Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hadi 2025 mwanza ishapotea kwenye map ..watasumbua population tu
Yani mwanza inaizidi Arusha population sio maendeleo
Unajifurahisha sana mwanza mziki mwingine naipenda mwanza sana kuliko mji wowote Tanzania πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
 

Attachments

  • FB_IMG_1726489687380.jpg
    68.8 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1726489673857.jpg
    61.6 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1726489654202.jpg
    73.9 KB · Views: 3
Unajifurahisha sana mwanza mziki mwingine naipenda mwanza sana kuliko mji wowote Tanzania πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
Na wewe unatuchosha na hutu tugorofa twako 3 .

Ni aibu Kwa Mwanza kurudia rudia page nzima tugorofa 3.

Mwanza imeshapoteana hakuna kitu huko
 
πŸ‘‡ πŸ‘‡
 
Huto tugorofa 3 twa kuokoteza hapo Mjini kati ndio tunakutoa maudenda?

Dom zinajengwa zaidi ya hizo,TCRA building pekee itafunika hizo tajataka zote.

Kwa Sasa Size ya Mwanza ni Mbeya
 
Huto tugorofa 3 twa kuokoteza hapo Mjini kati ndio tunakutoa maudenda?

Dom zinajengwa zaidi ya hizo,TCRA building pekee itafunika hizo tajataka zote.

Kwa Sasa Size ya Mwanza ni Mbeya
Wewe unategemeq serkali ndo ijenge mji?
Kwa hiyo Dodoma mpaka wizara na taasisi waamue kujenga ndo tuone ujenzi?
Siku taasisi na wizara zikikamirisha ujenzi hapo Dodoma itakuwaje?
Bado sana una akili za kijima!
 
Wewe unategemeq serkali ndo ijenge mji?
Kwa hiyo Dodoma mpaka wizara na taasisi waamue kujenga ndo tuone ujenzi?
Siku taasisi na wizara zikikamirisha ujenzi hapo Dodoma itakuwaje?
Bado sana una akili za kijima!
Visingizio fc πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

In fact Govt ni driver Mkuu wa Maendeleo popote,si Dar Wala Arusha au hata huko Mwanza sembuse Dodoma HQ?
 
Visingizio fc πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

In fact Govt ni driver Mkuu wa Maendeleo popote,si Dar Wala Arusha au hata huko Mwanza sembuse Dodoma HQ?
Vipi mbons Mbeya ni kama kijiji kama serkali ina drive maendeleo?
Uwekezaji wa watu ni muhimu ndo wajenzi na walipa kodi!
Hayo majengo ya serkali bila walipa kodi huwezi kuyaona kwa hiyo nguvu ya Mwanza kwa sehemu kubwa ni Wananchi!
 
Vipi mbons Mbeya ni kama kijiji kama serkali ina drive maendeleo?
Uwekezaji wa watu ni muhimu ndo wajenzi na walipa kodi!
Hayo majengo ya serkali bila walipa kodi huwezi kuyaona kwa hiyo nguvu ya Mwanza kwa sehemu kubwa ni Wananchi!
Iko hivyo Kwa sababu hakuna mkono wa Serikali kama huko kwingine.

Harafu Mbeya sio ya baridi kama unavyodhani,wenyeji wake wanajenga Jiji lao , Serikali ikiongeza Nguvu mambo itanoga zaidi.

Mbeya πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kaka acha utoto bhasi! Hayo mjengo hayana hata mvuto unayaleta hapa kufanya nini? Jengo lipo tu linazungukwa na takataka vijumba vya udongo!
Yaani Mbeya ni Zero hata Iringa ni bora mara Mia kuliko Mbeya!
 
Kaka acha utoto bhasi! Hayo mjengo hayana hata mvuto unayaleta hapa kufanya nini? Jengo lipo tu linazungukwa na takataka vijumba vya udongo!
Yaani Mbeya ni Zero hata Iringa ni bora mara Mia kuliko Mbeya!
Yenye mvuto ni yapi labda? Yamekamilika Hadi yawe na mvuto? Vile vijengo umeweka vya pale City centre unavyodia ikifika gorofa ya 6 utaleta vina mvuto? Acha ujinga basi.

Mbeya πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/Visitmbeya/status/1833446432818290690?t=Qjl0aedFiwED5jF29YZDfA&s=19
 
Siku taasisi na wizara zikikamirisha ujenzi hapo Dodoma itakuwaje?
Ujenzi wa Mji Mkuu duniani kote tangu lini ukaishaπŸ˜€πŸ˜€...Abuja Nigeria tangu mwaka 1991 mpaka leo bado inajengwa,Ankara Uturuki tangu miaka ya 1930 mpaka leo bado unajengwa,Brasilia Brazil tangu miaka ya 1960 mpaka leo bado unajengwa, Yamoussoukro Ivory Coast tangu miaka ya 1980 mpaka leo bado unajengwa n.k Kilasiku taasisi+idara mpya za serikali zinaanzishwa ukijumlisha na kuongezeka kwa population ujenzi wa mji mkuu ni suala endelevu sio la kuisha leo wala kesho.
 
Mkuu ni suala la muda maana Dodoma inakuja kwa kasi ya 5G huku Mwanza inachechemea
Dodoma inakua Kwa kasi au inakuzwa kwa kasi kwa kupewa miradi kibao ya Maendeleo na serikali kuu mpaka vitu ambavyo vinatakiwa vifanywe na Halmashauri ya Jiji huku Mwanza, Manispaa ya Ilemela na jiji Mwanza zikipambana Kwa mapato Yao ya ndani
 
Angalia hapo project hizo zote hakuna mradi wa shirika wala serkali ni watu binafsi na hiyo ndo tofauti ya Mwanza na Dodoma
Wewe hujawahi kufika Dom ndiomana unabwabwaja ngonjera zako .Kama umewahi kukanyaga hata sikumoja tuambie huu uwekezaji Dom ni wa private au serikali..πŸ‘‡πŸ‘‡
-Mahoteli yote
-Apartments
-Malls +Supermarkets
-Viwanda vikubwa
-Media (zaidi ya radio stations 20 plus 1 Tv,+ magazeti mawili)
-Maghorofa marefu City Centre
-Vyuo vikuu na taasisi za elimu ya Juu mfano St John's,Don Bosco,City College,DECCA,Capital,Chuo Kikuu cha Kanisa la T.A.G.,Mvumi Institute of Health Science n.k
-Taasisi za Dini ...kwa sasa Dom inashika nafasi ya pili baada ya Mbeya kwa uwingi wa "headquarters" za taasisi mbalimbali za Dini mfano Kanisa la Anglican,Kanisa la Pentecostal Holiness Mission,TAG,Kanisa la Biblia,New Life in Christ n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…