ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni kujenga Barabara za lami tuu kwenye Wilaya ambazo Zina uzalishaji.huo mradi wa RISE unahusu nn?
Kuna nini?Dodoma hakuna biashara
uzalishaji wa nn?Ni kujenga Barabara za lami tuu kwenye Wilaya ambazo Zina uzalishaji.
Takribani km 500 zitajengwa Nchi nzima kwenye Wilaya zilizochaguliwa ,huko Geita ni Mbogwe,ipo Handeni,Kilolo na Ruangwa.
Vigezo ni kufungua fursa za uzalishaji wa mazao ya biashara na chakula Kwa kuondoa vikwazo.uzalishaji wa nn?
na ni vigezo gani vimetumika kuzichagua?
Hivi unataka kuniambia Mbogwe na Ruangwa wanazalisha zaidi mazao ya biashara na Chakula kuliko wilaya kama kilombero,mbinga au mpanda?Vigezo ni uzalishaji wa mazao ya biashara na chakula Kwa Wingi ndio vigezo.
Hizo ni hela za ufadhili kutoka WB.
Matakwa ya mfadhili.Zaidi ya Bil.820 zitatumika kujenga Barabara za lami km 530 kwenye Wilaya za Iringa DC,Kilolo,Mufindi(Iringa),Handeni -Tanga,Mbogwe-Geita na Ruangwa-Lindi.Hivi unataka kuniambia Mbogwe na Ruangwa wanazalisha zaidi mazao ya biashara na Chakula kuliko wilaya kama kilombero,mbinga au mpanda?
Hapo kwenye "matakwa ya mfadhili" ndipo nimepazingatiaMatakwa ya mfadhili.Zaidi ya Bil.820 zitatumika kujenga Barabara za lami km 530 kwenye Wilaya za Iringa DC,Kilolo,Mufindi(Iringa),Handeni -Tanga,Mbogwe-Geita na Ruangwa-Lindi.
Wilaya zingine watajengewa madaraja na Barabara za changarawe Kwa Barabara ambazo zitachaguliwa.View attachment 2969630View attachment 2969631View attachment 2969633
Mbogwe ni level nyingine kwa uzalishaji wa mpunga kwa kanda ya ziwa hakuna eneo linazidi Mbogwe, na kuna migodi ya dhahabu maeneo mengi ndani ya wilaya hiyoHivi unataka kuniambia Mbogwe na Ruangwa wanazalisha zaidi mazao ya biashara na Chakula kuliko wilaya kama kilombero,mbinga au mpanda?
Mchele mwingi unauzwa nje ya nchi especially Rwanda wanunuzi wengi huchukua mchele kutoka Mbogwe (Masumbwe)Hivi unataka kuniambia Mbogwe na Ruangwa wanazalisha zaidi mazao ya biashara na Chakula kuliko wilaya kama kilombero,mbinga au mpanda?