Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

Wanabodi,

Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
  1. Rais wa JMT
  2. Waziri Mkuu
  3. Waziri wa Afya
  4. Msemaji Mkuu wa Serikali
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya status ya ugonjwa wa Corona na wala sio update ya Corona, hili ni angalizo la swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.

Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.

Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.

Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisiitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila kutaja majina yoyote, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy za wagonjwa na za watu, na ningeomba hata miongoni mwa wachangiaji ikitolea ukawa unamjua, ili kuheshimu haki za mgonjwa, nawaomba msimtaje kwa majina.

Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.

... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza [emoji636]) ambapo safari yake ilianzia Italy [emoji634] kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.

Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.

Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA 🦠

Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!

Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.

Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.

Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri amepimwa na ikathibitishwa ni anaugua Corona, then his/her rights to privacy ziheshimiwe kwa kuwa upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila asipewe any preferential treamement kwasababu yeye ni Waziri, kama mtu ameugua Corona, haijalishi yeye ni nani, msifiche waziri wetu kuugua Corona, ugonjwa wa Corona ni ugonjwa tuu hauchagui wa kumpata na sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, unaficha nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, mawaziri wakuu wa dunia hadi mwana mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.

Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halafu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, naomba kutoa angalizo la kisa cha mficha maradhi kisije..., nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba Tanzania tusifike huko!

NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kwa kuanza kumhisi na watu humu kutaka kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja tuu jina lake Waziri!

I wish you Saturday night njema.

Paskali

Ila huyu Salama tumuombee sana maana kuna sauti za wanyonge huko nyuma alizi zima.
Huyu ni Dada wa Hassan Abdu Talib maaruf Kiringo.
Huyu Kiringo ni mtuhumiwa wa kulawiti watoto wengi wadogo chini ya miaka 18.
Ana kesi mahakama ya Zanzibar lakini dada alimkingia kifua alipo kamatwa uwanja wa ndege akitaka kutoroka.
Pia kuna makundi ya wasagaji anahusika nayo.
Hivo tumuombee tu ila dua za watu nazo hasa walodhulumia ni nyingi


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kama waziri mkuu wa uingereza ametangaza kupata maambukizi Hawa wa kwetu wanaficha nn isitoshe marufuku ya karantini inabagua
Burkina Faso mawaziri wanne wameegua corona na wakatangazwa, kenya waziri wa afya baada ya kusemwa alipima na kukutwa hana ina familia yake kaitenga kwa siku 14.

Huko pengine duniani ndio wengi, mawaziri canada, uingereza, spain, italy, Iran ect ect walitest positive.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ya kubebana Wanzazibari wanayo sana . Utasikia Jamaa yetu huyu unaona mtu anapita VIP na ndio maana znz hata watu kama kina Shkuba wali flourish sana, kina raza, Abdul Sattar wa darajani wote wana kashfa za Musharaf lakini wanabebwa na viongozi wakubwa wa chama

Hata ukienda kupanda Boti utaona ule upendeleo wa huyu jamaa yetu. Sasa Corona itawafundisha adabu kwamba ujamaa ni mbaya.
*KWENYE LA WAZIRI SALAMA SHUJAA WETU NI DR MARIJANI*

DR Marijani ndio aliongoza kikosi cha Madaktari waliomkatalia Waziri Salama kulazwa Hospital ya mnazi mmoja Licha ya vitisho vingi alivyopewa na Waziri huyo na Baadae KATIBU MKUU KIONGOZI ambae kifamilia ni Baba wa Waziri huyo,Taarifa zinasema Katibu Mkuu kiongozi indiye aliyetaka kulazimisha taratibu za Serikali zipindishwe ili Waziri huyo apewe huduma za VIP hospital hapo badala ya Kwenye kambi iliyotengwa na Serikali,pamoja na Amri hiyo ambayo ilipingwa vikali na Dr MARIJANI ambae aliapa kua yupo Tayari kufukuzwa kazi lakini aokoe maisha ya Wazanzibari wengi,Dr Marijani aliamua kusimamia taaluma yake na kumkatalia katakata Waziri huyo ambae inasemaka alimwagia Dr huyo matusi yasioyoandikika na vitisho kadhaa na pia kufanya vituko kadhaa hospital hapo ambavyo viliashiria kua alikua na dhamira ya makusudi ya kueneza virusi vya Corona kwa Wananchi wengine,ikiwemo kugusa vitu hovyo,kukohoa hovyo akiwa katika wodi na kukataa kuvaa vifaa tiba vya kukinga kuenea kwa maambukizi.

Kwenye Hili Tunampongeza sana Dr Marijani kwa weledi wake na kutohofia vitisho vya Waziri huyo .

Pia Tunamuomba Rais wetu amchukulie hatua kali za kinidhamu Waziri Salama na Katibu Mkuu kiongozi kwani imekua ni kawaida kwa Katibu Mkuu huyo kuingilia maamuzi ya Viongozi au watendaji wengine katika mambo yenye maslahi nae.

*HONGERA DR MARIJANI kwa kunusuru maisha ya wengi*

Itaendelea......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*KWENYE LA WAZIRI SALAMA SHUJAA WETU NI DR MARIJANI*

DR Marijani ndio aliongoza kikosi cha Madaktari waliomkatalia Waziri Salama kulazwa Hospital ya mnazi mmoja Licha ya vitisho vingi alivyopewa na Waziri huyo na Baadae KATIBU MKUU KIONGOZI ambae kifamilia ni Baba wa Waziri huyo,Taarifa zinasema Katibu Mkuu kiongozi indiye aliyetaka kulazimisha taratibu za Serikali zipindishwe ili Waziri huyo apewe huduma za VIP hospital hapo badala ya Kwenye kambi iliyotengwa na Serikali,pamoja na Amri hiyo ambayo ilipingwa vikali na Dr MARIJANI ambae aliapa kua yupo Tayari kufukuzwa kazi lakini aokoe maisha ya Wazanzibari wengi,Dr Marijani aliamua kusimamia taaluma yake na kumkatalia katakata Waziri huyo ambae inasemaka alimwagia Dr huyo matusi yasioyoandikika na vitisho kadhaa na pia kufanya vituko kadhaa hospital hapo ambavyo viliashiria kua alikua na dhamira ya makusudi ya kueneza virusi vya Corona kwa Wananchi wengine,ikiwemo kugusa vitu hovyo,kukohoa hovyo akiwa katika wodi na kukataa kuvaa vifaa tiba vya kukinga kuenea kwa maambukizi.

Kwenye Hili Tunampongeza sana Dr Marijani kwa weledi wake na kutohofia vitisho vya Waziri huyo .

Pia Tunamuomba Rais wetu amchukulie hatua kali za kinidhamu Waziri Salama na Katibu Mkuu kiongozi kwani imekua ni kawaida kwa Katibu Mkuu huyo kuingilia maamuzi ya Viongozi au watendaji wengine katika mambo yenye maslahi nae.

*HONGERA DR MARIJANI kwa kunusuru maisha ya wengi*

Itaendelea......
Dr Marijan, huyu chief nampata vizur sana ni pathologist alafu huwa hanaga makuu kabisa ni mtu mmoja simple alafu smart ....Bravo chief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
  1. Rais wa JMT
  2. Waziri Mkuu
  3. Waziri wa Afya
  4. Msemaji Mkuu wa Serikali
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya status ya ugonjwa wa Corona na wala sio update ya Corona, hili ni angalizo la swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.

Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.

Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.

Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisiitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila kutaja majina yoyote, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy za wagonjwa na za watu, na ningeomba hata miongoni mwa wachangiaji ikitolea ukawa unamjua, ili kuheshimu haki za mgonjwa, nawaomba msimtaje kwa majina.

Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.

... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza 🇬🇧) ambapo safari yake ilianzia Italy 🇮🇹 kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.

Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.

Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA 🦠

Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!

Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.

Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.

Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri amepimwa na ikathibitishwa ni anaugua Corona, then his/her rights to privacy ziheshimiwe kwa kuwa upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila asipewe any preferential treamement kwasababu yeye ni Waziri, kama mtu ameugua Corona, haijalishi yeye ni nani, msifiche waziri wetu kuugua Corona, ugonjwa wa Corona ni ugonjwa tuu hauchagui wa kumpata na sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, unaficha nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, mawaziri wakuu wa dunia hadi mwana mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.

Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halafu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, naomba kutoa angalizo la kisa cha mficha maradhi kisije..., nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba Tanzania tusifike huko!

NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kwa kuanza kumhisi na watu humu kutaka kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja tuu jina lake Waziri!

I wish you Saturday night njema.

Paskali
Paskali wewe huwa na limbepe kushabikia hii serikali kwamba ndio kila kitu, hayo mambo ndio kipimo cha uhovyo wa serikali, angekuwa ni Halima Mdee ndio amehisiwa na hali hiyo naamini hata wewe Paskali usingeandika kwakuremaremba hivyo, ungeandika kwa ujasiri tena ungewatukana chadema wote na kuwataka wampeleke mtu wao kunakostahiri, kwa hiyo Paskali wewe na wenzako mko tayari kumuacha huyo waziri akae hapo na hata akileta maambukizi kwa wengine ?,huyo waziri wa ccm anaonesha jinsi gani viongozi wenzake walivyo, ningekuwa mimi ndio Kiongozi wa hospitali hiyo ningeita hata wanajeshi waje kumtoa kwa nguvu, wenzetu waliostaarabika kama waziri mkuu wa UK, Mwana mfalme wa UK wamejitangaza hadharani bila kujali nyadhifa zao, viongozi wa serikali ya ccm ni janga kama majanga mengine yaliwahi kutokea hapa duniani
 
*KWENYE LA WAZIRI SALAMA SHUJAA WETU NI DR MARIJANI*

DR Marijani ndio aliongoza kikosi cha Madaktari waliomkatalia Waziri Salama kulazwa Hospital ya mnazi mmoja Licha ya vitisho vingi alivyopewa na Waziri huyo na Baadae KATIBU MKUU KIONGOZI ambae kifamilia ni Baba wa Waziri huyo,Taarifa zinasema Katibu Mkuu kiongozi indiye aliyetaka kulazimisha taratibu za Serikali zipindishwe ili Waziri huyo apewe huduma za VIP hospital hapo badala ya Kwenye kambi iliyotengwa na Serikali,pamoja na Amri hiyo ambayo ilipingwa vikali na Dr MARIJANI ambae aliapa kua yupo Tayari kufukuzwa kazi lakini aokoe maisha ya Wazanzibari wengi,Dr Marijani aliamua kusimamia taaluma yake na kumkatalia katakata Waziri huyo ambae inasemaka alimwagia Dr huyo matusi yasioyoandikika na vitisho kadhaa na pia kufanya vituko kadhaa hospital hapo ambavyo viliashiria kua alikua na dhamira ya makusudi ya kueneza virusi vya Corona kwa Wananchi wengine,ikiwemo kugusa vitu hovyo,kukohoa hovyo akiwa katika wodi na kukataa kuvaa vifaa tiba vya kukinga kuenea kwa maambukizi.

Kwenye Hili Tunampongeza sana Dr Marijani kwa weledi wake na kutohofia vitisho vya Waziri huyo .

Pia Tunamuomba Rais wetu amchukulie hatua kali za kinidhamu Waziri Salama na Katibu Mkuu kiongozi kwani imekua ni kawaida kwa Katibu Mkuu huyo kuingilia maamuzi ya Viongozi au watendaji wengine katika mambo yenye maslahi nae.

*HONGERA DR MARIJANI kwa kunusuru maisha ya wengi*

Itaendelea......
Nchi za wenzetu kuanzia katibu huyo waziri hawana kazi na wakitoka hapo ni mahakamani wakakutane na mkono wa sheria ambapo kwa makusudi kabisa kama akidhibitika ni muathirika wa covid 19 angeweza kuotumbukiza nchi kwenye janga kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*MAWAZIRI WETU SMZ BAADHI YENU KWANINI MNAKUA HIVI.*

Inasikitisha sana baada kuisikia na kuipata taarifa hii.
Jana tulisikia jinsi waziri alotoka safari na kuingia hapa kupitia VIP na kukaa Nyumbani akiwa anaumwa na kupelekwa Hosptl ya mnazi mmoja na mwishoe kuishia Kidimni.

Baada ya hili kutokea Purukuchu unapata taarifa za kuaminika Waziri mwengine wa SMZ kayafanya mengine yanayofanana na yale yale.

Kuna mgeni kaingia kutoka Uengereza mgeni wa kike kuna waziri wakiume kaenda uwanja wa ndege kumpokea mgeni uyo na kumpitisha VIP wakati hana hadhi ya kupitia VIP mtu huyo.

lakusikitisha VIP nao kwakua kapitishwa na waziri wakamruhusu na baadala ya kumuandika kaingia wakamuandika katoka baada ya apo akapelekwe kwa maofisa wa immigration Nao wakataka taarifa zake anapokwenda Akaandikwa anakwenda Bububu.

matokeo yake mtu huyo kapelekwa Chukwani Nyumbani kwao. Shida mwanamke baada ya kupitishwa kwamsaada wa waziri akaanza kuwataarifu wenzie walipo ulaya kama kishapita na yupo Nyumbani anafanya shuhuli zake.

Watu wa ulaya ndio walotoa taarifa znz ya hayo yote yalotokea huku hapo ndio taarifa zikaenea mpaka kufika maeneo husika na kufatiliwa uyo mtu na kupatikanwa Chukwani.

Tumuombe mungu awe hana maambukizi je kama atakua nayo nani hasa wakumlaumu kwenye hili?

Kwann tunaowapa dhamana na kuwaamini kwenye hili wanatuangusha haliyakua yote wameyapanga wao watu wakija wafikie wapi na Siku ngapi au Amri hii kwetu sisi tu wenye uluwa haiwahusi.

Hivi kwann mtu hajiambii ikiwa Makamo wa pili wa Raisi wetu Ambae ni mtendaji Mkuu wa shuhuli za serekali na mkewake na watumishi wake wote alokua Nao safari wamezingatia hili na kutii Amri ya Serekali. inakuwaje mtu tu wakawaidi waziri anajitwisha kumpitisha tu Jaman mnalengo gani na sisi tunaoishi humu visiwani?

Inakuwaje mnajipangia mikakati mnashidwa kuitekeleza wenyewe serekali kupitia vikosi vya ulinzi na Salama havilali kwa kulinda mipaka ili watu wasipitishe Kumbe nyie mnawapitishia kwa VIP kuna haja gani ya kuwafanya wasialale majumbani kwao kwa kulinda Taifa.

kwakweli inasikitisha sana Tunaowaamini na kuwaheshim ndio wanaotuhatarishia Maisha yetu haya mkuu ila kwasasa mgeni alopokea kisha chukuliwa yupo KAMILA tuombe mungu awe mzima ili ndugu zetu waokoke Ukanda wa chukwani.

Hii nji Kuna upuuzi mwingi Sana unatokea chini ya Utawala wa CCM ya awamu hii ya Ngosha Jiwe. Si Zanzibara wala si Zanzibari kote ni shida.....!
Mimi naomba hao wanaopuuzia na kutumia UTAWALA WA CCM Kutaka kuchochea maambukizi ya Corona kwa kukiuka taratibu tulizojiwekea dunia nzima wawe wa kwanza kusulubiwa na gonjwa hili....!!!
Ukija Bara sasa hivi hatusikii maambukizi kuongezeka! Je, ni kweli kuwa hakuna maambukizi au Kuna namna? NCHI zote za Afrika Mashariki kila baada ya 24 hrs zinatoa update ya ongezeko! Mpaka sasaRwanda(70),Kenya(42),Uganda(30),Tanzania(13?) idadi haingozeki wala haipungui........!Je,hiyo hesabu ni sahihi?Je,wageni wote waloingia na kuwekwa karantini au isolation wanapimwa na kweli hawana maambukizi?
 
IMG_0704.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila huyu Salama tumuombee sana maana kuna sauti za wanyonge huko nyuma alizi zima.
Huyu ni Dada wa Hassan Abdu Talib maaruf Kiringo.
Huyu Kiringo ni mtuhumiwa wa kulawiti watoto wengi wadogo chini ya miaka 18.
Ana kesi mahakama ya Zanzibar lakini dada alimkingia kifua alipo kamatwa uwanja wa ndege akitaka kutoroka.
Pia kuna makundi ya wasagaji anahusika nayo.
Hivo tumuombee tu ila dua za watu nazo hasa walodhulumia ni nyingi


Sent from my iPad using JamiiForums
Kama anatabia ya kinyama hivyo basi hatufai hata kidogo!
 
Sijui ni nini definition ya siri kwa kiswahili, but toka pale tu waziri alipofika hospitali ya mnazimoja akilalamika kusumbuliwa na mafua na homa wazanzibari tulianza kutumiana taarifa hii. Zanzibar ni ndogo sana na kabla hata daktari mkuu wa mnazimoja hajamwambia mgonjwa "sema aagghhhh" watu walishajulizana kuwa huyu waziri amerudi safarini england na italy sio zamani sana kwa hivyo watu wakafanya 1 + 1 = 3 !!

Tatizo ambalo liliwakera wazanzibari wengi ni kule kwa waziri huyu kukataa kwenda katika hopspitali ambayo serikali anayoitumikia imeitega kwa wagonjwa wa corona. Pia kule kwa waziri wa afya kushindwa kuwalinda wafanyakazi wake kuanzia wafagizi mpaka madaktari kwa kushindwa kumshawishi waziri mwenzake kufuata utaratibu ulioweka na kwenda hospitali ya kidimni. Kubwa zaidi lilowakera wazanzibari wengi ni kule Rais wa nchi kuchukuwa muda mrefu kuingilia kati suali hili.

Huyu waziri anaonyesha ana kiburi sana, yaani kusema yeye hawezi kupelekwa kidimni kwa sababu ya status yake ni dharau kubwa kwa wananchi wote wa zanzibar. Amesahau ule msemo mpanda ngazi hushuka. Kuna siku atashushwa madaraka na ataona cha moto.
Uwaziri weka pembeni akitoka afunguliwe mashtaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Kabudi yuko wapi? Angekuwa mstari wa mbele katika mapmbano haya. Na juzi nimemuona Balozi Kairuki akitoa taarifa ambayo kimsingi ilitakiwa itolewe na Wachina wenyewe au na Waziri wetu wa Mambo ya Nje.
nasikia alienda canada akapitia italy.. sasa kutokana na tabia yake ya kutokwa na mipovu kila anapoongea vile virus vilmmaindi.
 
Back
Top Bottom