ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza imejaa wajinga nani aweke Chuo huko?Kwani ni Sheria campus kuzidiwa na unachokiita chuo kamili kwanza kimwonekano hata render zenyewe zinafanana fanana acha chuki za kijinga π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π
Hivi wewe ng'ombe ya huko Sumbawanga unatoa wapi ujasiri wa kubishana na mwanza kiidadi ya watu mwanza bado juu Arusha ni wachache ndo GDP unayoisema lakini mwanza miradi ikikamilika yote mwanza is untouchable Arusha licha ya mbeleko ya serikali lakini ni mji wa hovyo Kwa mwanza π π π π πMwanza ikiwa ya pili Kwa Mapato Arusha itakuwa ya ngapi?
GDP sio Mapato
Chuo Cha Mipango IRDP ni kimoja tu Dom...kwingine kote ni "regional campuses".Na kwa taarifa yako IRDP Dom wameshaomba TCU kupandishwa hadhi kuwa "fuly fledged University" ndiomana kwa sasa wanafanya extension na ujenzi wa majengo mapya kwenye eneo lingine lililopo karibu na Hospitali ya St GemmaKwani ni Sheria campus kuzidiwa na unachokiita chuo kamili kwanza kimwonekano hata render zenyewe zinafanana fanana acha chuki za kijinga π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π
π π na utateseka sana na mwanza mie nataka uzimie hadi ufe ukisikia mwanza imepiga hatua Kuna meli ya east Africa inakuja sijui utajinyonga π π π π πMwanza imejaa wajinga nani aweke Chuo huko?
GDP sio MapatoHivi wewe ng'ombe ya huko Sumbawanga unatoa wapi ujasiri wa kubishana na mwanza kiidadi ya watu mwanza bado juu Arusha ni wachache ndo GDP unayoisema lakini mwanza miradi ikikamilika yote mwanza is untouchable Arusha licha ya mbeleko ya serikali lakini ni mji wa hovyo Kwa mwanza π π π π π
Pambana na hicho kipande kwanza mwanza on π₯ π₯ π₯ π₯ π₯GDP sio Mapato
FakePambana na hicho kipande kwanza mwanza on π₯ π₯ π₯ π₯ π₯ View attachment 3105088View attachment 3105089View attachment 3105090View attachment 3105091View attachment 3105092View attachment 3105093
Za uso Zimekuingia π π π π π π π π π πFake
Jifunze ku post picha unatuumiza macho wewe nguruwe wa mabatini.
Mwanza down π π π π π πFake
Jifunze ku post picha unatuumiza macho wewe nguruwe wa mabatini.
Kama hapo ndio Nje ya CBD?
Utajua mwenyewe bhana. Pengine uvunguni mwako sisi tutajuajeKama hapo ndio Nje ya CBD?
Na huku ni ndani? ππ
View: https://x.com/AfricaViewFacts/status/1839002801113837862?t=BZZNGa86PIICxYF_MBmsXQ&s=19
Mwanza hatupoi wala hatuboi, vitu Conc hivi hapa
Barabara ziko wapi? Au Huwa mnapaki huko chini mnatembea Kwa miguu Hadi hapo?
Tuliza komwe wewe tao pesa zako uzifanyie maamuzi mwenyewe.Sidhani kama Dodoma inahitaji mamiradi ya hovyo kama huu unaopendekezwa hapa ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAkUihpNVl5/?igsh=MXFsaWFjcTlkYTR4Yw==
Bora hizo pesa zingetumika kujenga makumbusho kuu na Maktava ya Taifa kuliko kujenga huo upuuzi
Unataka kuziona bara bara bara za mtaa huu?Barabara ziko wapi? Au Huwa mnapaki huko chini mnatembea Kwa miguu Hadi hapo?