Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Bilion nne nazo ni za kujisifu kweli? Yaani hospital ya rufaa ya mkoa inajengwa kwa bilion nne nazo unaona nongwa, mabilion mangapi yanaenda huko Dar na mikoa pendwa hatusemi.
Acha kuhoji kama mbumbumbu,hizo ni.pesa za.kuanzisha ujenzi Hadi ikamilishe si chini ya Bilioni 25
 
Acha kuhoji kama mbumbumbu,hizo ni.pesa za.kuanzisha ujenzi Hadi ikamilishe si chini ya Bilioni 25
Watajua wenyewe huko, kwanza inakuwaje hospital ya sekoe toure inashushwa daraja na ilo la ukerewe ndio litakuwa ni hospital ya rufaa ya mkoa, na kwanini wasijenge sekoe toure na huko ukerewe wajengewe hospital kubwa ya wilaya.
 
Huu ni kweli japo kuna miji itajikongoja na mingine itakufa kabisa, serikali ina nguvu sana kwenye uwekezaji, we angalia Dodoma ndio utajua.
Wacha visingizio.Dom inaendelea Kupeleka kichapo Kwa Mwanza πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
CBD ndo kitu gani mkuu. Hebu tupe ufafanuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…