Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

[emoji28][emoji28][emoji28],,,goli moja lilikuwa off side..
Mmeanza uchawi, marcus rashford ndiye aliyekuwa offside lakin naye alijijua kuwa yupo offside na hakuugusa ata kidogo huo akamuachia the killer bruno Fernandez akikimbia kutokea nyuma na kuuwahi mpira na kuachia bonge ya shoot adi goal.... Kama Rashford angeupiga ule mpira ingekuwa ni offside.
 
Wewe ni pimbi mjinga mkubwa ,Bunge lilikuwa Dar? CDA ilianzishwa Dar? Wizara ya Cooperatives ilianza ku operate Toka lini Dodoma?
Ofisi za Ccm Makao Makuu ni Dar?
Toka ulivyotoka kwenye hali ya undondocha naona kidogo ubongo ulitikisika kidogo, makao makuu ya nchi ili ikamilike inaitaji mambo mangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…