Una matatizo wewe-The Residence by Royal Village
-Best Western City Hotel
-St Gaspar Presidential Suite
n.k
Sijigambi kwa maneno ..najigamba kwa "facts" tupu.Ukitaka kubishana na mimi uje na hoja na facts sio picha.Unataka tuhamishe mjadala kwenye picha....kama huamini facts zangu basi leta facts za kwako tuzipime.Una fact gani zaidi ya maneno nimekuambia leta picha ya hizo hotel huna nashindwa kuelewa unataka tushindane kwa maneno matupu au kwa vithibitisho? Mwenzako kaanza kuweka picha za hotels wewe unajigamba kwa maneno.
Facts ya maneno haina figure, data wala vithibitisho, hizi battlw si za maneno, picha zinaongea zaidi, nataka ile weka niweke.Sijigambi kwa maneno ..najigamba kwa "facts" tupu.Ukitaka kubishana na mimi uje na hoja na facts sio picha.Unataka tuhamishe mjadala kwenye picha....kama huamini facts zangu basi leta facts za kwako tuzipime.
Shule ulikua unasoma kwa picha au facts....ππ
Kwenye mijadala facts huwa zinajibiwa kwa facts na hoja kwa hoja,huwa hatubishani kwa picha...usitake kututoa kwenye reli πKule sekondari tulikua tunafanya debate na mshindi alikua ni yule mwenye hoja+facts nyingi ....ingekua tunafanya debate kwa picha basi wanafunzi wangekua wanakuja na picha mfano topic inasema "education is better than money" mwenye picha nyingi ndio mshindiπππFacts ya maneno haina figure, data wala vithibitisho, hizi battlw si za maneno, picha zinaongea zaidi, nataka ile weka niweke.
Porojo nyingi mno....Kwenye mijadala facts huwa zinajibiwa kwa facts na hoja kwa hoja,huwa hatubishani kwa picha...usitake kututoa kwenye reli πKule sekondari tulikua tunafanya debate na mshindi alikua ni yule mwenye hoja+facts nyingi ....ingekua tunafanya debate kwa picha basi wanafunzi wangekua wanakuja na picha mfano topic inasema "education is better than money" mwenye picha nyingi ndio mshindiπππ
Hujielewi, unatka nianze kusema mwanza kuna viwanda vya magari, kuna maghorofa ya 70f je utaamini? Ndio maana kwenye battle kama hizi picha ni jambo la muhimu.Kwenye mijadala facts huwa zinajibiwa kwa facts na hoja kwa hoja,huwa hatubishani kwa picha...usitake kututoa kwenye reli πKule sekondari tulikua tunafanya debate na mshindi alikua ni yule mwenye hoja+facts nyingi ....ingekua tunafanya debate kwa picha basi wanafunzi wangekua wanakuja na picha mfano topic inasema "education is better than money" mwenye picha nyingi ndio mshindiπππ
Picha kama hizi za mtoto wa Chuo mama Cha Dodoma si ndio? ππππHujielewi, unatka nianze kusema mwanza kuna viwanda vya magari, kuna maghorofa ya 70f je utaamini? Ndio maana kwenye battle kama hizi picha ni jambo la muhimu.
Na Bado itazidi kuwa hoi zaidi ππππMwanza iko hoiiiiiiii
PamepaukaTupicha huto huyo kwenye angle tofauti tofauti..Sasa hapo kuna nini cha maana? Mwanza mnatia aibu Sana,hapo hakuna tofauti na Babati..
Dodoma π