Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Hii slums iliyochangamka [emoji16][emoji1787][emoji1787]No mabanda ya nguruwe in Dom View attachment 2663258View attachment 2663259View attachment 2663260View attachment 2663261
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii slums iliyochangamka [emoji16][emoji1787][emoji1787]No mabanda ya nguruwe in Dom View attachment 2663258View attachment 2663259View attachment 2663260View attachment 2663261
Modern slums [emoji867]No mabanda ya nguruwe in Dom View attachment 2663258View attachment 2663259View attachment 2663260View attachment 2663261
Kwa jinsi maghorofa yanavyoporomoshwa upande ule soon itakua Dubai ndogo....😀😀😀Kule Tambukareli, Nyuma ya Treasure na BOT Dodoma uende hadi OSHA kumejengwa maghorofa maofisi ya serikali kibao ila hakuna shukrani kule kumepauka utadhani upo Manyoni [emoji23]
Itaipiku mpaka dar ndani ya mwaka hu😂😂😂, na itakuwa kama Dubai.Kwa jinsi maghorofa yanavyoporomoshwa upande ule soon itakua Dubai ndogo....😀😀😀
Mji hauna shukran uleKwa jinsi maghorofa yanavyoporomoshwa upande ule soon itakua Dubai ndogo....[emoji3][emoji3][emoji3]
Vighorofa [emoji1787][emoji1787]Kwa jinsi maghorofa yanavyoporomoshwa upande ule soon itakua Dubai ndogo....[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3590][emoji3590] mwanzahood
Uswazi City ,Dom Kila Kona iko.poa ,Mwanza Nje ya hapa CBD ni uswazi mtupu[emoji3590][emoji3590] mwanzahoodView attachment 2666170
Mwanza ya 2010 ndo unaipost humu [emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uswazi City ,Dom Kila Kona iko.poa ,Mwanza Nje ya hapa CBD ni uswazi mtupu
Kwan hapa tunashindanisha mitaa au CBD soma title ya threadUswazi City ,Dom Kila Kona iko.poa ,Mwanza Nje ya hapa CBD ni uswazi mtupu
Kila kituKwan hapa tunashindanisha mitaa au CBD soma title ya thread
Leta porchy neighborhood kuzidi hapa .[emoji116]Kila kitu
MWANZAWOOD ndio nini...😀😀[emoji3590][emoji3590] mwanzahoodView attachment 2666170
Uswazi City ,Dom Kila Kona iko.poa ,Mwanza Nje ya hapa CBD ni uswazi mtupu
Usiwe mgeni na thread....kama mitaa tumepost mingi sana ...na Iko miles kutoka CBD ..Yes exactly ndiomana huwezi kuona wameposti picha zaidi ya ya maeneo ya rock city mall basi[emoji3][emoji3]ukitoa CBD the rest ni full uswazi,vichochoro vya barabara na mipango miji isiyoeleweka. Kwa Dodoma mitaa ambayo unaweza kuiita uswazi ni Chadulu,Mkalama na Chang'ombe kwa mbali lakini mitaa mingine yote imepangiliwa mipango miji+miundombinu full lami .Dodoma ndio Jiji pekee ambalo ikitokea ajali ya moto basi Zimamoto kufika na kuzima moto ni dakika chache tu kutokana na mpangilio bora wa makazi ya watu + kufikika kwa barabara za lami(CBD yote ipo full covered na barabara za kiwango cha lami)
🤣🤣🤣🤣👇👇Usiwe mgeni na thread....kama mitaa tumepost mingi sana ...na Iko miles kutoka CBD ..