Kuna nini sasa hapo Luchelele tu. Inawatosha hap
Yako wapi?Hapa hata Nyegezi majengo haikutiii
Iko wapi?Kuna nini sasa hapo Luchelele tu. Inawatosha hap
Zoom hiyo picha yako uone uswazi huko mbeleKwa hiyo hizi ni nyumba za serikali huko Swaswa si ndio 😂😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DASgMSLOS2o/?igsh=OWtjZGxwM21nMW5w
Sasa hiki nini hizo nyumba wanajenga Malampaka huko ndani ndani, halafu mitaa imepauka KisengeTutajaza seva Bure,Dom sio ya kulinganisha na matakataka ya Mwanza is Slum 😬😬👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C_-qOlTNauc/?igsh=MW9xeWQ3YjBqOXl3eA==
Unachekesha sana naona unaendelea kujifariji tu...Ilazo kuna nyumba gani za serikali😀😀.Dom mitaa yote imepimwa na kupangiliwa. Ukija Mwanza ni kichekesho imagine ikitokea ajali ya moto mitaa kama igoma,igogo,nyakato hata gari la zimamoto haliwezi kufika.Ukija kule juu milimani kwenye vijumba na vibanda sijui hata kama kuna mfumo wa majisafi na majitaka🤣🤣Dodoma mitaa smart ni ile yenye nyumba za serikali tu kama ilazo kwingineko mitaani hali ni mbaya sana
Yaani unavyoipamba Dodoma utafikiri IPO Marekani kwamba hatuijui 🤣🤣🤣una ushamba mpaka unakera mwanza licha ya support ndogo ya serikali bado itaendelea kuwashika achana na jiji la sangara wewe lemi ongara mwenyewe aliimba mwanza ooh mwanza jiji linakua Hadi basi hatuna shida na tujengo twa hisani sie huku ni midude ya watu binafsi hivi mwanza ikapewa support ya serikali kama Dodoma sijui itakuwaje huwa najiuliza hili swali sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unachekesha sana naona unaendelea kujifariji tu...Ilazo kuna nyumba gani za serikali😀😀.Dom mitaa yote imepimwa na kupangiliwa. Ukija Mwanza ni kichekesho imagine ikitokea ajali ya moto mitaa kama igoma,igogo,nyakato hata gari la zimamoto haliwezi kufika.Ukija kule juu milimani kwenye vijumba na vibanda sijui hata kama kuna mfumo wa majisafi na majitaka🤣🤣
Eti igoma unaijua au unaropoka tu?Unachekesha sana naona unaendelea kujifariji tu...Ilazo kuna nyumba gani za serikali😀😀.Dom mitaa yote imepimwa na kupangiliwa. Ukija Mwanza ni kichekesho imagine ikitokea ajali ya moto mitaa kama igoma,igogo,nyakato hata gari la zimamoto haliwezi kufika.Ukija kule juu milimani kwenye vijumba na vibanda sijui hata kama kuna mfumo wa majisafi na majitaka🤣🤣
Kwa taarifayako Remmy Ongala amewahi kutunga nyimbo mbili zinazosifia Dodoma 1. Jamani dodoma 2.Amisa.Yaani unavyoipamba Dodoma utafikiri IPO Marekani kwamba hatuijui 🤣🤣🤣una ushamba mpaka unakera mwanza licha ya support ndogo ya serikali bado itaendelea kuwashika achana na jiji la sangara wewe lemi ongara mwenyewe aliimba mwanza ooh mwanza jiji linakua Hadi basi hatuna shida na tujengo twa hisani sie huku ni midude ya watu binafsi hivi mwanza ikapewa support ya serikali kama Dodoma sijui itakuwaje huwa najiuliza hili swali sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa taarifayako Remmy Ongala amewahi kutunga nyimbo mbili zinazosifia Dodoma 1. Jamani dodoma 2.Amisa.
Naomba unisaidie kujibu hili swali hiyo serikali inayosupport maendeleo ya Dom City ni ya nchigani Rwanda,Sudan au Burundi🤣
Dodoma siitakagi kabisa kwa jinsi palivyo ilivyo Bora hata morogoro 🤣🤣🤣🤣Tena mara miaKwa taarifayako Remmy Ongala amewahi kutunga nyimbo mbili zinazosifia Dodoma 1. Jamani dodoma 2.Amisa.
Naomba unisaidie kujibu hili swali hiyo serikali inayosupport maendeleo ya Dom City ni ya nchigani Rwanda,Sudan au Burundi🤣🤣🤣
Sasa who is Remmy Ongala,?. Fid Q hajawahi kuimba mwanza mwanza wewe ndo kichwa panzi kabisa ulisababisha nikapigwa ban.Kwa taarifayako Remmy Ongala amewahi kutunga nyimbo mbili zinazosifia Dodoma 1. Jamani dodoma 2.Amisa.
Naomba unisaidie kujibu hili swali hiyo serikali inayosupport maendeleo ya Dom City ni ya nchigani Rwanda,Sudan au Burundi🤣🤣🤣
Muulize huyo mwenzako aliyesema Remmy ameimba kuhusu Mwanza.Mimi nimempa facts ambazo alikua hazijui😂😂kuwa Dom imetungiwa nyimbo nyingi tu za kuisifiaSasa who is Remmy Ongala,?.
Tumia ID yako ya sikuzote 🤣🤣Dodoma siitakagi kabisa kwa jinsi palivyo ilivyo Bora hata morogoro 🤣🤣🤣🤣Tena mara mia
Sifayangu humu JF huwa ninajibu facts+hoja zilizoenda shule....hiyo michambo mipasho,matusi,porojo,ngonjera hizo peleka facebook ndio level zako😀😀😀Yaani unavyoipamba Dodoma utafikiri IPO Marekani kwamba hatuijui 🤣🤣🤣una ushamba mpaka unakera
Facts za maneno maneno ni kupoteza muda tu. Haya mwanza is better than Dodoma and this is a fact.Sifayangu humu JF huwa ninajibu facts+hoja zilizoenda shule....hiyo michambo mipasho,matusi,porojo,ngonjera hizo peleka facebook ndio level zako😀😀😀
Hata moro jazz walitunga nyimbo nyingi tu kuhusu morogoro na dsm. Uzianze ubishoo uchwara wa kusema hiyo nayo ni fact.Muulize huyo mwenzako aliyesema Remmy ameimba kuhusu Mwanza.Mimi nimempa facts ambazo alikua hazijui😂😂kuwa Dom imetungiwa nyimbo nyingi tu za kuisifia