Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hapa arusha imeshavuliwa ubingwa hawana chao.
Arusha na Mwanza nyie wote mushapigwa chini na Dom japo Arusha Wana afadhari maana baada ya Dar ndio Jiji lenye skyline Kali Kwa Sasa.

Arusha Bado wanajikaza ila by 2030 watakuwa wamezidiwa na Dom Kwa Kila kitu sawa na Mwanza ilivyozidiwa Kwa Kila kitu kasoro idadi ya watu pakee.
 
Leta skyline ya arusha nikupe ya Mwanza acha kutetea ujinga we mbwiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…