Inabidi mpande miti mwondokane na jangwa [emoji28]
Yaani Hadi Karne hii bado mnashangaa wazungu?Haters watasema hapa ni Ibiza...sio mwanza..na sisi tunasema yes [emoji106]. this [emoji116]is Ibiza [emoji28]View attachment 2478428View attachment 2478429View attachment 2478430View attachment 2478431View attachment 2478432
Aliyekuambia tunashangaa wazungu nani ..[emoji28]hyo kawaambie nduguzo wa arusha.....Yaani Hadi Karne hii bado mnashangaa wazungu?
Visit mwanza .
Mitaa Iko wapi?Visit mwanza .
Beautiful landscape [emoji177][emoji91][emoji91]View attachment 2479211View attachment 2479212View attachment 2479213
Kwan nilichokutumia hapo ni tarafa au ..by the way ... nimekutumia uone mandhari kama Ibiza au Santorini Greece...syo mitaa ,,,maana uzuri wa mji ni mandhari [emoji4][emoji16][emoji116]Mitaa Iko wapi?
Mbona hakuna Barabara za mitaani?Kwan nilichokutumia hapo ni tarafa au ..by the way ... nimekutumia uone mandhari kama Ibiza au Santorini Greece...syo mitaa ,,,maana uzuri wa mji ni mandhari [emoji4][emoji16][emoji116]View attachment 2479997
Hizo ni beach plots ,,, barabara ziko maped Tayari na muda wowote zinajengwa,,,kama ulikuwa hujui huko ni mlimani,,,kama malorca Spain ,,,,,,,,Mbona hakuna Barabara za mitaani?
πππππHizo ni beach plots ,,, barabara ziko maped Tayari na muda wowote zinajengwa,,,kama ulikuwa hujui huko ni mlimani,,,kama malorca Spain ,,,,,,,,
Unacheka lakin Kwa maumivu makali [emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba anacheka kwa maumivu makaliππππ, na hivi leo nafuraha ya chama langu la mashetani wekundu kushinda...... Hila mikdde unastahili tuzo ya kwenye hizi battle, umeweza kumfunga mdomo yule kasuku wa njombe mji.Unacheka lakin Kwa maumivu makali [emoji116][emoji116]
New apartment block. Uhuru road
The gradia tower ..View attachment 2480183
Man u ni Simba waliochangamka ..hawana jipya [emoji28][emoji28]Kwamba anacheka kwa maumivu makali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], na hivi leo nafuraha ya chama langu la mashetani wekundu kushinda...... Hila mikdde unastahili tuzo ya kwenye hizi battle, umeweza kumfunga mdomo yule kasuku wa njombe mji.
Unaona jana tulivyomkalisha kipara na mbwembwe zake.Man u ni Simba waliochangamka ..hawana jipya [emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28],,,goli moja lilikuwa off side..Unaona jana tulivyomkalisha kipara na mbwembwe zake.