji Mkuu wa Serikali
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya update ya Corona, hili ni swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.

Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.

Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.

Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila majina, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy.

Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.

... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza [emoji636]) ambapo safari yake ilianzia Italy [emoji634] kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.

Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.

Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA [emoji3083]

Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!

Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.

Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.

Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri Anaugua Corona, His/Her Rights To Privacy Be Upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila Asipewe Any Preferential Treamement Kwasababu ni Waziri, Kama Ameugua Corona, Msifiche Waziri Wetu Kuugua Corona, Ugonjwa wa Corona sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, Unaficha Nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, hadi mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.

Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halfu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, Naomba kutoa angalizo la Kisa Cha Mficha Maradhi, nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba tusifike huko!

NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja jina lake Waziri!

I wish you Saturday night njema.

Paskali
HUU UPUMBAVU WA CHINA NA TANZANIA WANAIGA [emoji117] Dunia ijihadhari na taifa la China; yadaiwa Corona ilikuwepo muda mrefu sana - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
March 24, 2020

Mnyororo unaoweza kusababisha maambukizi

Ulimwenguni :



Source: Global News

Tanzania :
Hawa waliowasili kutoka nje wanawasili na kuwekwa ktk hoteli za binafsi mfano hoteli ya Peacock mtaa wa Lumumba kulipo ofisi ndogo ya CCM makao makuu Dar es Salaam .


Scenario 1 :Mfanyakazi wa Peacock Hotel anaenda kupiga soga na Polepole ktk mitaa ya Lumumba jijini Dar. Baadaye Polepole anakwenda kikazi Dodoma. Ana mkutano na mawaziri kupima utekelezaji wa sera za CCM zilizomo ktk ilani ya ahadi za CCM.

Mawaziri wanaitwa na Waziri Mkuu katika kikao na mawaziri wake Dodoma kupanga mikakati ya kupambana na coronavirus.




Scenario 2: Wanaowasili toka nje wanapelekwa shule ya Mgulani JKT. wanawekwa karantini siku 14 chini ya ulinzi wa kijeshi wa SUMA. Askari wa SUMA wenye nidhamu hakuna kutoka nje ya kambi korona imedhibitiwa kisawasawa isisambae.
 
Hospitali ya binafsi

Wazir mwenye hata kama umemficha mpaka kufikia jumatatu atakuwa amefahamika.

Bunge linalerejea

Rais kaenda geita anazidi kukimbia watu.

Mayalla umelizua lazima ufe nalo, kama hutapata simu kufikia kesho mchana usijali utaipata jion lkn husiwaze kwa kuwa huna familia.

Wengi ni kama kabendera ila wewe marekani ilikusaidia kweli japo siku hizi unaogopa kisa ppr inaidai baadhi ya taasisi za serikali na haupati tenda.

You don' t have family to feed dont worry

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani si ana mke?

Watoto vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
  1. Rais wa JMT
  2. Waziri Mkuu
  3. Waziri wa Afya
  4. Msemaji Mkuu wa Serikali
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya update ya Corona, hili ni swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.

Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.

Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.

Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila majina, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy.

Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.

... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza [emoji636]) ambapo safari yake ilianzia Italy [emoji634] kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.

Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.

Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA 🦠

Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!

Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.

Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.

Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri Anaugua Corona, His/Her Rights To Privacy Be Upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila Asipewe Any Preferential Treamement Kwasababu ni Waziri, Kama Ameugua Corona, Msifiche Waziri Wetu Kuugua Corona, Ugonjwa wa Corona sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, Unaficha Nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, hadi mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.

Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halfu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, Naomba kutoa angalizo la Kisa Cha Mficha Maradhi, nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba tusifike huko!

NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja jina lake Waziri!

I wish you Saturday night njema.

Paskali

Umenitisha sana ndugu P. Kwa hakika uthubutu huwa unao sana..big up! wenye akili tushajiongeza. Siri ya kweli huwa ni ya mtu mmoja tu hapa duniani. Wakishakuwa wawili hakuna Siri tena hapo
 
Back
Top Bottom