Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Fast ferry boat... rapid modern boat ..mwanza to ukerewe island

Dodoma Lin mtakuwa na vitu kama hvi [emoji28][emoji28][emoji116][emoji116][emoji116]
Labda Mungu akiumba Dunia nyingine
 
Watu wa Mwanza bado mnaendelea kujitutumua mbele ya Dodoma?

Ni matusi kulinganisha Dom na Vijiji vya wavuvi ๐Ÿ‘‡
 
Dodoma inawatesa Sana watu wa Mwanza Ni vile tuu hawana Cha kufanya wanalazimika kupita kimya kimya ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Jiwe la msingi mradi wa nyumba 3500 Dodoma ๐Ÿ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
Dodoma inawatesa Sana watu wa Mwanza Ni vile tuu hawana Cha kufanya wanalazimika kupita kimya kimya [emoji23][emoji23].

Jiwe la msingi mradi wa nyumba 3500 Dodoma [emoji116]
Katika zama hizi mji mkuu wanajengewa estate mbovu kama hizo ....Kwa estate kama hizo waishie huko huko .
Private estate..nyasaka [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Unaugulia Maumivu kwa kujifariji [emoji16][emoji16][emoji16]

Sizitaki mbichi hizi [emoji23][emoji23]
Tembea capital cities Duniani ,,, huwezi Sifia hizo kota ,,,,
NB maumivu makali ni haya [emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji16][emoji16][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Dodoma hamna kupumzika yaani [emoji116][emoji116]
Ukiniletea eco park na tourism site kama hii
Niite mbwa nipo pale [emoji91][emoji91][emoji91][emoji14][emoji14][emoji16]
 

Attachments

  • Screenshot_20221129-193318.jpg
    21.9 KB · Views: 13
Mwanza is always amazing...you can't miss something wonderful to see in this unique rock hilled city .[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ