Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hakuna ubishi tena ,Mwanza ni underdog Kwa Dom πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡
93597F36-C6EB-4916-AA1F-0A1DEF43FA56.jpeg
E23F144C-B4C3-4DEC-987A-62E27A35FF82.jpeg
 
Nje ya hapo City Centre ni dampo.

By the way Mwanza mnatakiwa Kumshukuru sana Rais Samia maana ndani ya miaka yake hii 4 amewajengea Vyuo Vikuu takribani 4

1.TIA-Misungwi
2.DIT-Ilemela
3.Ardhi University -Sengerema
4.IRDP-Kisesa

Hapo ni Nje ya miradi mingine,Shujaa wenu alikuwa analeta porojo zisizo na maana πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/mofURT/status/1835334639738626318?t=82fTNAlgWSLA1k4liK0o-Q&s=19
20240915_192934.jpg
Screenshot_20240915-192819.jpg
Screenshot_20240915-192856.jpg
Screenshot_20240915-192839.jpg
Screenshot_20240916-080336.jpg


View: https://youtu.be/7TI4y1p8eVE?si=YGfURpq8-79a_pGd
 
Hakuna kitu hapo Kwa mwanza

Sasa hili jengo ndo useme hakuna kitu kama hichi Mwanza?
Wewe unaumwa kama sio mgonjwa wa kiakili!
Angalia hapo project hizo zote hakuna mradi wa shirika wala serkali ni watu binafsi na hiyo ndo tofauti ya Mwanza na Dodoma View attachment 3097463View attachment 3097462View attachment 3097467View attachment 3097468
Mwanza ndo Jiji langu pendwa Niko dar huku ila akili yangu IPO mwanza halafu wale njuka wanaibeza sgr imeshabisha hodi tayari tungoje baadae ya miaka mitano mwanza itakuwa fireee sana
 
Nje ya hapo City Centre ni dampo.

By the way Mwanza mnatakiwa Kumshukuru sana Rais Samia maana ndani ya miaka yake hii 4 amewajengea Vyuo Vikuu takribani 4

1.TIA-Misungwi
2.DIT-Ilemela
3.Ardhi University -Sengerema
4.IRDP-Kisesa

Hapo ni Nje ya miradi mingine,Shujaa wenu alikuwa analeta porojo zisizo na maana πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/mofURT/status/1835334639738626318?t=82fTNAlgWSLA1k4liK0o-Q&s=19View attachment 3097100View attachment 3097101View attachment 3097102View attachment 3097103View attachment 3097104

Mwanza huijui wewe Jiji tamu sana tunawapiga kote kote
 

Attachments

  • FB_IMG_1726489687380.jpg
    FB_IMG_1726489687380.jpg
    68.8 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1726489673857.jpg
    FB_IMG_1726489673857.jpg
    61.6 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1726489654202.jpg
    FB_IMG_1726489654202.jpg
    73.9 KB · Views: 4
Nje ya hapo City Centre ni dampo.

By the way Mwanza mnatakiwa Kumshukuru sana Rais Samia maana ndani ya miaka yake hii 4 amewajengea Vyuo Vikuu takribani 4

1.TIA-Misungwi
2.DIT-Ilemela
3.Ardhi University -Sengerema
4.IRDP-Kisesa

Hapo ni Nje ya miradi mingine,Shujaa wenu alikuwa analeta porojo zisizo na maana πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/mofURT/status/1835334639738626318?t=82fTNAlgWSLA1k4liK0o-Q&s=19View attachment 3097100View attachment 3097101View attachment 3097102View attachment 3097103View attachment 3097104

Muwe na heshima na Jiji la mwanza mkubwa mkubwa tu mwanza haibebwi sana serikali kama Arusha na Dodoma ila moto wake Sasa duuh kama hujawahi fika mwanza fika kabla hujafa uache kumbukumbu nipo Dar ila akili yangu IPO mwanza πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 

Attachments

  • FB_IMG_1726489687380.jpg
    FB_IMG_1726489687380.jpg
    68.8 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1726489673857.jpg
    FB_IMG_1726489673857.jpg
    61.6 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1726489654202.jpg
    FB_IMG_1726489654202.jpg
    73.9 KB · Views: 4
Mwanza ndo Jiji langu pendwa Niko dar huku ila akili yangu IPO mwanza halafu wale njuka wanaibeza sgr imeshabisha hodi tayari tungoje baadae ya miaka mitano mwanza itakuwa fireee sana
Si utoke Sasa huko Dar uende Mwanza kupata kansa uone moto
 
Back
Top Bottom