Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni takwimu za mchongo 😂😁Mwanza yaichakaza dodoma.. mapato ya ndani
Mwanza city council -bilioni 21
Ilemela -bilioni 17
Jumla =bilioni 39
Ilihali dodoma imekusanya bilion 37View attachment 2980734View attachment 2980735
Kasome ripoti ya CAG..zako ndio za mchongoHizi ni takwimu za mchongo [emoji23][emoji16]
Niliziona nikazipuuza
CAG ndio ana compile taarifa za Mapato au anakagua? Kwamba Mbeya ni bln 18 na Tanga bln 13? 😂😂Kasome ripoti ya CAG..zako ndio za mchongo
Acha kuota Toka usingizini ..utajikojolea .... [emoji116]CAG ndio ana compile taarifa za Mapato au anakagua? Kwamba Mbeya ni bln 18 na Tanga bln 13? [emoji23][emoji23]
Niliwaambia wameleta taarifa za mchongo
Za Majiji mengine ziko wapi? Ila source Isiwe ni CAGAcha kuota Toka usingizini ..utajikojolea .... [emoji116]View attachment 2980834
Kwamba CAG ni ofisi ya kitapeli na sio ofisi ya serikali...tunaposema mkaguzi wa hesabu za serikali unamaanisha ripoti zake ni za uongo ...endelea kuokoteza za kwako ambazo zinakujifariji ndani yake ila jua tu mwaka Jana ... DODOMA imechezea kichapoZa Majiji mengine ziko wapi? Ila source Isiwe ni CAG
Kazi ya CAG ni kukagua sio kujumlisha Mapato.Kwamba CAG ni ofisi ya kitapeli na sio ofisi ya serikali...tunaposema mkaguzi wa hesabu za serikali unamaanisha ripoti zake ni za uongo ...endelea kuokoteza za kwako ambazo zinakujifariji ndani yake ila jua tu mwaka Jana ... DODOMA imechezea kichapo
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Acha kuonyesha ujinga wako... utafanyaje ukaguzi wa hesabu bila kujua jumla ya mapato mliyokusanya ...stop being dumbKazi ya CAG ni kukagua sio kujumlisha Mapato.
Itawachukua Mwanza miaka 100 kufikia level hizi za Dom 👇👇View attachment 2981031View attachment 2981032
Tushatoka huko kwenye vihotel uchwaraKazi ya CAG ni kukagua sio kujumlisha Mapato.
Itawachukua Mwanza miaka 100 kufikia level hizi za Dom 👇👇View attachment 2981031View attachment 2981032
Kama hiyo ni hotel basi na hii itakuwa iwe nini sijui 👇Tushatoka huko kwenye vihotel uchwara View attachment 2981034
Kajipange upya bruda .Kama hiyo ni hotel basi na hii itakuwa iwe nini sijui [emoji116]View attachment 2981036
Kama hiyo ni hotel basi na hii itakuwa iwe nini sijui 👇View attachment 2981036
Kwa upande wa hotel Dodoma ijitafute kwanza. Vihotel vyake vilinganishe na vya mbeya.Kazi ya CAG ni kukagua sio kujumlisha Mapato.
Itawachukua Mwanza miaka 100 kufikia level hizi za Dom 👇👇View attachment 2981031View attachment 2981032
Kwa upande wa hotel Dodoma ijitafute kwanza. Vihotel vyake vilinganishe na vya mbeya.
Siku Mwanza ikipata 5* Restaurant mnitag 😁😁👇👇Kajipange upya bruda . View attachment 2981047View attachment 2981048View attachment 2981049
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Soma hiyoKwa upande wa hotel Dodoma ijitafute kwanza. Vihotel vyake vilinganishe na vya mbeya.
Kajipange upya bruda . View attachment 2981047View attachment 2981048View attachment 2981049
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app