nkanziga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 694
- 1,104
Kabisa Mbeya ulinganishe na Mwanza bwana ChoiceUkiona Mwanza imetajwa uni tag [emoji16][emoji16]
Mbeya na Mwanza hawachekani broo
Hamad Masauni: Kamera zenye Mfumo wa utambuzi wa Sura kufungwa Dar es Salaam, Arusha na Dodoma
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023. Ufungaji wa kamera za Ulinzi Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi limekamilisha mradi wa ujenzi wa mji salama utakaotumia kamera zenye mfumo wa...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app