ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni jambo jema Kwa Dodoma ila sio sawa Kwa sababu hapa Tanzania Jiji la Kimataifa ni Arusha so ilitakiwa Jengo Hilo likajengwe huko huko Arusha Ili kulinda hadhi ya Arusha👇👇View attachment 3118234
Commonwealth Africa region headquarters to be built in Dodoma - Daily News
THE Commonwealth Parliamentary Association (CPA) Africa Region Headquarters is set to be constructed in Dodoma as preparations for its commencementdailynews.co.tz
😀😀Mwanza mtaa pekee ambao unaweza kusema asilimia miamoja ni wa kishua labda Kapri point. Kwingine kote hakueleweki hata ile mitaa michache yenye ubora nayo imechanganyika na uswazi. Ukija kwa Dom hali ni tofauti manake Dom mitaa ambayo unaweza kusema ni uswahilini ni michache kwamfano Chaduru,Mkalama,Chang'ombe,Kizota,na baadhi ya maeneo ya Swaswa basi.Mitaa mingine yote iliyobaki mfano Uzunguni,Tambukareli,Area A,Area C,Area D,Area E,Mlimwa C,Oysterbay,Mji Mpya,Nkuhungu,Ipagala,Kisasa,Magereza,Nyumba 300,Iyumbu,Miyuji Proper,Hazina,Kinyambwa Extension,Chidachi,Ilazo,Kilimani n.k imepangiliwa kwa ubora wa hali ya juu huwezi kulinganisha na mtaa wowote Mwanza kulikojaa slums hadi milimani😀😀.Maeneo ya koshua huko Mwanza 😆😆😆😆👇👇View attachment 3118023View attachment 3118024View attachment 3118025View attachment 3118026View attachment 3118027View attachment 3118028View attachment 3118029View attachment 3118030View attachment 3118031View attachment 3118032View attachment 3118033View attachment 3118034View attachment 3118035View attachment 3118036View attachment 3118037
Mwanza ndio Makao Makuu ya mabanda Tanzania Kuna Hadi Slum tourism 😁😁😁😁😁
Hueleweki naona unahamisha hamisha tu magoli😀😀hakuna anayekataa kwamba Mwanza inaizidi Dom population hilo lipo wazi. Ukitoa population hakuna kingine chochote Mwanza inachozidi Dom...hilo Ziwa ni natural feature hata Musoma,Nansio,Bukoba,Kigoma lipo sijawahi kuona Kigoma au Musoma wakisema wamewazidi Dom kwasababu ya uwepo wa Ziwa🤣🤣🤣Acha ushamba unachukua picha Moja iyo iyo unaipost mara mia mia tuna sehemu za ziwa zenye upepo tulivu kuliko hapo ukameni umekomaa na Mita ya Igogo nimekwambia mwanza ndo jiji la pili kwa mapato na fursa baada ya Dar na ndo jiji la pili kwa kuwa na domestic air flights nyingi baada ya Dar Sasa kama hapo ukameni Kuna mzunguko wa kibiashara iweje hampo kwenye ramani za usafirishaji abiria na mizigo ,,,watu wengi wanakimbilia mwanza kujitafuta kimaisha pia mwanza IPO karibu na nchi nyingine za maziwa makuu hiyo ni advantage kubwa sana kiuchumi tuna daraja refu zaidi Afrika ya kati tuna stendi mbili za mabasi Kali tuna meli kubwa kupita meli zote katika maziwa makuu tuna stesheni mbili za sgr 😆😆😆😆😆😆Kuna upanuzi wa bandari ya mwanza south na Ile ya kamanga Kuna mipango wa njia nane barabara ya busisi Hadi mjini pia jiji linazidi kukua na kuongezeka ushihidi ni population ya mwanza kuizidi ya Dodoma majengo ya sekta binafsi yapo yanajengwa mengi sana pia mwanza ndo jiji lenye nyumba nyingi zaidi zinazoendelea kujengwa kiasi cha kulingana na Dar laki nane mwanza na Dar laki nane rejea sensa ya mwaka 2022 pia tuna upanuzi wa airport na ujenzi wa airport lounge Kali sana ikiwemo ujenzi wa hotel Kali ya nyota Tano bado tuna Mita mingi ya kishua kuliko hapo ukame town najua utafuta pa kakimbia shikilia Uzi ili nikupe uso na huu ndo ukweli mchungu ambao vilaza kama nyinyi hampendi kuusikia 😁😁😁😁😁😆😆😀😀😀nacheka kimapoooozi kabisa
Taaaaaaaratibu utaivaa kama maharage battle ni ya mwanza na Dodoma hizo sijui musoma na kigoma zinaingiaje hapa mwanza ni jiji tamu sana lenye view Kali ya ziwa ukiwa mitaa ya kishua kama Bwiru ,kapripoint na Luchelele kwa kutaja mifano michache tu Dodoma unaikuza kwa wale wasioijua hiyo Dodoma ukiwa unatokea mwanza ndo unauanza mji duuh aibu jamani naiona Mimi mji imekaa shagala bagala unachofanya ni kuunga unga maneno ila za uso lazima uendelee kuzipata😆😆😆😆Hueleweki naona unahamisha hamisha tu magoli😀😀hakuna anayekataa kwamba Mwanza inaizidi Dom population hilo lipo wazi. Ukitoa population hakuna kingine chochote Mwanza inachozidi Dom...hilo Ziwa ni natural feature hata Musoma,Nansio,Bukoba,Kigoma lipo sijawahi kuona Kigoma au Musoma wakisema wamewazidi Dom kwasababu ya uwepo wa Ziwa🤣🤣🤣
Unatia huruma maskini poleeeeee 😀😀😀😀😀😭😭😭Ni jambo jema Kwa Dodoma ila sio sawa Kwa sababu hapa Tanzania Jiji la Kimataifa ni Arusha so ilitakiwa Jengo Hilo likajengwe huko huko Arusha Ili kulinda hadhi ya Arusha👇👇
View: https://x.com/TimesTanzania/status/1842997523411292584?t=E2hPRevZXaMqZeN7CBOcfQ&s=19
Kati yangu na wewe nani anatoa huruma? 😆😆😆😆👇👇Unatia huruma maskini poleeeeee 😀😀😀😀😀😭😭😭
Picha za mwaka Gani hiziKati yangu na wewe nani anatoa huruma? 😆😆😆😆👇👇
View attachment 3119154
Slums tourism imeisha? Tuoneshe za mwaka huu tucheke kidogo 😆😆Picha za mwaka Gani hizi
Slums tourism imeisha? Tuoneshe za mwaka huu tucheke kidogo 😆😆
Na hizi ni za mwaka gani? 😆😆😆👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DA0qpARqe3l/?igsh=MTIzMGRueHQ1MjJycQ==
Baada ya ku zoom ndio mabanda yamefutika? 😂😂😂😂View attachment 3119226View attachment 3119227
Zoom nyumba Moja Moja ulinganishe na nyumba zenu za tembe
Hii ngese nayo ilishakalili caprpoint tu, kama hujui mwanza kuna i mitaa kibao inaikarisha hiyo caprpoint😀😀Mwanza mtaa pekee ambao unaweza kusema asilimia miamoja ni wa kishua labda Kapri point. Kwingine kote hakueleweki hata ile mitaa michache yenye ubora nayo imechanganyika na uswazi. Ukija kwa Dom hali ni tofauti manake Dom mitaa ambayo unaweza kusema ni uswahilini ni michache kwamfano Chaduru,Mkalama,Chang'ombe,Kizota,na baadhi ya maeneo ya Swaswa basi.Mitaa mingine yote iliyobaki mfano Uzunguni,Tambukareli,Area A,Area C,Area D,Area E,Mlimwa C,Oysterbay,Mji Mpya,Nkuhungu,Ipagala,Kisasa,Magereza,Nyumba 300,Iyumbu,Miyuji Proper,Hazina,Kinyambwa Extension,Chidachi,Ilazo,Kilimani n.k imepangiliwa kwa ubora wa hali ya juu huwezi kulinganisha na mtaa wowote Mwanza kulikojaa slums hadi milimani😀😀.