Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Dom mtaipenda hata Kwa lazima
Ihumwa
20230124_071101.jpg
20230124_071104.jpg
20230124_071107.jpg
Screenshot (219).png
308106263_3367888740163260_8283199494673780097_n.jpg
 
Mumeanza ku surrender [emoji91][emoji91],na bado
Tuko hapa kuenjoy tu ...yaani Kwa akili za kawaida dodoma huwezi iweka group Moja na mwanza....ni ukosefu wa akili ...
Ebu Kwanza niwaulize nyie si mlisema mnaikimbiza dar [emoji28][emoji12][emoji12]
Imekuaje Tena[emoji116][emoji316][emoji849][emoji83]...nbs haiwapi nafasi [emoji12][emoji12][emoji28][emoji28]
Screenshot_20230123-220316.jpg
 
Dodoma bado Ina safari ndefu sana .....kuipata Arusha af ndo ianze kuitafuta mwanza ...mji ghorofa ya maana ni hyo Moja hapo ,,,vingine vibanda [emoji28][emoji28]
Pamoja na chuki zako ila unajua kabisa kweye hiyo picha hakuna gorofa kibao za Dom ya.

Mwanza gorofa ya maana ni nssf pekee kwingine kote ni takataka.
 
Back
Top Bottom