The Washington DC of Africa [emoji91][emoji91][emoji91]
Tutajie private company zinazofanya kazi hapo dodoma.Mwanza mtajificha wapi?
Dom cbdView attachment 2493634
Hilo ni swali la kijinga,Kwa Jiji lenye watu zaidi ya 700k hakuna private companies?Tutajie private company zinazofanya kazi hapo dodoma.
Tuwe wastaarabu sio kila swali utalijibu kwa ngebe/dharau ukiwa haujui lengo la muuliza swali.Hilo ni swali la kijinga,Kwa Jiji lenye watu zaidi ya 700k hakuna private companies?
Pako vizuri mkuu panatia moyo kwa sasaThe Washington DC of Africa [emoji91][emoji91][emoji91]
Mumeanza ku surrender 🔥🔥,na badoPako vizuri mkuu panatia moyo kwa sasa
Mwanza mtajificha wapi?
Dom cbdView attachment 2493634
Tuko hapa kuenjoy tu ...yaani Kwa akili za kawaida dodoma huwezi iweka group Moja na mwanza....ni ukosefu wa akili ...Mumeanza ku surrender [emoji91][emoji91],na bado
Nyumba ya popo hiyoUjaliona soko kuu la Job Ndugai?
Dodoma bado Ina safari ndefu sana .....kuipata Arusha af ndo ianze kuitafuta mwanza ...mji ghorofa ya maana ni hyo Moja hapo ,,,vingine vibanda [emoji28][emoji28]Mwanza mtajificha wapi?
Dom cbdView attachment 2493634
Pamoja na chuki zako ila unajua kabisa kweye hiyo picha hakuna gorofa kibao za Dom ya.Dodoma bado Ina safari ndefu sana .....kuipata Arusha af ndo ianze kuitafuta mwanza ...mji ghorofa ya maana ni hyo Moja hapo ,,,vingine vibanda [emoji28][emoji28]
Au syo [emoji12][emoji12][emoji12]Pamoja na chuki zako ila unajua kabisa kweye hiyo picha hakuna gorofa kibao za Dom ya.
Mwanza gorofa ya maana ni nssf pekee kwingine kote ni takataka.
Mwanza ya miaka 8 iliyopita ni nzuri kuliko dodoma ya Leo [emoji28][emoji116]Pamoja na chuki zako ila unajua kabisa kweye hiyo picha hakuna gorofa kibao za Dom ya.
Mwanza gorofa ya maana ni nssf pekee kwingine kote ni takataka.
Post Ile Magufuli city, hii old cbd hamna kitu hapaMwanza mtajificha wapi?
Dom cbdView attachment 2493634
Jacaranda,[emoji3][emoji3][emoji3] hivi mbeya ni mtaa gani wanaishi matajiri?
Soko la Mwanza ni bora zaidi kuliko la Dodoma, kwanza litakua na Vitu vingi kuliko La DodomaUjaliona soko kuu la Job Ndugai?