Elfu 25 pamoja na familia zao. Elfu 70 ..bado wachache sanaWale hater njooni mtueleze hao maelfu ya Watumishi walioongeza population ya Dom kuwa zaidi ya 700k Kwa takwimu hizi hapa π
View: https://www.instagram.com/p/C7OUotMNRyH/?igsh=MTMzcTk2aWhseDVoag==
Ndio nakushangaa wewe uliyesema eti population ya Dom imeletwa na Watumwa wa Umma kuhamia wakati hata 100k hawafiki Wakiwa na familia zao ambazo Kwa sehemu kubwa wameziacha walikokuwa.Elfu 25 pamoja na familia zao. Elfu 70 ..bado wachache sana
View attachment 2997011
Ulipofikia ujenzi wa daraja la kimataifa...JPM.. MULTI BILIONI PROJECT π₯π₯π₯
Kila siku unatuletea magazeti humu. Hujui Kuna mengine ya udakuπππ
International flightsMwenye taarifa ya viwanja vinavyoongoza kwa idadi ya abiria wa ndani atujuze
Daily news haijawahi kuwa gazeti la udamu wewe Ng'ombe wa Hungumalwa.Kila siku unatuletea magazeti humu. Hujui Kuna mengine ya udakuπππ
Umeanza kutukana bila shaka unanifahamu we jitoe tu akili tu.Daily news haijawahi kuwa gazeti la udamu wewe Ng'ombe wa Hungumalwa.
Hata hivyo hii taarifa ilikosea njia nilikuwa na post jukwaa la Kenya.
We mbuzi ,Mimi sijawahi tishwa na kima yeyote na jf nzima inanifahamu kwamba Mimi ni mtata..Umeanza kutukana bila shaka unanifahamu we jitoe tu akili tu.
Dodoma ni Mji mkuu wetu Tanzania hivyo ni suala la muda tu itakua imetuacha mbali sana tunachokataa ni kulazimisha kuwa kwa sasa Dodoma tayali imeshaipiku Mwanza hizi project nyingi za serikali Dodoma either ni proposal au ndio kwanza zinakamilika hazifanyi kazi, Dodoma kwa sasa bado japo ni kweli yajayo yataifurahishaWe mbuzi ,Mimi sijawahi tishwa na kima yeyote na jf nzima inanifahamu kwamba Mimi ni mtata..
Dodoma inaendelea kugawa full doze Kwa dampo la Mwanza.ππ
View: https://www.instagram.com/p/C7TYe0jI21n/?igsh=cm92azRvNTBybHIw
Wenzako hawataki kukubali huu ukweli ππDodoma ni Mji mkuu wetu Tanzania hivyo ni suala la muda tu itakua imetuacha mbali sana tunachokataa ni kulazimisha kuwa kwa sasa Dodoma tayali imeshaipiku Mwanza hizi project nyingi za serikali Dodoma either ni proposal au ndio kwanza zinakamilika hazifanyi kazi, Dodoma kwa sasa bado japo ni kweli yajayo yataifurahisha
Huo ndio ukweli kujitafuta wenyewe mpaka mkafikia hadhi ya Jiji ni tofauti na backup kubwa inayopewa Dodoma ambayo kimsingi ilikuwa imepokwa nafasi yake sasa imerudishiwa hivyo tukubali tukatae ndio Mji mkuu wetu na ni Lazima ufanane na hadhi yake, ila hii haimaanishi miji mingine imesimama tupo fully na tunaendelea kujitafuta project ni nyingi tu zipo huku ila hauwezi kuzisikia kwenye vyombo vya habariWenzako hawataki kukubali huu ukweli ππ
View: https://www.instagram.com/p/C7TcPFKITO4/?igsh=MXR4NmgxMTBrMGt6MA==
Nani amekukaririsha?International flights
1. Julius Nyerere
2. Kilimanjaro
3. Abeid Amani
Usafiri wa ndani
1. Julius Nyerere
2. Mwanza airport
Dodoma ni kama songwe airport tu
Kwa sasa Mwanza inachozidi Dom ni population tu hakuna lingineππ huo ndio ukweli.Hicho kilichofanyika Dom ndio kwanza awamu ya kwanza ya Serikali kuhamia Dodoma bado kuna phase 2,phase 3,phase 4 na kuendelea hadi Serikali na taasisi zake zote ziwe full kuhamia Dodoma.Kuna jamaa yangu yupo TANAPA aliniambia hata wao pia yawezekana wakahamishwa Dom.Sasa imagine kama hata taasisi zilizopo mikoani nje ya apa Dar nazo zinatakiwa kuhamia Dodoma hali itakuaje..ππDodoma ni Mji mkuu wetu Tanzania hivyo ni suala la muda tu itakua imetuacha mbali sana tunachokataa ni kulazimisha kuwa kwa sasa Dodoma tayali imeshaipiku Mwanza hizi project nyingi za serikali Dodoma either ni proposal au ndio kwanza zinakamilika hazifanyi kazi, Dodoma kwa sasa bado japo ni kweli yajayo yataifurahisha
Kwa sasa Mwanza inachozidi Dom ni population tu hakuna lingineππ huo ndio ukweli.Hicho kilichofanyika Dom ndio kwanza awamu ya kwanza ya Serikali kuhamia Dodoma bado kuna phase 2,phase 3,phase 4 na kuendelea hadi Serikali na taasisi zake zote ziwe full kuhamia Dodoma.Kuna jamaa yangu yupo TANAPA aliniambia hata wao pia yawezekana wakahamishwa Dom.Sasa imagine kama hata taasisi zilizopo mikoani nje ya apa Dar nazo zinatakiwa kuhamia Dodoma hali itakuaje..ππ