ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Arusha na Mwanza nyie wote mushapigwa chini na Dom japo Arusha Wana afadhari maana baada ya Dar ndio Jiji lenye skyline Kali Kwa Sasa.Hapa arusha imeshavuliwa ubingwa hawana chao.
Leta skyline ya arusha nikupe ya Mwanza acha kutetea ujinga we mbwiga.Arusha na Mwanza nyie wote mushapigwa chini na Dom japo Arusha Wana afadhari maana baada ya Dar ndio Jiji lenye skyline Kali Kwa Sasa.
Arusha Bado wanajikaza ila by 2030 watakuwa wamezidiwa na Dom Kwa Kila kitu sawa na Mwanza ilivyozidiwa Kwa Kila kitu kasoro idadi ya watu pakee.
Arusha na Mwanza nyie wote mushapigwa chini na Dom japo Arusha Wana afadhari maana baada ya Dar ndio Jiji lenye skyline Kali Kwa Sasa.
Arusha Bado wanajikaza ila by 2030 watakuwa wamezidiwa na Dom Kwa Kila kitu sawa na Mwanza ilivyozidiwa Kwa Kila kitu kasoro idadi ya watu pakee.
Ilimradi uonekane umebisha yaani ego inakusumbua ππππLeta skyline ya arusha nikupe ya Mwanza acha kutetea ujinga we mbwiga.
Hayo maghorofa 6000 mbona huwa hatuyaoni au yapo chini ya ardhi?Ilimradi uonekane umebisha yaani ego inakusumbua ππππ
Arusha skyline huwezi fananisha na Mwanza mega slum city ππ.Takwimu Arusha Magorofa 6000 plus,Mwanza 3000 ππ
Arusha is second to Tanzaniaππ
View: https://youtu.be/KuP5gNj8mmA?si=DUNjgwxaxbLA4jtw
Leta skyline ya Mwanza slum acha longolongoHayo maghorofa 6000 mbona huwa hatuyaoni au yapo chini ya ardhi?
Leta skyline ya Mwanza slum acha longolongo
ππππππππππππ Ila Mwanza mnanichekeshaga sana
Umeishiwa maneno unaanza kubwabwaja na kujiokoteza vipicha vya ajabu, utaendelea kutia aibuππππππππππππππππ Ila Mwanza mnanichekeshaga sana
Arusha View attachment 2925129View attachment 2925130View attachment 2925131
Tuoneshe na sehemu nyingine ya maghorofa 6000 kila siku kapicha hako hako tu.ππππππππππππ Ila Mwanza mnanichekeshaga sana
Arusha View attachment 2925129View attachment 2925130View attachment 2925131
Weka video sitaki porojo ππTuoneshe na sehemu nyingine ya maghorofa 6000 kila siku kapicha hako hako tu.
Weka video za Mwanza π€£π€£Umeishiwa maneno unaanza kubwabwaja na kujiokoteza vipicha vya ajabu, utaendelea kutia aibuππππ
Ile niliyokuwekea ni video ya demu wako akiwa uchi?Weka video sitaki porojo ππ
Weka video za Mwanza π€£π€£
Kuna Uzi wa Arusha vs Mwanza Sasa mbona unachafua Uzi wa Dom?
Kwani hii sio battle ya Mwanza vs dodoma, video ya Mwanza inahusika nini na Arusha we mbona unaleta videona picha za dodoma humuKuna Uzi wa Arusha vs Mwanza Sasa mbona unachafua Uzi wa Dom?
Acha ku post uchafu humu,Dom ni Capital City yenye hadhi yake kama unavyoona hapa π
View: https://youtu.be/elS3yeUSCMw?si=G4unlmL1Uqah3cAo
Kwani hii sio battle ya Mwanza vs dodoma, video ya Mwanza inahusika nini na Arusha we mbona unaleta videona picha za dodoma humuKuna Uzi wa Arusha vs Mwanza Sasa mbona unachafua Uzi wa Dom?
Acha ku post uchafu humu,Dom ni Capital City yenye hadhi yake kama unavyoona hapa π
View: https://youtu.be/elS3yeUSCMw?si=G4unlmL1Uqah3cAo
Unakutana na mshamba mmja wa huko Pasiansi anafananisha Dom na Mwanza ππKwani hii sio battle ya Mwanza vs dodoma, video ya Mwanza inahusika nini na Arusha we mbona unaleta videona picha za dodoma humu