Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

How long will dodoma take to reach this stage [emoji116]
IMG-20230525-WA0001.jpg
IMG-20230525-WA0002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jiji litakalopata mradi wa BRT isipokuwa Dodoma tu, sio Mwanza, arusha, Tanga wala Mbeya, sisi tusubiri miaka 100 kama serikali ikiwiwa.
IMG-20230526-WA0032.jpg
IMG-20230526-WA0035.jpg
 
Hakuna jiji litakalopata mradi wa BRT isipokuwa Dodoma tu, sio Mwanza, arusha, Tanga wala Mbeya, sisi tusubiri miaka 100 kama serikali ikiwiwa.
View attachment 2636273View attachment 2636274
Tutapata baada ya sheria kubadilishwa kwanza .
Pili achana na hao wachumi kenge wasiojielewa , Serikali itatafuta funding Kwa.ajili ya Majiji,Majiji yataondoka kwenye vimiradi vya kubahatisha kama Tactic na kuingia rasmi kwenye DART..

Kumbuka Kuna Mpango wa TRC wa reli za Mjini usisahau nazo ni kwenye.majiji,hili ndio.litachelewa sana .
 
Tutapata baada ya sheria kubadilishwa kwanza .
Pili achana na hao wachumi kenge wasiojielewa , Serikali itatafuta funding Kwa.ajili ya Majiji,Majiji yataondoka kwenye vimiradi vya kubahatisha kama Tactic na kuingia rasmi kwenye DART..

Kumbuka Kuna Mpango wa TRC wa reli za Mjini usisahau nazo ni kwenye.majiji,hili ndio.litachelewa sana .
Wachumi wa serikali yenu hii wanasema sehemu nyingine ni hasara tu faida ipo Dar na Dodoma.
 
Back
Top Bottom