Mmeanza uchawi, marcus rashford ndiye aliyekuwa offside lakin naye alijijua kuwa yupo offside na hakuugusa ata kidogo huo akamuachia the killer bruno Fernandez akikimbia kutokea nyuma na kuuwahi mpira na kuachia bonge ya shoot adi goal.... Kama Rashford angeupiga ule mpira ingekuwa ni offside.[emoji28][emoji28][emoji28],,,goli moja lilikuwa off side..
Duùuu kazi ipo saaaMorogoro hata kwa Udom tu haingii
Mkuu umefukua kaburi..Duùuu kazi ipo saaa
Acha wa upgrade tu, kingine lazima tujiulize kwanini hiyo hospitali ya magonjwa ya akili iliwekwa Dodoma?
Simply ni Makao Makuu ya NchiAcha wa upgrade tu, kingine lazima tujiulize kwanini hiyo hospitali ya magonjwa ya akili iliwekwa Dodoma?
Wakati inaanzishwa ilikuwa ni makao makuu ya nchi?Simply ni Makao Makuu ya Nchi
NdioWakati inaanzishwa ilikuwa ni makao makuu ya nchi?
Kama ilikuwa makao makuu ya nchi kwanini mnajenga leo hayo makao makuu ya nchi ikiwemo na ikulu?Ndio
Roma haikujengwa mara Moja,Dom imetangazwa kuwa Makao Makuu rasmi Toka 1973 na ujenzi ulienda hatua Kwa hatua na unapewa msukumo mkubwa awamu ya 5.Kama ilikuwa makao makuu ya nchi kwanini mnajenga leo hayo makao makuu ya nchi ikiwemo na ikulu?
Huna akili wewe, makao makuu ya nchi mbona serikali na taasisi zote zilikuwa Dar?Roma haikujengwa mara Moja,Dom imetangazwa kuwa Makao Makuu rasmi Toka 1973 na ujenzi ulienda hatua Kwa hatua na unapewa msukumo mkubwa awamu ya 5.
Wewe ni pimbi mjinga mkubwa ,Bunge lilikuwa Dar? CDA ilianzishwa Dar? Wizara ya Cooperatives ilianza ku operate Toka lini Dodoma?Huna akili wewe, makao makuu ya nchi mbona serikali na taasisi zote zilikuwa Dar?
Toka ulivyotoka kwenye hali ya undondocha naona kidogo ubongo ulitikisika kidogo, makao makuu ya nchi ili ikamilike inaitaji mambo mangapi?Wewe ni pimbi mjinga mkubwa ,Bunge lilikuwa Dar? CDA ilianzishwa Dar? Wizara ya Cooperatives ilianza ku operate Toka lini Dodoma?
Ofisi za Ccm Makao Makuu ni Dar?
Wizara ya cooperative ndio wizara gan hyo [emoji3062]Wewe ni pimbi mjinga mkubwa ,Bunge lilikuwa Dar? CDA ilianzishwa Dar? Wizara ya Cooperatives ilianza ku operate Toka lini Dodoma?
Ofisi za Ccm Makao Makuu ni Dar?
Je ni kweli dodoma CBD inaizidi mwanza CBD..Mwanza watanuna [emoji116]