Kwani vinyesi ndio vinasababisha kansa...leta estates za dom tulinganishe na mwanza, mtandao wa lami kwasasa bado subirini hiyo outer ring road ndio uje utambe, mna vyuo au mna chuo kimoja tu.cha udom, ukibisha weka list nami niweke list ya vyuo vikuu, makazi bora hakuna jiji lenye makazi classic hapa Tanzania kama Mwanza, bustani za kupumzikia mwanza ndio mahala pake, karibu fukwe zote zimejengwa na kusanifiwa vizuri kwa watu kupumzika.....Ungeendelea kutaja tunavyowazidi kuwa si bunge tu bali ikulu, jiji la kisasa la kiserikali, estates,majengo ya taasisi mbalimbali, vyuo vikuu, planned city, makazi bora, kilomita ndefu za mtandao wa barabara za lami mjini, bustani za kupumzikia,n.k
Bora unusu jangwa wenye trachoma kuliko kunywa maji yenye mchanganyiko wa vinyesi na mwisho wa siku ni kufa kwa kansa.
Kati ya abuja na zizi la dodoma, wapi palitangulia, wapi ni maarufu duniani, na wapi pako more developed?Dodoma imecopy nini? Ungesema Dodoma ndiyo imekopiwa na hao akina abuja mnaowashobokea kwenye mifano yenu.
Dodoma ipo karibu na Dar, na tayari Dar kuna uwanja mkubwa wa kimataifa, je hao wageni wataacha kutumia JNIA na washukie msalato? Je msalato itapokea wageni wa aina gani? Jibu hayo nakuja kukupa facts kuwa hiyo msalato ni upotevu wa fedha kwenye nchi maskini kama hii
We bwabwaja tuombe uzima tutakutana hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba Mwanza ipo jirani mno na Musoma sasa kuna haja gani ya kujisumbua kuukarabati uwanja wa ndege wa Musoma wakati upo wa Mwanza?
Unajiuliza swali rahisi sana eti kwa kuwa kuna JNIA hivyo ilo linaifanya KIA au AAKIA isipate abiria? Siku zote destination anayofikia mtu inategemea na purpose ya kusafiri kwa abiria.
Dodoma ni makao makuu ya nchi na makao ya serikali, hivyo ina movement nyingi za viongozi na wafanyakazi (iwe ndani au nje ya nchi) na wananchi kufuata huduma ya serikali ni sababu ya kwanza ya uwepo wa uwanja huu.
Kingine ni kurahisisha huduma kwa wasafiri wa ndani na wa nje ya nchi wanaotaka kutoka au kuingia Dodoma kwa njia ya anga.
Mji mkubwa kama Dodoma haukosi wafanyabiashara,wafanyakazi kwenye mashirika,makampuni, taasisi mbalimbali ambao watapendelea zaidi kutumia usafiri unaookoa muda na kingine ni uagiziaji na usafirishaji mizigo nje na ndani ya nchi.
Mchina dizaini yuko resi, huu mradi katika hiki kipande naona utakamilika mapema sema hilo jiji linalojengewa viaduct ndiyo kituko halina mvuto kabisa.
[emoji23]We bwabwaja tuombe uzima tutakutana hapa.
We hayo ya mo developed na mo dewji temana nayo, acha Dodoma ikamilishe miradi yake yote ndipo tutajua nani zaidi.Kati ya abuja na zizi la dodoma, wapi palitangulia, wapi ni maarufu duniani, na wapi pako more developed?
Kwani vinyesi ndio vinasababisha kansa...leta estates za dom tulinganishe na mwanza, mtandao wa lami kwasasa bado subirini hiyo outer ring road ndio uje utambe, mna vyuo au mna chuo kimoja tu.cha udom, ukibisha weka list nami niweke list ya vyuo vikuu, makazi bora hakuna jiji lenye makazi classic hapa Tanzania kama Mwanza, bustani za kupumzikia mwanza ndio mahala pake, karibu fukwe zote zimejengwa na kusanifiwa vizuri kwa watu kupumzika.....
Ila dodoma Ina mvuto sioMchina dizaini yuko resi, huu mradi katika hiki kipande naona utakamilika mapema sema hilo jiji linalojengewa viaduct ndiyo kituko halina mvuto kabisa.
Na sehemu nyingine miradi yake haitakamilika, acheni kutegemea kudra za serikali nyie matonya wa dodoma.We hayo ya mo developed na mo dewji temana nayo, acha Dodoma ikamilishe miradi yake yote ndipo tutajua nani zaidi.
Mvuto unapimwa kwa kuangalia nn?Mchina dizaini yuko resi, huu mradi katika hiki kipande naona utakamilika mapema sema hilo jiji linalojengewa viaduct ndiyo kituko halina mvuto kabisa.
Leta vyuo vyenye afdhali hapo dodoma ukitoa udom, alafu punguza shobo, Mwanza sio igogo na mabatini tu, kila mkileta picha mnaleta za mabatini kuchafua hali ya hewa wakati mwanza ina makazi mengi mazuri, na kila sehemu hapa dunia hasa majiji makubwa huwa haya kosi slums hasa hapa Africa.Tafiti zinaonesha kuwa kanda ya ziwa especially Mwanza ndiyo inayoongoza kwa vifo vinavyotokana na Kansa ikiwemo ya ile ya matumbo na uzazi,
Chanzo ni wakupush tribe huwa hawakati mkono wa sweta hii inapelekea kansa ya kizazi kwa kina mama pia kunywa maji ya ziwa ambayo yanavimelea vya magonjwa yanatokana na mabaki ya vinyesi vya binadamu na mwisho ni wafanyabiashara wa nyama mwanza kutokuwa na utu uosha nyama kwa maji ya kuoshea ma.....kitoweo hili kisioze au kuharibika mapema na matokeo yake ndiyo hayo.
Kulinganisha ukubwa wa estate industry ya Dodoma na Mwanza, naona kama Mwanza ni kituko tu si vizuri kuwaaibisha.
Unahitamka UDOM huku umeketi badala ya kusimama na kutoa heshima maana UDOM moja ukubwa wake ni robo ya Jiji lenu na si madarasa kama shule ya sekondari ilivyo ile SAUT yenu bali maghorofa ya nguvu yaliyotapakaa kila mahali. Ukiondoa Bugando na SAUT kuna chuo gani kingine chenye uwalahu hapo Mwanza?
Eti hakuna jiji lenye makazi bora kama mwanza.." My foot, ukitumwa makazi bora utaleta mabatini na igogo?
Eti bustani za mapumziko unaanza kutaja fukwe za mahotel kando ya ziwa wakati kinachoongelewa hapa ni bustani za mji (recreational parks)
Population yenu imechukua eneo sawa na mwanza mjini Hadi mabuki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]km 65 ..au mwanza Hadi maguWatu wa dodoma ,,,,,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].. population yenu ipo dispersed [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].......km 2000 zilibaki ni mapori na machakaView attachment 2599214
Sent using Jamii Forums mobile app
chuo cha serikali za mitaa (hombolo),chuo cha mipango ,st John na WW unaweza taja secondary zilizopo mwanza [emoji28][emoji2][emoji1787]Leta vyuo vyenye afdhali hapo dodoma ukitoa udom, alafu punguza shobo, Mwanza sio igogo na mabatini tu, kila mkileta picha mnaleta za mabatini kuchafua hali ya hewa wakati mwanza ina makazi mengi mazuri, na kila sehemu hapa dunia hasa majiji makubwa huwa haya kosi slums hasa hapa Africa.
Chuo Cha hombolo ni university....acha bangi basichuo cha serikali za mitaa (hombolo),chuo cha mipango ,st John na WW unaweza taja secondary zilizopo mwanza [emoji28][emoji2][emoji1787]
kasema nilete vyuo cyo university acha Shobo
haya lete hata institute au collage za uko mwanza [emoji28][emoji3]kasema nilete vyuo cyo university acha Shobo
Nmewah kusema apaa kua Eneo dodoma lililo Urbanised ni dogo ata iyo 625 ni uongoWatu wa dodoma ,,,,,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].. population yenu ipo dispersed [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].......km 2000 zilibaki ni mapori na machakaView attachment 2599214
Sent using Jamii Forums mobile app