Hiki ulichotuma hadi igoma yapo ni mapagale tu kila Kona yapo. Pitia hiyo video ya mwisho kuituma humu ulete vitu vyenye mfanano huo acha panganga.Unawabutua Kwa lipi labda? Mwanza level zake ni Mbeya ππView attachment 3084751View attachment 3084752View attachment 3084753
Mwanza ni Jiji tamu sanaMwanza downtown
View attachment 3096143
Hakuna kitu hapo Kwa mwanza π π π
Acha wivu,kama hakuna kitu Tuoneshe Jengo la REA huko Mwanza is Slum.Hakuna kitu hapo Kwa mwanza π π π
Nje ya hapo City Centre ni dampo.Mwanza downtown
View attachment 3096143
Sasa hili jengo ndo useme hakuna kitu kama hichi Mwanza?
Hakuna kitu hapo Kwa mwanza
Mwanza ndo Jiji langu pendwa Niko dar huku ila akili yangu IPO mwanza halafu wale njuka wanaibeza sgr imeshabisha hodi tayari tungoje baadae ya miaka mitano mwanza itakuwa fireee sanaSasa hili jengo ndo useme hakuna kitu kama hichi Mwanza?
Wewe unaumwa kama sio mgonjwa wa kiakili!
Angalia hapo project hizo zote hakuna mradi wa shirika wala serkali ni watu binafsi na hiyo ndo tofauti ya Mwanza na Dodoma View attachment 3097463View attachment 3097462View attachment 3097467View attachment 3097468
Mwanza huijui wewe Jiji tamu sana tunawapiga kote koteNje ya hapo City Centre ni dampo.
By the way Mwanza mnatakiwa Kumshukuru sana Rais Samia maana ndani ya miaka yake hii 4 amewajengea Vyuo Vikuu takribani 4
1.TIA-Misungwi
2.DIT-Ilemela
3.Ardhi University -Sengerema
4.IRDP-Kisesa
Hapo ni Nje ya miradi mingine,Shujaa wenu alikuwa analeta porojo zisizo na maana ππ
View: https://x.com/mofURT/status/1835334639738626318?t=82fTNAlgWSLA1k4liK0o-Q&s=19View attachment 3097100View attachment 3097101View attachment 3097102View attachment 3097103View attachment 3097104
Acha wivu,kama hakuna kitu Tuoneshe Jengo la REA huko Mwanza is Slum.
Muwe na heshima na Jiji la mwanza mkubwa mkubwa tu mwanza haibebwi sana serikali kama Arusha na Dodoma ila moto wake Sasa duuh kama hujawahi fika mwanza fika kabla hujafa uache kumbukumbu nipo Dar ila akili yangu IPO mwanza π π π π π π π π πNje ya hapo City Centre ni dampo.
By the way Mwanza mnatakiwa Kumshukuru sana Rais Samia maana ndani ya miaka yake hii 4 amewajengea Vyuo Vikuu takribani 4
1.TIA-Misungwi
2.DIT-Ilemela
3.Ardhi University -Sengerema
4.IRDP-Kisesa
Hapo ni Nje ya miradi mingine,Shujaa wenu alikuwa analeta porojo zisizo na maana ππ
View: https://x.com/mofURT/status/1835334639738626318?t=82fTNAlgWSLA1k4liK0o-Q&s=19View attachment 3097100View attachment 3097101View attachment 3097102View attachment 3097103View attachment 3097104
Si utoke Sasa huko Dar uende Mwanza kupata kansa uone motoMwanza ndo Jiji langu pendwa Niko dar huku ila akili yangu IPO mwanza halafu wale njuka wanaibeza sgr imeshabisha hodi tayari tungoje baadae ya miaka mitano mwanza itakuwa fireee sana