ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Vitu vidogo vidogo hivyo..
2030 .. kwanza hatuhitaji BRT hasa wasipoleta .... Nairobi,Kigali , hawana BRT na haiwafanyi wawe lowVitu vidogo vidogo hivyo..
Baada ya Dar next is Dom for BRT
Unauliza lini Dom itakuwa na Ziwa? Uko sawa upstairs kweli? 😂😂How long will dodoma take to reach this stage [emoji116]View attachment 2635229View attachment 2635230
Sent using Jamii Forums mobile app
Ko umeona ziwa tu eti....Unauliza lini Dom itakuwa na Ziwa? Uko sawa upstairs kweli? [emoji23][emoji23]
KitukoKo umeona ziwa tu eti....
Ona hiki[emoji116]View attachment 2635622
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulishazoea kupondewa mkuu, utawasikia wasukuma washamba mara masikini kila kitu kama vile jiji la Mwanza wanaishi wasukuma tu.Mlianza vizuri ila mlipoanza kuingiza ukabila mmenikasirisha sana
Huu ni ukweli sio kupondaTulishazoea kupondewa mkuu, utawasikia wasukuma washamba mara masikini kila kitu kama vile jiji la Mwanza wanaishi wasukuma tu.
Tutapata baada ya sheria kubadilishwa kwanza .Hakuna jiji litakalopata mradi wa BRT isipokuwa Dodoma tu, sio Mwanza, arusha, Tanga wala Mbeya, sisi tusubiri miaka 100 kama serikali ikiwiwa.
View attachment 2636273View attachment 2636274
DodomaKo umeona ziwa tu eti....
Ona hiki[emoji116]View attachment 2635622
Sent using Jamii Forums mobile app
Nionyeshe forest reserve CBD ya dodoma .[emoji28][emoji28][emoji28]
Wachumi wa serikali yenu hii wanasema sehemu nyingine ni hasara tu faida ipo Dar na Dodoma.Tutapata baada ya sheria kubadilishwa kwanza .
Pili achana na hao wachumi kenge wasiojielewa , Serikali itatafuta funding Kwa.ajili ya Majiji,Majiji yataondoka kwenye vimiradi vya kubahatisha kama Tactic na kuingia rasmi kwenye DART..
Kumbuka Kuna Mpango wa TRC wa reli za Mjini usisahau nazo ni kwenye.majiji,hili ndio.litachelewa sana .