Population ya mbeya ipo Bamba na ilemela...hapa hatujazungumzia infrastructure na vingineSize+ Population
Jiji kubwa ..lisalimie shikamoo.... mbeya haifai hata kuwa manispaa jiji chafu na lenye mabanda kila mahalaAcha masikhara bro Mbeya ni Jiji kubwa lapaswa kuheshimiwa
Kuna Kila kitu na Sasa mtakuja kupiga picha kwenye flyover na Barabara Kali ya njia 4 sio kama hivyo vituko vya huko Mwanza 😂😂Hivi Mbeya kuna nini...?! labda kama unaongea kujifurahisha...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sasa Ilemela sio Mwanza ni Simiyu au kuna.mwanza nyingine?Population ya mbeya ipo Bamba na ilemela...hapa hatujazungumzia infrastructure na vingine
Flyover ya nyoko ..[emoji28][emoji28][emoji28]...kwenda zako huko ........ hvyo vifoot bridge au [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna Kila kitu na Sasa mtakuja kupiga picha kwenye flyover na Barabara Kali ya njia 4 sio kama hivyo vituko vya huko Mwanza [emoji23][emoji23]
[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Sasa Ilemela sio Mwanza ni Simiyu au kuna.mwanza nyingine?
Hasira za kukosa flyover au 😁😁😁Flyover ya nyoko ..[emoji28][emoji28][emoji28]...kwenda zako huko ........ hvyo vifoot bridge au [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
naona unafurahisha kijiwe...Kuna Kila kitu na Sasa mtakuja kupiga picha kwenye flyover na Barabara Kali ya njia 4 sio kama hivyo vituko vya huko Mwanza [emoji23][emoji23]
Kwa nini? Mtakuja kupiga picha Mbeya maana tunaanza kupata kabla ya Mwanza..
Yaani niende Mbarali nikapige picha...?! ila mjini kuna mabanda... ukienda Mwailubi au Mbeya Pazuri mnaweza mkakutana washikaji wote... ndio uje ufananishe na Mwanza kweli...?!Kwa nini? Mtakuja kupiga picha Mbeya maana tunaanza kupata kabla ya Mwanza..
Hapo unazungumzia Igawa-Mbeya
Mbeya City
Mbeya Bypass
Iwambi bypass
With flyover [emoji91][emoji91]
Kuna Mwanza Kampala pia kitambo tuMwanza to Nairobi.. nitajie international route ya dodoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]View attachment 2638602
Aibu kwa taifa kuwa hapa napo ni jijini [emoji53]Size + population= π¥℅£℅℅¢ [emoji2398]£[emoji116][emoji116]
View attachment 2638570
Ilemela ni MwanzaPopulation ya mbeya ipo Bamba na ilemela...hapa hatujazungumzia infrastructure na vingine
Toa ujinga wako hapa,unaijua Zanzibar kwanza? Mwanza inalinganishwa na Mbeya, tofauti na Mbeya Mwanza inazidi nani?Ilemela ni Mwanza
Mwanza ni more developed than Mbeya, si fair kufananisha Mbeya na jiji ambalo limeendelea kuliko hata Zanzibar
Ukiona Mwanza imetajwa uni tag 😁😁
Watafunga kwenye haya machaka ya semi arid?[emoji116]Ukiona Mwanza imetajwa uni tag [emoji16][emoji16]
Mbeya na Mwanza hawachekani broo
Hamad Masauni: Kamera zenye Mfumo wa utambuzi wa Sura kufungwa Dar es Salaam, Arusha na Dodoma
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023. Ufungaji wa kamera za Ulinzi Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi limekamilisha mradi wa ujenzi wa mji salama utakaotumia kamera zenye mfumo wa...www.jamiiforums.com
Ndio huko huko watafunga..Watafunga kwenye haya machaka ya semi arid?[emoji116]View attachment 2639297
hawamu hii ni kama inakomoa mwanza.Watafunga kwenye haya machaka ya semi arid?[emoji116]View attachment 2639297