Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna jaribu tu kuwaza kama ni kweli amesha waambukiza Watu wangapi kwa ukaidi wake.Kutii Sheria kwa Afrika hii ni kwa Wanyonge tu lakini kwa wakubwa mmh hapana.
Hili Tatizo mna lifungia Macho ,ipo Siku litabisha Hodi Miguuni kwenu.
Makonda hafichi mtu, amesema yeye ana wajibu wakulinda usalama wa watu wa Dar es salaam.Prof wa rubbish pit au?
Kama ni kweli basi huo ni ulimbukeni tu, ingekuwa kipindupindu labda ndiyo fedheha.
Ngoja tumsubiri Makonda atutangazie!
Makonda hafichi mtu, amesema yeye ana wajibu wakulinda usalama wa watu wa Dar es salaam.
Lets wait and see.
Wanabodi,
Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya update ya Corona, hili ni swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.
- Rais wa JMT
- Waziri Mkuu
- Waziri wa Afya
- Msemaji Mkuu wa Serikali
Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.
Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.
Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila majina, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy.
Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.
... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza 🇬🇧) ambapo safari yake ilianzia Italy 🇮🇹 kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.
Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.
Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA 🦠
Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!
Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.
Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.
Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri Anaugua Corona, His/Her Rights To Privacy Be Upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila Asipewe Any Preferential Treamement Kwasababu ni Waziri, Kama Ameugua Corona, Msifiche Waziri Wetu Kuugua Corona, Ugonjwa wa Corona sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, Unaficha Nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, hadi mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.
Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halfu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, Naomba kutoa angalizo la Kisa Cha Mficha Maradhi, nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba tusifike huko!
NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja jina lake Waziri!
I wish you Saturday night njema.
Paskali
Unaanza kufungua code utaishia jela!!Naskia ni Mkojaaaanii wa nchi ya Visiwano
Wanabodi,
Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya update ya Corona, hili ni swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.
- Rais wa JMT
- Waziri Mkuu
- Waziri wa Afya
- Msemaji Mkuu wa Serikali
Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.
Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.
Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila majina, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy.
Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.
... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza [emoji636]) ambapo safari yake ilianzia Italy [emoji634] kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.
Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.
Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA 🦠
Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!
Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.
Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.
Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri Anaugua Corona, His/Her Rights To Privacy Be Upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila Asipewe Any Preferential Treamement Kwasababu ni Waziri, Kama Ameugua Corona, Msifiche Waziri Wetu Kuugua Corona, Ugonjwa wa Corona sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, Unaficha Nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, hadi mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.
Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halfu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, Naomba kutoa angalizo la Kisa Cha Mficha Maradhi, nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba tusifike huko!
NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja jina lake Waziri!
I wish you Saturday night njema.
Paskali
Kwani akiugua korona wewe inakuhusu nini
Bashiru yuko wapi?Natabiri: atakuwa yule mwenye kuangalia wenzake kwa kuwakazia macho. Yule alietolewa jalalani.
Ndio cabinet members wengine wamekimbia jijiNna jaribu tu kuwaza kama ni kweli amesha waambukiza Watu wangapi kwa ukaidi wake.Kutii Sheria kwa Afrika hii ni kwa Wanyonge tu lakini kwa wakubwa mmh hapana.
Hili Tatizo mna lifungia Macho ,ipo Siku litabisha Hodi Miguuni kwenu.
Makonda alishaambiwa na UmmyProf wa rubbish pit au?
Kama ni kweli basi huo ni ulimbukeni tu, ingekuwa kipindupindu labda ndiyo fedheha.
Ngoja tumsubiri Makonda atutangazie!
Bado tunampenda mwenyekiti wa kabinetyKama ni kweli basi Kabineti nzima kwishney
Kwenye hii picha kuna Waziri mmoja Mpemba ndie hayupo...Labda sijuiAisee du!
Najaribu kuangalia hapa sipati jibu
![]()
Utamaduni wa mwafrika ni kuficha udhaifu wa viongoziHao hao waingereza mpaka waziri wao mkuu katangaza wazi sasa huyu anaficha ya nini
Ewe Paulo Makonda, wewe ndio mkombozi wetu, tunakuaminia. Wewe ndio WHISTLEBLOWER wa wale wanaoficha wagonjwa wa KORONA. Ulimuumbua Mbowe alipoficha kwamba mwanae anaugua korona. Hukujali mashambulizi toka kona mbalimbali, hata ukadiriki kuvunja sheria za maadili ya kitabibu, kwa kutaja jina la mgonjwa. Pia ukavunja protokali ya utangazaji wa wagonjwa wa korona. Na ukatamka kwamba wewe ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa mkoa wetu Dar. Sasa kwa kutumia shoka hilo hilo lililomvua nguo Mbowe na kuvuruga njama zake za kuteketeza watu, tuambie kwanza huyo mgonjwa ni nani na ufichue njama alizopanga kufanya maangamizi. Utakuwa umeokoa watu wengi na wala usipepese macho katika hili.. TUNAKUAMINIA MAKONDA WETU.Wanabodi,
Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya update ya Corona, hili ni swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.
- Rais wa JMT
- Waziri Mkuu
- Waziri wa Afya
- Msemaji Mkuu wa Serikali
Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.
Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.
Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila majina, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy.
Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.
... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza 🇬🇧) ambapo safari yake ilianzia Italy 🇮🇹 kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.
Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.
Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA 🦠
Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!
Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.
Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.
Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri Anaugua Corona, His/Her Rights To Privacy Be Upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila Asipewe Any Preferential Treamement Kwasababu ni Waziri, Kama Ameugua Corona, Msifiche Waziri Wetu Kuugua Corona, Ugonjwa wa Corona sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, Unaficha Nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, hadi mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.
Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halfu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, Naomba kutoa angalizo la Kisa Cha Mficha Maradhi, nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba tusifike huko!
NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja jina lake Waziri!
I wish you Saturday night njema.
Paskali